NDUGU WADAU NAPENDA KUTOA PENDEKEZO LA MAJIBU MATATU WAKATI WAKUPIGA KURA,NDIO,hapana na sijui.majibu ya yapana na sijui ya kiwa mengi inatakiwa elimu irudiwe kisha tupige kura tena yakirudia tena...
Ninasikitika kuwa huyu jaji alipewa nafasi ya kuandaa muswada wa katiba akatumia mwanya huo kujinufaisha na kujipatia umaarufu wa kisiasa... Alitumia nafasi hiyo kama mtaji wa kisiasa kitu...
... Hizi Kauli Zimekuwa Zikitolewa Na Wana Ccm Wenzangu Hasa Viongozi Katika Majukwaa Ya Kisiasa. Kauli Kama Hizo Zinanitia Ukakasi Kwa Upande Wangu Sijui Wengine. Kwanin Wasiwahamasishe Kuisoma...
Prof.Lumumba kutoka Kenya,nilimsikiliza kwenye Kigoda cha MWL.Nyerere na leo nimemsilikiza vizuri. Jamaa naona anastahili kabisa kuitwa Prof.
Tuna maprofesa hapa lakini walio wengi wametekwa...
Toka nilipojitambua moja ya kitu ambacho sitamsamehe baba wa Taifa ni kutupa mamlaka ya nchi yangu ya TANGANYIKA.
Nimezaliwa baada ya muungano lakini kwa kadri ya uelewa wangu No Tanganyika...
Bila shaka mwaka 2010 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu na mnafahamu vyama viliweka Sera zao kwenye Ilani zao!
Mnafahamu Chama kilichoweka Sera ya Serikali 2 kilipata kura nyingi za Urais, Ubunge na...
Rais Kikwete amekuwa anarudia rudia kauli ya "Akili ya kuambiwa, changanya na za kwako"!
Falsafa yake ni kuwa, Ndege Gong'ota amabao ni genge la watawala mafisadi wa CCM, wanatuambia Katiba...
Hatimaye leo jioni wakati wa chakula kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha baba wa taifa hayati mwalimu Julius K. Nyerere, rais Jakaya Mrisho Kikwete amekiri kuwa hakuna muitikio wowote kwa...
Zitto Zubery Kabwe amepangua hoja dhaifu za CCM kuhusu gharama za uendeshaji wa serikali ya shirikisho kwa kuwaambia kuwa Tanzania inao uwezo wa kuendesha serikali ya idadi yoyote ile ikiwa...
UKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia...
Kuna MwanaCCM hapa JF anajiita WA TANGA. mtu huyu kaandika rundo la propaganda dhidi ya Ziara ya Jaji Warioba.
Ieleweke Jaji Warioba wala CHADEMA au Ukawa hawajaanda Makongamano ya Warioba Bunda...
Ikiwa tu dhamira ya watanzania wote ni kupata katiba mpya ambayo itatekeleza yale watakayoamua,na ikiwa dhamira hiyo ni hai basi mpaka sasa hakuna cha kuwazia kutimiza dhamira hiyo.
Maamuzi yako...
Huku hali ikiwa haijatulia ya makuamu wa NCCR Zanzibar kukana kupiga kura achilia mbali kupiga kura ya ndiyo, imegundulika mjumbe mwingine Zakia Meghji aliyeteuliwa upande wa bara na jina lake...
Jamaa alia kwenye vyombo vya habari akilia kuwa hakupiga KURA ya ndio katika kura za kuipitisha Katiba ,ni aliepiga kura ya HAPANA ,ni mjumbe wa bunge hilo la KATIBA kutoka ZANZIBAR .
MMOJA wa...
Ignorance is darkness, Ignorance brings fear, fear to lose the peace which is not there.
This complicates the ability to dare,hence no struggles for new life/the reasonable standard.
Ignorance...
NAUNGA MKONO KURA YA WAZI KWENYE BUNGE LA KATIBA
Mimi si muumini wa mchakato huu haramu wa Katiba Mpya; sijawahi kuwa muumini wake; sikubali uhalali wake na katika mengi kabisa naamini ni...
Wadau, Katiba inayopendekezwa haina maridhiano. Tafsiri yake ni kwamba, katiba hiyo ni ya CCM au upande mmoja,, na ina maslahi sana kwa CCM kuliko taifa.. Je wewe unaonaje?
Nilishasema hesabu muhimu. Nilipokuwa natafakari idadi ya wajumbe kuongezeka na kutoweka niliamua kupakua matokeo kutoka tovuti ya bunge maalumu.
http://www.bungemaalum.go.Tz/.../MATOKEO_BARA_NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.