KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Serikali ya wanafunzi UDSM inaungana na wananchi kudai katiba mpya. Rais wa DARUSO bw Mathiasi Kipala amesema hivi karibuni wataichambua katiba iliyopo na kuandika 'katiba' wanayoitaka na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MSIMAMO wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kutaka isiandikwe katiba mpya badala yake iliyopo iwekewe viraka, umewakera wasomi, wanasiasa na wanaharakati ambao kwa nyakati tofauti jana walimtaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
CHAMA Cha Wananchi (CUF) jana kiliwazidi ujanja polisi waliokuwa wakidhibiti maandamano yao baada ya kufanikiwa kuyafanya na kuwasilisha rasimu yao sifuri ya katiba kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la Mtanzania linatuhabarisha ya kuwa Mbunge wa Ubungo Mheshimiwa John Mnyika amedai yakua Katiba iliyopo ina makosa 90 yanayohitaji kusahihishwa................. Mnyika: Katiba ina...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mara chache sana huwa tunapata taarifa za kujenga na zisizo za kishabiki kutoka gazeti la Uhuru na hii ya leo ni moja ya hizo......................... Gazeti la Uhuru linatuhabarisha ya kuwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tokea vuvuvugu la Katiba mpya lipambe moto hasa baada ya Uchaguzi wa mwaka huu 2010, polisi nao wanaonekana kutoa mwongozo wa namna ya kudai Katiba. Kama siyo usanii walioufanya jana Jijini Dar Es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
GreatThinkErs, Kama kweli tuna nia kuendeleza nchi yetu, mi naona kila MKOA/JIMBO ihangaike na maendeleo yake. Hofu ya mikoa ya Singida na Dodoma kuwa haina kitu tuitoe sasaivi kuna Uranium...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapa najaribu kuweka table, mtakuwa mnaediti na kuongeza majina ili tujue public figures gani waliotoa maoni yao kuhusu katiba mpya. Ni majina ya wanasiasa individuals walio maarufu nchini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:embarrassed: Ninachofahamu ni kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa mfumo wa Katiba. Kwa mantiki hii ni lazima kila kiongozi, iwe kwa kupenda au kwa kutokupenda awe anaifahamu katiba kabla ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi wana JF katika mihimili mitatu ya dola iliyopo..... yaani the sovereignty of the executive, parliament and judiciary (bunge, mahakama na serikali) muhimili upi unapinga mawazo ya katiba mpya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
SERIKALI NA KAULI MKANGANYIKO JUU YA 'WANANCHI KUTAKA KUANDIKA KATIBA MPYA' SASA HIVI, NI ASHIRIO SAED MWEMA AGIZA MABOMU YA KUTOSHA MWAKA MPYA TUKAUANZE KABISA UWANJANI MPAKA KIELEWEKE...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Police, CUF spar on demonstration Monday, 27 December 2010 21:22...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani sio vizuri kumdai katiba mpya jaji CHANDE wakati ndio kwanza ameapishwa jana. Tumpe kiasi cha muda kwanza apunguze kesi nzito zilizoko mahakani. Vyombo vya habari viwe fair. Jaji mkuu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeshangazwa na Kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali kupinga mchakacho wa kuwa na katiba mpya, ila anatunga hoja ya kuweka viraka kama ilivyozoeleka kusudi uchakachuaji uendelee. Huku ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwenye Orodha ya watu ambao moja kwa moja watakuwa wamechangia vurugu hata mauaji ya wananchi wakidai katiba mpya ni Fredrick Werema..Kwani kwa Maoni yake haoni kuwa Taifa linahitaji katiba...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwanasheria mkuu wa serikali Werema amesema kuwa katiba ya sasa inabidi ifanyiwe marekebishi na siyo kuandikiwa kwa katiba mpya chanzo TBC1 Habari saa 2:00 usiku
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Je, kuna mtu ana copy ya draft constitution ya CUF aliyokabidhiwa katibu mkuu wizara ya sheria na katiba, Mr Oliver Mhaiki. Maana naskia ina mapendekezo kwenye vifungu 36 na ina vipengele 130...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa kweli hata mimi sikumuelewa, ameongea kwa dharau sana, kwamba eti katiba ni kitu kidogo sana na eti watu wanaongea kama bata hawaleti hoja. Viongozi wetu need to be serious and should think...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Napenda kwuwasalimu wana JF kwa amani naleta mawazo yangu kwa uchungu wa nchi hii kwa kuona jinsi inavyoliwa na mafioso. Kwanza nataka tupingane na hukumu za ICC dhidi ya Tanzania kwani hukumu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Taarifa za vyombo vya habari leo ni kwamba Werema hataki katiba mpya. Anazungumzia kuweka viraka wakati wanasheria wenzake wanasema viraka vimefika mwisho. Ukifuatilia mabadiliko ya katiba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom