KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Eet, inasemekana maamuzi ya rais kumtoa babu seya kavunja katiba ya nchi kwasababu babu seya alikuwa kasha thibitishwa na mahakama kama ni anaatia, so nini maoni yako??
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Siasa za Tanzania ni siasa za ajabu sana kuliko nchi yoyote ile. Tulianza vizuri na zoezi la katiba hatimaye bila mafanyikio. Tulianza na bwebwe za kukusanya maoni ya watu ili tuandike katiba yetu...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Bila katiba mpya , hakuna uwezekano wa upinzani wala! ananchi kushinda dhidi ya ccm. Tatizo kubwa katiba ya sasa iliongezewa kipengere cha vyama vingi bila kuvunja vipengere vilivyo kua chini ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kila nyakati katika historia inapita, Ina uthamani wake na ina utofauti wake. Nyakati moja inaweza ikawa ndio mwanzo katika mabadiliko kwa nyakati nyingine ya kibinadamu, kiutawala, kiuchumi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HAKUNA MWANACHAMA WA KUDUMU WA CHAMA CHA SIASA. Na Kibona Dickson(mchambuzi huru) Aliyekuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, Patrobas Katambi ameondoka chadema na kuhamia CCM .Laurent Masha ameamua...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA UTANGULIZI 1. Uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba Unatawaliwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Toleo hili la Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sheria Namba 8 ya mwaka 2011 limezingatia na kuweka pamoja mabadiliko yote yaliyofanywa katika Sheria hii tangu ilipotungwa mwaka 2011 hadi tarehe 28...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Baada ya kukamilisha kazi ya kuandaa Rasimu ya Awali ya Katiba, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilichapisha na kusambaza Rasimu ya Katiba katika maeneo yote nchini na katika...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, Hiki ni Kijitabu kidogo kilichoandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa ajili ya Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote. Kitabu hiki kinaelezea Rasimu ya Pili ya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nimeisoma Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa, nimeisoma yote, ni bahati mbaya inapigiwa upatu kwamba imebeba mambo ya wananchi, mambo ya wakulima, wafugaji, wavuvi, vijana na kadharika. Jamani hayo...
40 Reactions
51 Replies
6K Views
Si sahihi sana kuhusianisha katiba iliyopo na kukwama kwa maendeleo ya nchi katika nyanja mbalimbali ikiwemo maendeleo ya viwanda kwani yapo mambo kadhaa ambayo kwa pamoja huzonga zonga ukuaji na...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Ukizingatia iliyopo hatujaweza kuitii ipasavyo?
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Habari wana jukwaa. Lengo Mimi ni Kuuliza tu... Mm ni mwananchi wa kijijini huku ninayejishughulisha na Kilimo cha mazao ya biashara... Hivi Hiyo katiba mpya wanayoililia watu Hasa wanasiasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Aliekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu,ameripotiwa kupinga Katiba inayopendekezwa. Chanzo:Nipashe Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya...
4 Reactions
36 Replies
9K Views
wasalaam, watanzania kwa jumla wakuu pamoja na wana jf poleni kwa majukumu,moja kwa moja katka mada-tulivo amua kuleta rasimu ya katiba mpya tulikua na kusudio gani? na kwa sasa mchakato huu...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Uhuru wa mtu kutoa maoni kwa jambo analoliamini ni haki ya kila mtu isipokuwa tu pale haki hiyo inapoonekana kuvunja haki nyingine za msingi za watu. Uhuru wa kutoa maoni au kujieleza ni haki...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Utangulizi Mchakato wa kurekebisha katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulianza baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Vyama viwili vikuu vya upinzani nchini, CHADEMA na CUF ndivyo...
0 Reactions
52 Replies
10K Views
Baada ya mdahalo uliokusanya Itv juu ya wananchi kujua nani anataka kuwazuia watanzania kupata katiba Mpya. Je sasa unaweza kutoa jibu ulilopata? Karibu....
0 Reactions
201 Replies
24K Views
Matamanio ya watanzania wengi ni kuwa na katiba bora itakayoweza kusimamia rasilimali za nchi na kuhakikisha zinamnufaisha kila mwananchi na kuwa na ustawi mzuri wa jamii. Licha ya matamanio hayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbunge Nyalandu asema Tz inahitaji katiba mpya ili mihimili iwe na mipaka iliyowazi na kuwepo kwa uangalizi wa Bunge, Mahakama na Serikali.
16 Reactions
157 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…