KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Umoja wa makanisa ya kikristo imetoa tathimini ya uchaguzi mkuu na kusema kuwa lazima katiba iandikwe upya.huu ni mwendelezo wa moto unaowaka chini kwa chini wa kudai katiba mpya,hongera sana cct...
0 Reactions
68 Replies
11K Views
Mjadala wa katiba mpya unaendelea na unapata waelewaji wengi kadiri siku zinavyokwenda. Lakini kadiri unavyoendelea ndivyo unavyodizi kufunika mambo mengine ambayo pia ni ya msingi na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya ndugu Pinda kukubali kuwa kuna umuhimu wa katiba mpya ila bado hajajua kama mabadiliko yanayoitajika ni makubwa au madogo swali langu ndugu zangu je tutahakikisha vipi kwamba viraka hivyo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kama mchezo wa karata vile. Nadra mchezo kukamilika kabla ya mizunguko kadhaa. Safari yao ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. mkakati wao wa kwanza ukawa kutokukubali ushindi wa JK, halafu...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Ndugu zangu nimeona na haya maono tusiyapuuze! Ila tuyafanyie kazi sivyo tutavuna tutakacho kipanda sasa WAPO WAZALENDO WALIOTUONYESHA NJIA LAKINI VIONGOZI WETU WA WAKATI HUO HAWAKUYAWEKEA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf nimesikitishwa na kitendo cha mwanasheria tena wakili mpya kabisa aliyeapishwa jana tarehe 17/12/2010 na jaji mkuu anashindwa kutoa maoni yake kuhusu uhitaji wa katiba mpya!!! Alipoulizwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na hoja toka miongoni mwa watanzania kwamba kutokana na mabadiliko mengi ya msingi yaliyotokea toka mwaka 1977 Katiba ya sasa ilipotungwa hadi leo kuna haja ya kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna kundi dogo la akina makamba ambalo linafaidika na katiba iliyopo ndio kikwazo kwa uamuzi ambao kikwete ameshaukubali wa kuunda katiba mpya; anataka akumbukwe walau kwa hilo maana peoples...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Katiba haiwezi kubadilishwa ikiwa mhusika mmoja hayupo,ni lazima wadau wote wawepo ili mabadiliko ya Katiba yafanywe ,tunafahamu fika kuwa katiba iliyopo haifai kwa vigezo vingi tu kimoja ni hicho...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
•Yasema wakati wa NEC kuvunjwa umefika •Yataja dosari zilizojitokeza Uchaguzi Mkuu •Yaonya wanasiasa kuchanganya ahadi na haki •Yakosoa CCM kuingiza Kadhi kwenye Ilani Na John Daniel...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima yako Mzee, Awali ya wote ningependa ufahamu jinsi ninavyokupenda na kukuheshimu kama vile Maria Magdalena kwe Yesu. Kinachonifanya nikupende Mchungaji wa Kondoo za Bwana ni uadilifu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Akizungumzia suala hili Mizengo Pinda amesema haja ipo ila bado haijaamua kama mabadiliko yanayoitajika ni makubwa au madogo My Take Katiba itawekewa viraka ambavyo havitatatua mahitaji ya...
0 Reactions
96 Replies
9K Views
PM Pinda anaonekana kuwa muwajibikaji ndani ya sirikali ye2. Amezungumzia swala zima la kubadili katiba na mchango wake ktk hili ni muhimu sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameamua kulibeba suala la madai ya katiba mpya, akisema kuwa atamshauri Rais Jakaya Kikwete kuunda timu ya kushughulikia suala hilo.Pinda alitangaza uamuzi huo jana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu, Kama kuna wakati ambao umuhimu wa katiba mpya umedhihirika basi ni sasa. Kwa kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watanzania walio wengi sasa wametambua kwamba kikwazo kikubwa cha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Siku chache zilizopita Waziri Kombani alitoa kauli isiyounga mkono kuhusu mabadiliko ya katiba, na kujitetea kuwa serikali haina pesa za kushughulikia mabadiliko ya katiba na kwamba suala la madai...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mengi tumeshasema kuhusu umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya, lakini mawazo yetu ni ya mtu mmoja mmoja ingawa tunakuwa wengi pale tuanpochangia hoja. Ninachopendekeza kwa "Experts" wa mtandao huu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
..hili suala lisipochukuliwa kwa umakini litakuwa litaishia kupigwa danadana na serikali ya CCM. ..vyama vya upinzani kwa pamoja viunde Tume yao itakayokusanya maoni ya Katiba mpya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa kitawasha moto wa madai ya kutaka Katiba mpya itakayokidhi matakwa ya wote. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano katika mahojiano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutokana na Wimbi kubwa lililopo kwa sasa la kudai Katiba mpya, ni rahisi kukutana na kijana anaunga mkono madai ya katiba mpya, lakini ukimuuliza kwani hii iliyopo ina Mapungufu gani? atakuambia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom