KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

kutokana na viongozi wetu tulio wachagua,kugawa mda wao wa kuongoza katika vipindi viwili kamaifuatavyo. 1.kipindi cha kupumzika,kusherekea na kujipongeza kwa ushindi alio upata kipindi cha...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Monday, 18 June 2012 13:53 Mwanafunzi akilia na Katiba Johnseverini Mkini KATIBA ni Sheria Mama ambayo ni mkataba kati ya Mtawala (serkali ) na Raia. Kwa maana halisi ni kwamba...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Monday, 18 June 2012 13:42 Phinias Bashaya MWANANCHI aliyefungwa jela, kifungo hakimuondolei haki ya kuwa Mtanzania. Wananchi ni msingi wa mamlaka na wafungwa wana haki ya kutoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF salamu Kutokana na mchakato tulionao hivi sasa kuhusu mabadiliko ya katiba yetu, leo nimependa nitoe maoni yangu kuhusu baadhi ya mambo ambayo ningipenda yaingizwe kwenye katiba mpya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
maoni ya mapendekezo ya katiba mpya
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wana JF naomba tuwe tunapeana vitu ambavyo tunahitaji viwe katika katiba mpya kwani kuna watu ambao hawatafikiwa na ile tume ya kuratibu maoni ya wananchi, kwa hiyo wale watakaopata nafasi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1. ''WATANZANIA WARUHUSIWE KUPIGA KURA YA URAIS POPOTE WALIPO DUNIANI''. 2. ''KUFUFULIWA KWA NCHI YA TANGANYIKA ILIYOPATA UHURU TAREHE 09 DESEMBA 1961, NA KUUNDWA KWA SERIKALI TATU (Muungano...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Napendekeza uchaguzi wa bunge uwe tofauti na wa rais hii itakuwa vizuri ili kuepusha mkanganyiko wakati wa kuhesabu kura.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Waislamu Tunadai nini Kwenye Katiba Mpya?Waislamu sehemu mbali mbali nchini wamekuwa wakiliuliza Jukwaa kuhusu ni yepi madai ya waislamu katika utoaji maoni yatakayokusanywa na tume? Yafuatayo...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
Leo katika harakati zangu za kimaisha nimebahatika kukutana na mmoja ya wajumbe wa Tume ya Katiba,kwa kuwa tunajuana na tunafahamiana uzuri, Tukasalimiana na kuulizana hali na baada ya salam...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mods ningependa uiache mada kama ilivyo na isiunganishe na mada zingine. Kama kawaida, ningependa kutoa salaam kwa waZalendo wenzangu. Katika mjadala huu wa katiba kuna mambo mengi...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Nitawaomba wananchi wenzangu wa LINDI..kunipa nafasi..nikasimamie maslai yetu(wananchi)walala hoi..nikakomae na walala Kheri..wasije tupiga bao la kisigino Naanza na ibara ya 8(vifungu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nini kilitokea Tanganyika ikapotea ktk ramani ya kitaifa na kimataifa kiasi cha kuzaliwa kile kinachoitwa Tanzania bara ilhali Zanzibar ikaimalika na kuwa na katiba yake?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ameeleza kushtushwa na kauli ya Rais Jakaya Kikwete inayolenga kuzuia wananchi kujadili kuhusu Muungano wakati wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
NCHI HII MPAKA HAPA TULIKO IMEJENGWA KWA KUTUMIA MAWAZO YA WATU AMBAO HAWAKUA WASOMI NAO WALIWEZA KUWEKA MISINGI IMARA SANA NA TUKAWEZA KUIHESHMU JE? Kwa sabbu katba tuliyo kuwa tunaitumia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
aise wana jf mimi naona it would be of an advantage to creat another blog for jf and others to have their views on the new constitution placed on the blog separately. It is an idea --- take it or...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Written by Stonetown (Kiongozi) // 05/05/2011 // Makala/Tahariri // 21 Comments Msione taabu sana kusoma mada hii au mada zangu. Kwa jicho la ghafla, utadhani kama vile ‘jokes’; lakini...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Heshima zenu wakuu, Nikiwa mmoja wa watanzania wanaoishi ughaibuni ningependa kupewa maelekezo kutoka kwa yeyote mwenye kufahamu namna gani nasi tunaweza kushiriki katika kutoa maoni yetu hususan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Now that we have the tume next? As a forum of Great thinkers what do we do? Do we wait to hear from them? Big No! Let us continue pondering about what should and should not go into our new...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom