KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Kwa mlio na access, Watch TBC sasa, Waziri wa Sheria na Katiba, Mhe. Selina Kombani yuko live hewani, akiutetea Muswada wa Kuunda Tume ya Kukusanya Maoni ya katiba mpya!. Ameutetea kwa nguvu...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Pinda.alishindwa kumtimua jairo,akidai rais ndio mwenye mamlaka.sasa leo ameweza kumtimua katibu mkuu wizara ya afya?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hiv n kweli wanaopigania kuhusishwa kwa watanzania katika kujadili katiba mpya wanawapigania watanzania kwel?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hatimaye Mchakato wa kuandika Katiba mpya umechukua sura mpya baada ya Rais kuitisha wadau mbali mbali kupeleka majina ya watu wenye sifa ili awateue. Source: Chanel Ten.
0 Reactions
46 Replies
4K Views
wa jf naomba update ya katiba lini itakuja kwa wananchi na vitu muhimu nataka nitoe ushauri wangu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
... ambao waliujadili muswada huo na kuupitisha. Wangeweza kuhisi wamedharauliwa na kuonekana hawana thamani.” Jakaya Kikwete. Hii maana yake ni kwamba wabunge ni bora kuliko wananchi ambao ni...
1 Reactions
0 Replies
905 Views
Ni watu watakaokuwemo kwenye tume ya kuratibu na kukusanya maoni kuhusu katiba mpya.ni watu 15 kutona bara na 15 kutoka viviwani.mwisho ni march 16,2012 baada ya hapo rais atakaa na rais wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natanguliza shukurani zangu kuchangia hoja ya katiba mpya hususani kuhusiana na chama cha siasa cha CHADEMA. Nimeamua kwa makusudi kabisa kuanzisha hoja hii ili hisitoria ije ihukumu.Kimsingi hoja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ilikuwaondoa wote wanao shindwa kufanya kazi wanawaza uRais!! Tuchague wabunge tu alafu chama chenye wabunge wengi wachague wazir mkuu(ndie awe mtendaji mkuu)atokane na ubunge Wakatabahu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuhusu katiba na mchakato wake naamini kila kiumbe alielewa serikali ya CCM na kikwete ingefanya, na wamefanya walivyo tarajiwa, kinacho sikiticha ni CDM wanavyoonekana wakitapatapa, hawakua na...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mjadala wa leo: Tunajifunza nini kutokana na yanayojiri katika siasa za Kenya baada ya ICC kuamua kuwa Uhuru Kenyata na wenzake wana kesi ya kujibu. Karibuni
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wapendwa wanaJF, Suala la Katiba Mpya lilianza kupigiwa kelele zamani na wananchi wapenda ukweli na wenye maono akiwepo Makwaia wa KUHENGA, mwandishi wa Kitabu cha CCM NA MUSTAKABALI WA NCHI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kutoelewana kati ya serikali na JWTZ kutokana na serikali kuvunja makubaliano ya awali kuwa jeshi la wananchi ndilo lishughulikie mipango yote ya kupandisha na kuzima mwenge miaka 50 ya uhuru. TBC...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi hivi Deus Kibamba na jukwaa la katiba kwa ujumla wameishiwa wapi?sijawasikia kwa muda mrefu sana,au harakati ndio zimefikia ukingoni?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hatuna haja ya kubishana na mamlaka sana kuhusu katiba tunayoitaka ila la msingi ni kuomba KATIBA HIYO ITUACHIE UHURU WETU KATIKA DINI NA KUABUDU, bila kujali ni mamlaka ya nani/ipi/ kati ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
5th December 2011 Naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Bara Julius Itatiro akisisitiza jambo wakati akiongea na wandishi wa habari kuhusu kwenda Ikulu kuonana na Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na ongezeko la wahuni wengi nchini imefika wakati kutafute mfumo wa kuhesabu kura kulingana na hekima za watu. Haiwezekani kura ya kila mtu kuhesabiwa kama ni moja, inabidi ifike wakati...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watanzania baada ya ww kusain tunasubili , je tuelewe tunasubili nini marekebisho ambayo yatatoka kwetu au...?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kutokana na mchakato wa kuandika katiba mpya mie nina 'oni' moja tu nalo ni kuhusu kula kiapo kwa Rais, katika nchi zinazoendelea rais akitangazwa tu jioni kala kiap. Kwa mtazamo wangu hii kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Napendekeza ili tume ya kukusanya maoni iwe huru ni vizuri isishirikishe kabisa wawakilishi wa vyama vya siasa,taasisi za dini,NGOs,Vyuo Vikuu na wabunge na viongozi wa makundi kama vijana ,akina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom