KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Tunataka katiba mpya ya wananchi wote sio maslahi ya CHADEMA. Hii nchi tuna uchungu nayo. Tutapambana mpaka kufa lakini Chadema haishiki madaraka nchi hii. Waende wakachunge ngo'mbe.
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Tumeshuhudia kauli mbali mbali toka kwa viongozi wa Serikali kuhusu Katiba Mpya! 1. Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani: "Hakuna umuhimu wa kuwapo katiba mpya na kwamba Serikali inaridhika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pamoja na kilio cha watanzania tuliowengi cha kutaka katiba mpya,nakadri moto huu wa katiba mpya unavyoendelea kupambamoto kila kukicha,kuna baadhi ya watu wana katisha tamaa wenzao kwa kupinga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Whether Katiba mpya itaundwa au la,lazima tujue wananchi wanataka nini Lipi pendekezo lako
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Katiba mpya iharakishwe - Jaji Ramadhan Monday, 27 December 2010 19:58 Elias Sichalwe JAJI Mkuu anayemaliza muda wake, Agustino Ramadhan...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wasomi UDSM wamuaga Jaji Ramadhani wakidai katiba Na Mwandishi Wetu MWANGWI wa kilio cha ama kufanyika kwa marekebisho makubwa ya msingi ama kuwa na katiba mpya kabisa nchini, unazidi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa kuwa KATIBA mpya si ILANI ya CCM, namsihi mhe. KIKWETE asipoteze muda, atekeleze ahadi zake. Wanaodai katiba mpya wasubiri 2015 kwenye ilani mpya.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Monday, 27 December 2010 08:18 0diggsdigg Anne Kilango akisisitza jambo kuhusu suala la katiba mpya alipoongea na waandishi wa habari Boniface Meena MJADALA kuhusu katiba mpya ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Magazeti mengi ya leo yanatuhabarisha ya kuwa hoja binafsi ya Mbunge machachari wa Chadema kwa jimbo la Ubungo ya kuandaa mkakati wa kisheria wa kuandika katiba mpya imetinga Bungeni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi limemnukuu Mchungaji na mwanaharakati wa haki za binadamu Mheshimiwa Mtikila kuwa ataipeleka serikali yetu Mahakama ya Afrika inayoshughulikia haki za binadamu ili kudai...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sidhani kama ni sawa kumpa mzigo wa kubadilisha katiba mhe. RAIS KIKWETE. Kazi hii hakutumwa na chama chake (si ILANI YA CCM). Tumuache afanye kazi liyopewa kwa miaka 5 hii, kisha agenda ya katiba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, Kuhusu swala la kufanya utaratibu wa kushughurikia KATIBA MPYA tayari Waziri Mkuu Mizengo, ameshalitolea tamko swala hilo na kuahidi kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kuunda timu ya watu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MJADALA kuhusu katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umeendelea kupamba moto na jana Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango, aliitaka serikali kusikiliza kilio cha wananchi na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la Mwananchi linatujulisha ya kuwa Mbunge wa Same mashariki Anne Malecela ametamka kuwa katiba Mpya sasa haikwepeki hata kidogo na ni lazima iandikwe tu.........na ya kuwa ameitaka serikali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gazeti la Mzalendo la leo lina kichwa cha habari kisemacho.................Katiba isisabishe vurugu- Maaskofu......................... Na maudhui iliyomo ni kuwa mchakato wa kudai katiba mpya au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
waungwana baada ya muamko wa kutaka katiba mpya mm nilikua na mapendekezo haya yafuatayo katika ucahguzi wa kumchagua Rais wa Jamhuri yetu ya muungano. kwanza ningependa kuona kuwa Rais wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba amesema chama chake kitawasilisha kwa Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani, nakala ya rasimu sifuri ya mapendekezo ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
112 Replies
8K Views
CUF-chama cha wananchi, kinawatangazia wanachama na wananchi MAANDAMANO MAKUBWA YA KUPELEKA RASIMU YA KATIBA MPYA KWA WAZIRI wa katiba/sheria siku ya j/nne tar 28/12/10 saa 2 asub. Kuanz...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unaweza tazama
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuendelea kutumia hoja za udini hata baada ya uchaguzi ni dalili za wazi za kuishiwa kisiasa Nyerere aliwahi kunena kuwa mtu yeyote anayetumia udini amefilisika kisiasa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom