KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Na Maggid Mjengwa AFRIKA mvua hainyeshi ghafla, utanguliwa na mawingu . Ndio, hakuna mvua isiyo na dalili. Muhimu ni kusoma alama za nyakati. Kwa wenyeji wa Pwani wanaelewa tabia za miti hii...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wabunge wetu.Jamani wanapoiandaa hiyo katiba mpya mimi naomba ishu ya 'RAIS AMBAYE YUPO MADARAKANI KATIKA KIPINDI HUSIKA'. Iwepo sheria inayomuondoa madarakani pindi za uchaguzi na kuliachia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimeona na haya maono tusiyapuuze! Ila tuyafanyie kazi sivyo tutavuna tutakacho kipanda sasa WAPO WAZALENDO WALIOTUONYESHA NJIA LAKINI VIONGOZI WETU WA WAKATI HUO HAWAKUYAWEKEA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii hivi sasa tupo katika mchakato wakasi kubwa kulilia Katiba Mpya kwa ajiri ya Jamuhuri yetu ya Muungano,sasa basi wakati wanasiasa wetu wanapasha moto makoo yao tayari kwa kwenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wandugu, Mwenye ufahamu naomba atujuze wadau wa JF, Je mabadiliko ya katiba yakifanyika mapema ndani ya miaka hii mitano ambayo bado JK atakuwa mtawala unadhani kutakuwa na madhara gani ( I mean...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanaJF, Naomba niwasilishe hoja ifuatayo: Ingekuwa vizuri angalau tukaanza kualikwa watu muhimu katika kujadili ishue hii ya katiba mpya na tukaweza kujadiliana naye kupitia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu. kama vugu vugu la kudai katiba mpya linavyozidi kuchukua kasi mpya kila siku, huku wananchi, taasisi za umma na binafsi, pamoja na wasomi wakizidi kutoa maoni yao(wengi wakitaka katiba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajf Katiba mpya inatakiwa kwa kuwa iliyopo sasa hivi haifai, kwa hiyo itakayokuja pengine itakidhi mahitaji ya kisheria ambayo ya sasa hivi haikidhi. Nauliza kwamba hiyo katiba mpya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wana JF. Katiba mpya ndio habari iliyopo mjini sasa, ni kweli hata mimi naihitaji sana ila hofu yangu ni kuwa katiba ni maandishi tu hayatendi chochote pasi na matakwa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale ambao wamekuwa wakinufaika na katiba mbovu tuliyonayo kwa sasa, wanaanza kuibuka taratibu kuanza kutukejeli. Mwanae mwanasiasa maarufu nchni, Yusuf Makamba, January Makamba, katika kutetea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau kabla ya kufikia mabadiliko ya katiba ni lazima tujuekitu tunachotaka kama ni katiba mpya au kiraka kipya katiba yetu ina mapungufu mengi kwa mfano -katiba tuliyonayo leo ni ya mwaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hakuna mtanzania yeyote hivi sasa bado anadai katiba iliyopo inajitosheleza...............ubishi uliopo ni kuwa tuitie kiraka cha 16 katiba yetu......i.e minimum reforms..........na hili Bunge tu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Unaitajika mkutano wa katiba ambapo watu wa makundi mbalimbali watawakilishwa ili kuandika mapendekezo ya katiba mpya na si kundi dogo la wataalam kama alivyoeleza muheshimiwa waziri mkuu pinda.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Edward Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli mkoani Arusha ameunga mkono mchakato wa mabadiliko ya Katiba na akipendekeza ujadiliwe kwa upendo na amani. Amesema kwa sasa jamii nzima...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mapendekezo: Mchakato wa Upatikanaji wa Katiba Mpya uweje? Ni dhahiri katiba mpya haiepukiki kwa sasa. Utaratibu upi utasaidia kupatikana Katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania. Shiriki...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Diwani: Wengi hatujawahi kuona katiba Na Suleiman Abeid, Meatu WAKATI mjadala wa kuishinikiza mabali ya katiba, madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu mkoani Shinyanga wameomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf, tunaelewa kuwa kwa sasa nchi yetu ipo katika mchakato wa kutaka kubadili katiba mpya kutoka katika ile katiba ya zamani ya mwaka 1977,ambayo haina tija kwa wakati huu tulionao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mh. Pinda kaonesha njia ya mahitaji ya katiba mpya. Je? Nani waunde jopo la kuangalia mapungufu ya katiba? Na waje na solutn ambayo wa Tz wote wataiafiki?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mungu nisamehe mie. Mchangiaji wa mwisho kwenye maada iliyokuwa inaendeshwa na STAR TV kwa kujitambulisha kwa jina la MJUNI GEORGE NA HUKU SAUTI YAKE NI KAMA ILE YA PIUS MSEKWA hapa nimekoma...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani Moderators, Shikamooni, Kwa kweli pamoja na suala la katiba kuwa na jukwaa lake lakini bado kuna thread nyigi sana zimeanzishwa hapa na zinafanana sana. Hivi kweli haziwezi kuungwa pamoja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom