KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Uzuri na ubovu wa katiba upo sana kwenye ibara zenye 8 zote. Then ibara ya 41 kifungu 7 Ibara ya 46 kifungu cha 1&2 Ibara ya 45 kifungu cha 1 chote. Tujadili hivi na marekebisho yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JF imekuwa na msaada mkubwa sana kwa jamii, hususani katika kusema ukweli. Naomba kujua; JE TUNAWEZA KUTOA MAONI YA PAMOJA JUU YA VIPAUMBELE VYA TAIFA, AMBAVYO VINAPASWA KUWEPO KWENYE KATIBA? JF...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania, nawaomba sana kuhusu suala hili la tume ya katiba tujaribu kuwa na uvumilivu wa kisiasa tukishaanza kupandikiza mambo ya udini hatari iliyo mbele yetu itakuwa kubwa sana...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mpaka sasa waziri wa sheria mh mathias chikawe anasema tume imeshatumia bil 7, inawezekana kweli?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pamoja na mapungufu na kasoro nyingi kwenye katiba ya sasa,lakini lazima tutambue kuwa kwenye masuala ya ufisadi na uhujumu uchumi katiba inafaa sana kwani imetoa madaraka makubwa kwa mkuu wa...
0 Reactions
3 Replies
956 Views
Ndugu zangu, Kama mtego ule wa panya, tutafanya makosa makubwa kama kuna watakaodhani, kuwa haya ya watu kuchinjwa na kujeruhiwa na mapanga yatawakuta watu wa kundi fulani tu. Tukiacha...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni jambo la kusikitisha sana,pale wajumbe wanapokuja kutumikia nafasi yao kwa kulinda heshima na marupurupu waliyonayo,badala ya kutumikia hoja zawananchi. Kwangu mimi kupewa Nyumba na gari ni...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika Mchakato wa katiba mpya mimi moja kwa moja naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo. Tunaweza kugawanya Tanganyika katika majimbo matano au sita ya kiuchumi, na jamaa wa visiwani...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Humu JF kumekuwa na washabiki wa kuwepo kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano lakini ukiwauliza juu ya faida za kuwa na Serikali hiyo huingia mitini! Wao wanachotaka tu ni "Serikali ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Jamani ebu nisaidieni. Kama maswali ya muungano hayajadiliwi, je wanzibari wanafanya nini kwenye tume? Maana wao wana katiba yao ya nchi ya Zanzibar tayari. Je wao wamewekwa kusaidia Tanganyika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nahitaji kujua na kuisoma katiba ya zamani katika version zote mbili ya kiswahili na ya kiingereza!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuwa katiba ilikuwa ikimpa mwananchi haki ya kuchagua na kuchaguliwa bila masharti ya kuwa kwenye vyama vya siiasa; bunge lilikaa na kufuta haki hiyo! katiba inampa mwanachi haki ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana Jamii, Napenda kutoa mapendekezo yangu kuhusu raisi aliyepo madarakani anapogombea kipindi chake cha pili ku kabidhi madaraka ya Uraisi either kwa Speaker wa Bunge au Jaji Mkuu na yeye...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
nataraji mapendekezo haya machache yatatia changamoto katika mchakato wa kuchangia mawazo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania ni nchi tajiri sana duniani, utendaji kazi na usimamizi wa rasilimali zake ndio mbovu. Kwenye katiba mpya napendekeza kwamba kuwe na kipengele kinachowawezesha watanzania wenyewe waweze...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Ningependa yafuatayo yafanyiwe kazi kwenye katiba mpya 1. Wakati wa kampeni nchi iwe chini ya anayefuata kwa uongozi. Yaani kila mtu awe ni mgombea huru sio huyu anakuwa na ulinzi kama "rais"...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Tume ya Katiba Mpya, yenye Mapungufu Makubwa, yasiyoonekana Makubwa, lakini yenye Kuhatarisha Umoja*wetu: Mnamo tarehe 6/4/2012, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Jakaya M. Kikwe...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wengi hawaelewi ni kwa nini tunataka katiba mpya................ni kwa sababu tunataka raia wote tushiriki kuitunga katiba hiyo kupitia wawakilishi ambao tutawachagua sisi wenyewe kwa kazi hiyo...
0 Reactions
237 Replies
23K Views
Siku alipokuwa akitangaza majina ya wajumbe wa tume ya katiba, Kikwete alisema kuwa "Wananchi wajadili katiba, wasijadili Muungano" na akasisitiza kuwa watakaojadili Muungano watachukuliwa hatua...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Muasisi wa Ukomunisti Karl Marx akinukuu maneno ya Mwanafalsafa wa Kijerumani Hegel, alisema, Na Naomba kunukuu. "Kila mfumo una mbegu ndani yake za kujiharibu, au kujimaliza wenyewe" Nasema hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom