Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Rais wa Kenya William Ruto pamoja na mwanasiasa maarufu nchini humo Raila Odinga wamesaini mkataba utakaowaruhusu kufanya kazi kwa ushirikiano katika kushughulikia matatizo mbalimbali...
1 Reactions
9 Replies
303 Views
Mkutano wa “Kujadiliana kwa pamoja Fursa Mpya kutokana na Uchumi wa China” ulioandaliwa na Idhaa ya Kiswahili ya Kituo cha Kimataifa cha Televisheni cha China (CGTN) cha Shirika Kuu la Utangazaji...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
It is time to put things to end now, lets give an account of progress for these two projects! No more time for mere yaps... CC: Tony254, joto la jiwe, NDINDA n eliakeem Moderator plse pin...
10 Reactions
1K Replies
63K Views
The Kenya Ports Authority (KPA) has officially operationalised the Sh32 billion Container Terminal 2 with a first ship docking with 2,704 twenty-foot-equivalent units (TEUS) on Tuesday. The...
1 Reactions
1 Replies
632 Views
Wizara ya afya nchini Kenya imesema ipo mbioni kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200 katika vijiji vitatu vya jimbo la Kisii eneo la Nyanza Magharibi ya...
2 Reactions
4 Replies
171 Views
  • Redirect
Hivi karibuni, BBC News Afrika imeripoti kuwa TikTok inanufaika na matangazo ya moja kwa moja ya maudhui ya kingono yanayofanywa na vijana kuanzia miaka 15. Wanawake watatu kutoka Kenya wamesema...
0 Reactions
Replies
Views
Ripoti hii ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu huko nchini Kenya imebaini dosari kubwa za kifedha katika ajenda ya Rais Wiilliam Ruto ya "Hustlers Fund" Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka wa fedha...
2 Reactions
3 Replies
267 Views
Mwalimu mmoja katika Kaunti ya Nyamira nchini Kenya amelazwa katika hospitali ya Ikonge baada ya kushambuliwa na mwalimu mkuu kwa madai ya kuchelewa kufika shuleni. Mwalimu huyo wa Sekondari...
8 Reactions
33 Replies
821 Views
Queen Elizabeth II's 1972 Kenya Stopover: A Pivotal Moment in Post-Colonial Diplomacy Queen Elizabeth II's brief stopover in Kenya during March 1972 represented a critical juncture in...
1 Reactions
2 Replies
186 Views
Rais William Ruto ametangaza kuwa atashirikiana na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, ili kufanikisha ajenda za maendeleo za serikali. Akimpokea Raila Odinga katika Ikulu ya Mombasa siku ya...
1 Reactions
7 Replies
453 Views
Hatimae sakata la comedy kati ya wanaume wawili Halmashauri ya Nairobi Na kampuni ya umeme ya Kenya Rais Ruto ameingilia kati na kuaguza umeme urudishwe HALMASHAURI Na halmashauri ya jiji la...
1 Reactions
1 Replies
168 Views
Now some of individuals brag a lot about Nairobi quality facilties without knowing Zanzibar Island has relative the same quality facilities. It's time to make this known.
4 Reactions
147 Replies
11K Views
Hii inaitwa ubaya ubwela Mwosha. Huoshwa Yaani Kampuni ya umeme Kenya inadai HALMASHAURI WAKAKATA UMEME Nao WANADAIWA KODI na HALMASHAURI mashallah wakamwaga UCHAFU MLANGONI Hii n ubaya...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
WAKUU habarini za jion Naangalia itv hapa naona habari njema MH RAISI WA Kenya ameomba wakenya kuwa watulivu kwani sasa ameomba wapinzani kukaa pamoja kuunda serikali ya UMOJA Amesema hii nchi...
7 Reactions
22 Replies
697 Views
  • Redirect
SIASA mchezo machafu sana sanaa Dah MH aliapa hakuna mkate Tena Wala kugaiana vyeoooo Leo amekutana na mwamba .baba RAILA amesema wamekubaliana kuunda serikali ya UMOJA kabla ya April Hii...
0 Reactions
Replies
Views
The difference starts right at Namanga. Check the trucks at the border. There are no Kenyan Trucks. But TZ Trucks are loaded bringing goods to Kenya and going back empty. 1-0 TZ TZ Roads are...
3 Reactions
9 Replies
461 Views
Wakuu, Huko nchini Kenya mambo yameendelea kuwa ya moto. Hivi karibuni ripoti ya Hazina ya Taifa imeonyesha kuwa kati ya Septemba 1 hadi Desemba 31, 2024, serikali ya Kenya ilikopa jumla ya...
0 Reactions
2 Replies
175 Views
Vyanzo vya taarifa nchini Kenya vinaeleza kuwa Wafula Chebukati yupo mahututi na amelezwa ICU == Familia ya Mwenyekiti mstaafu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati...
0 Reactions
3 Replies
272 Views
Kwa Sasa Siasa za Tanzania ndio zinatawala ukanda wa Africa mashariki na nchi zote wanaiga CCM Kenya Sasa kivitendo wako bado na katiba yao ya Zamani Mlale unono 😄
0 Reactions
1 Replies
214 Views
Wakuu, Itoshe kusema kwa tabia za kiafrika zinafanana. Ikulu ya Kenya, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Baraza la Mawaziri, zimeongezewa KSh5 bilioni (takriban TSh99 bilioni) za ziada kwa...
0 Reactions
5 Replies
239 Views
Back
Top Bottom