KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Wana jf, hivi kwa sasa tunahitaji Katiba mpya kwanza au tunahitaji kufanyika kwa mijadala rasmi juu ya Katiba mpya. Nimeulilza hivi kwa sababu kuna watu wanataka tudai Katiba Mpya bila ya kujali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Alisema kinachohitajika sasa hivi ni kupata michango mingi ya mawazo ya wananchi kuliko kupoteza muda kwa kile alichokiita kuzungumza kama bata kila kukicha - AG Werema Phrase from Mwananchi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tangu kuanza kwa hili la madai ya katiba mpya ambayo ndiyo itakuwa dira yetu watz wote, naona kemekuwa na upinzani mkubwa mno kutoka kwa watawala. Ukifuatilia utagundua ya kwamba jamii nzima...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KATIBA MPYA mjadala wetu mkubwa uliopo sasa kuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba ya nchi yetu. Baada ya kuandikika mada yangu fupi kuhusu katiba hapo jana, nimepokea maoni ya wadau...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaji Omary Makungu, Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (SMZ) Jaji Fredrick Werema, Mwanasheria mkuu wa Tanzania Friday, 31 December 2010 00:14 Na Salim Said MJADALA wa katiba sasa umeingia sura...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
TLP yaungana na CUF kuhusu Katiba mpya Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 30th December 2010 @ 23:57 Imesomwa na watu: 86; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Majaji wapingana Friday, 31 December 2010 00:14 Salim Said MJADALA wa katiba sasa umeingia sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeambiwa humu ili topic yako iwe na viewers wengi for somehow you have to find a way to link with Zitto... hahaha. Anyway, sina haja hiyo topic yangu niliyoanzisha zaidi ya miaka mine iliyopita...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CUF watishia kwenda ICC Wednesday, 29 December 2010 20:52 Sadick Mtulya na Elias Sichalwe CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetishia kwenda Mahakama ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Werema kumpinga Pinda ni utovu wa nidhamu Tuesday, 28 December 2010 20:32 Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema Mpasuko uliomo katika...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kadri mjadala wa katiba mpya unavyozidi kupamba moto kila kona ya nchi hii ni muhimu sasa tukapiga hatua mbele kwa kuanza kutafakari je tunahitaji katiba ya namna gani? ikzingatiwa kuwa la muhimu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu tafadhari nisaidieni nakala ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyofanyiwa marekebisho miaka ya karibuni!!! Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu wapeendwa, leo sina mengi sana ya kuandika hapa kama ilivyo kawaida yangu. kwa kifupi sana nataka kujadili kuhusu madai ya katiba, si vibaya lakini tunapaswa kujiuliza kwanza ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CCM njia panda mjadala wa Katiba Wednesday, 29 December 2010 20:50 Hussein Issa WAKATI joto la madai ya katiba mpya likizidi kupanda, Chama Cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jaji Werema sijiuzulu kwa Dowans, Katiba Send to a friend Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema SIKU moja baada ya wadau mbalimbali kumshukia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MI NAWASHANGAA SANA WATANZANIA, hII KATIBA ILIYOPO MAMILIONI YA WATANZANIA HAWAIJUI INAZUNGUMZIA NINI, NA IMEFUATWA WAPI. wATU WANAKUFA WANAONEWA WANAFUNGWA BILA HATIA, NA WENGINE WANAACHWA HURU...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mawazo yangu naona CUF wana agenda yao na suala la Katiba Mpya!!!????; sababu zangu ni hizi hapa:- 1) Katiba, sheria mama, kimsingi ni suala la bunge-chombo cha kutunga sheria! Mimi nadhani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana chama cha wananchi CUF kiliitisha maandamano ya kuwasilisha mapendekezo ya katiba mpya. Licha ya maandamano hayo kuzuiwa na polisi dakika za mwisho wanachama wa CUF waliendelea na maandamano...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wananchi Tumesikia Jaji Werema? Kampeni ya Kukataa Katiba Ndio Imeanza. JK Kampata Jaji Werema na Wengine Waziri wa Sheria na Katiba Kuanza Kukataa Katiba kwa Kutumia Hii Misemo “Watanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawapongeza CUF na kuwalaani CDM kwa ukimya wao katika suala hili la Katiba. CUF wamethubutu jambo ambalo ni gumu kufanywa na CDM maana wao wako kimaslahi zaidi. Kama sivyo jitokezeni mniambie kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom