KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

MFANO.mtumishi wa umma kuwa na vyeo zaidi ya kimoja kulipwa na hazina wakati wengine wanataabika mjini tulikemee kwa nguvu zetu zote haya ndio mapungufu makubwa kwenye katiba iliyopo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika wakati ambapo watu wanasubiri kuchangia maoni yao ya kutunga Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sisi wengine tuanjua ya kwamba hatutapata muda wa kuchangia hasa kulingana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naamini mchakato wa Katiba Mpya utakuwa makini kwa kuwa tume iliyoteuliwa ni makini. Maoni yangu ni kwenye masuala ya msingi kama ifuatavyo; Katiba mpya itenganishe kabisa mihimili mitatu ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu mzee vipi jamani! Eti anawataka wananchi wasing'ang'anie kujadili madaraka ya Rais sasa uhuru wa maoni huko wapi? Wananchi wanataka kusawazisha eneo muhimu la taasisi ya Urais yeye anazuia...
0 Reactions
5 Replies
36K Views
Baadhi ya Wajumbe wa Tume ya mabadiliko ya Katiba wakiwa katika Mkutano wa Tume hio na Waandishi wa Habari uliofanyika Bwawani Mjini Zanzibar. Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Joseph...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa upande wangu hasa katika kipindi hiki tukielekea katika maadalizi ya katiba mpya ningeomba vyombo vya habari viandike au vitoe taqarifa sahihi na sio kupotosha watu kwani kwasasa imeonekana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je, tuko tayari kupokea majibu yatakayotokana na Mchakato wa Katiba Mpya? Katika siku za karibuni kumeibuka mijadala mingi katika siasa za Tanzania. Kwa bahati mbaya, kwa masuala ambayo yanahitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TunahitajkatibampyaiwekenaitambueuwakiliswawafanyakazBUNGENImf.walimu,madaktari,wafanyakazwareli,wanasheria wanjfmnaonaj
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf ninahitaji maoni yenu juu ya hili hivii kati ya wazirimkuu wa tz na rais wa zanzibar nan yupo juu na kwanin?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Karume alipoongoza nchi kwa kutumia presidential decrees hakuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Maana enzi za utawala wake aliwahi kutumia Presidential Decrees zifuatazo: (i) The...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mheshimiwa Jaji Warioba, Tunakuomba usiwachagulie waTanzania nini cha kuongea katika kutoa maoni yao. Kwa nini hutaki madaraka ya rais yazungumzwe. Kama tulivyotabiri, you will never be impartial...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani hivi hii mishahara ya wana tume ya kukusanya maoni ya kuandikwa katiba mpya wanastahili au imepitiliza kiwango cha kawaida?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, kiukweli huwa naumizwa na jinsi Africa tunavyoshindwa kusonga mbele kimaendeleo ili hali chanzo chake na suluhu yake tunafahamu kwani ni kama "factors for the rise and fall of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeangalia maeneo yalitangazwa na Jaji Warioba nikajiuliza kwa nini imechagua maeneo haya kwa kuanzia?, je ni strategy kama ile ya kutangaza matokeo ya uchaguzi ya 2010 kwa kuanza na sehemu CCM...
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Nashangaa kuona maoni ya katiba tume ita kusanya kwenye baadhi ya kanda hapa tanzania, madhara ya hii ni kuchukua maoni ya watu wenye matatizo ya ina moja dini ya aina moja na shughuri za uchumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
LNaNashawishika kuona nchi yetu inabadilika kwenye mindset za wananchi. Tuanze nchi mpya kabisa kuanzia jina, mpaka, Wimbo wa taifa, na katiba. Tumekuwa wanafiki toka tulivyoungana na Zanzibar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu Prof ukimwangalia kwa makini kwenye Mhadhara wa Katiba katika ITV leo anaonekana kuwatetea Wazanzibari badala ya ku-balance mambo: Anadai kwamba eti kuongeza mambo ya Muungano, Wazanzibari...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA MHE. JOSEPH WARIOBA KATIKA MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 19 JUNI, 2012 KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE, DAR ES SALAAM Ndugu Wanahabari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada kutafakari kwa kina kirefu kuhusu shughuli za Bunge la Jamhuri ya Tanzania nimegundua kuwa kuna udhaifu mkubwa ambao inanilazimu kusema kuna ulazima wa kubadilisha katiba ili kutia sharti...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi kama mtanzania safi napenda kuishauri serekali iweke kipengele kinachoonyesha idadi ya watanzania walioenda loliondo kwa babu kwa ajili ya kutibiwa..hii itatusaidia kujua babu alipata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom