KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Wa tz, amkeni tudai katiba mpya. Bila katiba tusitegemee mabadiliko yoyote ktk chaguzi zetu.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Napenda kuwapongeza star TV kwa ubunifu walionao kwa kupenda kuweka vipindi vizuri na vinavyoleta tija katika taifa letu. Jana kulikuwa na kipindi kizuri sana kuhusu mjadala wa KATIBA MPYA. Me...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi na wataaalamu . Wanasiasa, wanasheria na watu wengi hivi sasa kilio chetu ni katiba mpya. Wengi tuna refelct mapungufu ya NEC kama pungufu mojawapo la katiba ya sasa.Naomba kuelimishwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Iringa wameanza kazi kwa kishindo ikiwa ni pamoja na kupokea maombi ya wananchi wanaotaka Katiba mpya. Wabunge hao: Mchungaji...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI. WanaJF...
0 Reactions
78 Replies
7K Views
Watanzania tuweke mambo yote pembeni, mawazo yetu yote yawe ktk kudai katiba mpya.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wadau, mimi ni miongoni mwa Wabongo wengi tu ambao hatujawahi kuioma katiba ya JMT. Ingawa naunga mkono hitaji la Katiba mpya na nina sababu za wazi zinazonisukuma kuunga mkono bila kufuata...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Celina Kombani anacheza ngoma asiyoijua vyema...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Jamani nimeona siku za karibuni kuna watu ambao wamejiunga katika mbio za kutoa maoni kuhusu umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya. Na wengi ya viongozi hawa ni wa CCM ambao siku zilizopita hawakuona...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MTANDAO huru wa asasi za kiraia zilizojikita kufanya uangalizi wa Uchaguzi Mkuu Mkuu 2010 (TACCEO), umetoa ripoti kuhusu uchaguzi huo huku ukipendekeza mabadiliko ya katiba na kuundwa kwa tume...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
"Many people are claiming and advocating for a new constitution, but most don't give reasons why? Why do you think we need a new constitution? or Major changes in the current constitution? What...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wananchi wasiburuzwe kudai Katiba mpya -Shivji Thursday, 09 December 2010 19:59 newsroom...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
The debate has began and its going on.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wengi wetu tunajua yaliyotokea huko ivory coast ambapo wagombea wa viti vya urais wawili wote wanadai wameshinda uchaguzi mkuu na kila mmoja kujitangazia waziri wake mkuu,naomba tujadili...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
SIKU chache baada ya Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Cellina Kambani kuseam hakuna haja ya kuwa na katiba moya, Jaji Mkuu Mstaafu, Mark Bomani amesema kinachoisumbua serikali ya CCM ni uwoga...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Upi uhuru kamili 1961 Uhuru wa Tanganyika au Tanzania? Hivi kila siku hawa chadema wanataka au wanadai mabadiliko ya 10 ya katiba ya zanzibar yanapinda katiba ya Tanzania hawa wanaonekana hawana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
katiba ya sasa imempa nafasi gani mwanamke kwa sababu huwa nasikia mapungufu ni mengi ila sijasikia Wanawake wakidai katiba mpya
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi there will be a meeting on 11/12/2010 in Dar at KIMARA RESORT CLUB, which will tackle on political issues, constitutional issues, communal issues and civic and human rights issues. Hence...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Mimi nahisi lamsingi zaidi kwa Chadema nikudai Tanganyika yenu ambayo Mwalimu Nyerere alitumia jasho lake lote na nguvu zote kudai uhuru wa Tanganyika (11 December 1961) kuliko kudai katiba mpya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katiba ya nchi ni jambo linalogusa watu wote. Kwa hapa Tanzania nauliza tutumie lugha gani rahisi itayoenda kwa kila raia mwenye umri wa miaka 18 ili kumwelewesha na kumwezesha kuona umuhimu na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom