KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Kama katiba itatokea kufanyiwa marekebisho, nashauri raisi aondolewe na kura na sio kwa ukomo wa mihulai. Hii itamuwezesha raisi aliyepo madarakani kukamilisha dhima yake au kama ameshindwa...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Najiuliza tu maana kila uchao wale makada waliokuwa wanaipigia debe rasimu ya Katiba mpya ya Jaji Warioba sasa wameanza kuipotezea. Kwa mbali nawaona hawa wazee watatu rip Sitta Chenge na Wassira...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ktk katiba pendezwa spika na naibu wake wasitokane na wabunge wa kuteuliwa. Napendekeza watokane na Wabunge wa Majimbo au Wananchi waombe. Hili litaondowa dhana ya kulipa fadhila kama viongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1 -Ujamaa na kujitegemea lazima ufutwe na kulaaniwa 2-kifungu kimkingacho raisi asishitakiwe kifutwe na raisi lazima ashitakiwe kama ana makosa 3-mahakama kuu na bunge lazima ziwe huru na ziwe na...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya watu fulani wamekuwa na hasira kuhusu mamlaka ya Rais yaliyoanishwa kwenye Katiba Inayopendekezwa ile Sura ya nane,Kuanzia Ibara ya 80 mpaka 98. Watu hao wamefikia hatua ya kutaka...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Linapoibuka suala la Katiba Mpya, basi mjadala huo unavyosemwa ni kama vile kila mmoja anaona umuhimu wa kuwa na Katiba mpya kwa sasa.. Japo walio wengi wanaonekana kukubaliana na ulazima wa kuwa...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Katiba mpya iko wapi,je lini tutaendelea nayo Watanzania? Au tumepumzika kwanza ili inchi ikae sawa?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Marekani na wamarekani wamekuwa na katiba yao kwa zaidi ya miaka 300. Wengine wote hasa wanaharakati wa hapa Tanzania tumekuwa tukiwasifia wamarekani na katiba yao; mfumo wao; na demokrasia yao...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Zikifika bilioni ishirini za kuweza kufadhili mchakato wa katiba mpya, then ndipo tutakapoufikiria. Tulisha tumia pesa nyingi kudai katiba katika mchakato ambao uliharibiwa na wana harakati...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya Lissu kukataa kupima mkojo na wakili Fatma Karume kumshitaki Polisi aliemzonga Mahakamani, nimegundua kuna umuhumi mkubwa wa wananchi kujua sheria za nchi zinasema nini na pia katiba ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
“Wananchi wanataka maendeleo. Wanataka huduma bora za jamii. Wanataka maji safi na salama, wanataka elimu bora, huduma za afya, na miundo mbinu bora. Katiba mpya si kipaumbele cha Watanzania...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakubwa wameanza kunena ngoja tuone sasa itazaa matunda?.Good move kwa baraza la maaskofu.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
constitution without constitutionalism? The paths of constitutional development in China | International Journal of Constitutional Law | Oxford Academic Nadhani hii article ni nzuri sana katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huwa nikifika hatua ya kuwaza,vyama pinzani TZ napata shida saana. Anaandika Abdul Nondo. Chadema kinasemea mashariki,ACT magharibi,CUF kule, CUF nyingine huko,NCCR huko ,huyu twitter huyu fb...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NI muhimu tukusanye sahihi za wananchi 10milioni ili tupeleke petition mahakamani kudai mchakato wa katiba kukamilishwa. Wadau hili si la cdm wala ccm. Ni haki ya watanzania wote kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katiba mpya sio takwa la chama cha CCM na viongozi wa serikali waliopo madarakani.... Ni takwa la wananchi ndio maana walijitoa kupendekeza kila hitaji la rasimu ya katiba lililosimamiwa na Mzee...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sitasema mengi ila eleweni huu si wakati wa kuendelea kutoa matamko bali ni wakati wa kuchukua hatua na hatua mojawapo ni kudai kupatikana kwa katiba mpya. Nawashauri mkutane na mpange siku ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je, Katiba Mpya ni matakwa ya Serikali au ni matakwa ya wanachi? Nimemsikia kiongozi mmoja toka CCM anasema serikali ya Safari hi haioni umhuimu wa katiba mpya. Je, katiba ipo kwa ajili ya...
1 Reactions
2 Replies
960 Views
Source: The East African, Date: November 29-December 5, 2010, Page: 46 Headline: {A new constitution would do wonders, govt advised} Kenya’s prime minister Raila Odinga was in Mwanza last week...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Hawa watoto wapo Pugu, baba yao ameondoka yapata mwezi na zaidi, hawajui alipo. kwa mujibu wa hawa watoto baba yao aliwaachia unga wa ugali na tsh 5000 tu. ni vigumu kusema amekimbia watoto kwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom