Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Ndugu zetu Wakenya mnapoenda kwenye uchaguzi mwaka 2022 chagueni mtu mwenye maono makubwa ya mbele sio mzee mfahidhina anayewakilisha mawazo butu ya Africa ya kale. Raila Odinga ni mzee...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Aibu yake kubwa ni mbele ya Uhuru Kenyatta. Uhuru Kenyatta amembeba sana, serikali ya Kenyatta imembeba sana!! Ruto akapakwa matope hadharani na mkuu wa nchi kuwa hawezi na hana jipya maana...
1 Reactions
1 Replies
547 Views
Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77. Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbali mbali, na mwaka huu...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Serikali ya Marekani imemtaka Rais Mteule William Ruto na washindani wake kupitia uchaguzi uliomalizika kufanya kazi pamoja kwa manufaa ya nchi. Kupitia taarifa yake, Ubalozi wa Marekani...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga amefanikiwa kumpita William Ruto kwa idadi ya Kura baada ya kuwa nyuma kwa masaa kadhaa Hadi kufikia leo saa 6:30 mchana Odinga alikua na kura 6,431,752...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Daniel Musyoka aliyekuwa afisa wa tume ya uchaguzi nchini Kenya alipotea siku nne zilizopita akiwa katika chumba cha majumuisho ya kura, alisogea pembeni kidogo kuzungumza na mtu ambae...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Rais mteule wa Kenya Dkt. Ruto amesema Ushindi wake ni halali na kwamba wale Makamishina wanne waliomkataa hawana nguvu hiyo Kikatiba. Asema Katiba imempa mamlaka Chebukati kutangaza mshindi na...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Haya mambo msichukulie kirahisi. Si mmeona chebukati hajasema eti wananchi wanataka maji na blah blah nyingine, si mmeona usalama wao wa taifa hawaingilii lolote kuanzia ngazi za chini hadi juu...
0 Reactions
7 Replies
968 Views
President-elect William Ruto says he is yet to have a conversation with outgoing President Uhuru Kenyatta. Mr Kenyatta had backed his rival, Azimio leader Raila Odinga, in the contest for Kenya's...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania tumekuwa tukililia sana kuwa na Tume huru ya Uchaguzi. Hivi majuzi Kenya wamefanya uchaguzi wao na karibu asilimia kubwa tumewapongeza kwa kufanya uchaguzi wa wazi kabisa na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Azimio La Umoja coalition Deputy Presidential candidate Martha Karua has expressed intention to challenge President-elect William Ruto’s victory in the just concluded elections. Taking to social...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa wadau wenye uelewa mpana zaidi. Ugandans are Kenyans are brothers. Ruto is a Kalenjin who are relatives with the Sabiny of Uganda and these people speak the same language. Its...
0 Reactions
2 Replies
740 Views
EATV kujiita east African tv kushindwa kurusha Kenya election ni aibu Hili litv linajiita east africa television cha ajabu kenya matangazo yanarushwa ya urais tv hii ipo inapifa music na hawana...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Mgombea wa Urais kupitia Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga ameendelea kuongoza kwa umaarufu kuliko wagombea wenzake katika Jiji la Nairobi, Kenya akifuatiwa na mgombea wa Kenya Kwanza...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Naona unacheza faulo za kila namna kwa washindani wako hata wale unaohisi wataleta ushindani Sasahivi nasikia huaminiani sana na uhuru kwani anaweza kukugeuka lakini unatumia nafasi yako...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Mzee Odinga sijui kanusa kushindwa sijui Mawakala wake wamekuwa wakilalamikiwa na Tume kuzua vurugu kila mara kwenye ukumbi wa kuhesabia kura Bomas Wakala Mkuu wa odinga anasema Bomas imekuwa...
9 Reactions
175 Replies
12K Views
Naibu wa Rais wa Kenya ambaye ni mgombea Urais wa nchi hiyo Dkt. Ruto amesema kwa mujibu wa Bible kura hupigwa ili kupata matokeo lakini Uamuzi wa mwisho nani ni mshindi hufanywa na Mungu wa Mungu...
12 Reactions
70 Replies
6K Views
Tangu zoezi la uhakiki lianze hadi leo pale Bomas tumeshuhudia Kwaya mbalimbali zikiinjilisha ikiwemo Kwaya ya Mtakatifu Kizito kutoka Tanzania. Lakini hatukuwaona waimbaji wa Kaswida. Nadhani...
5 Reactions
52 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…