Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Baada ya kumaliza Kikao cha Pamoja EAC na SADC jijini DSM Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Rais Ruto ameongea na Mabalozi wa nchi zote duniani na kuwaelezea yanayoendelea Congo Ruto...
3 Reactions
2 Replies
399 Views
My Take: Wale wa Katiba Mpya wanaitwa huku watupe majibu.
1 Reactions
7 Replies
486 Views
Any 5 star hotel of this size (170+ rooms) in Kenya outside Nairobi? Meliá Hotels International results for the first half of 2019 Email Print Friendly Share August 05, 2019 10:02 ET |...
5 Reactions
282 Replies
32K Views
Wakuu, Sakata la kufutwa kwa shirika la USAID limeendelea kusababisha vilio duniani kote na hii ni baada ya hivi karibuni Wakenya takriban 40,000 kutarajiwa kupoteza kazi zao iwapo shirika hilo...
1 Reactions
2 Replies
404 Views
Huyu mtawala wa Kenya amejawa na kiburi sana, anawaambia raia wake hakuna mtu anayeweza kumwambia kitu, yeye ana PhD na hajui hata wengine wamesoma wapi!
2 Reactions
4 Replies
374 Views
Wakuu, Akizungumza hivi karibuni kwenye mahojiano, aliyekuwa makamu wa Raiswa Kenya, Rigathi Gachagua amesema kuwa alishapewa Ksh Bilioni 2 na Rais Ruto ili ajiuzulu nafasi yake ya Umakamu...
0 Reactions
6 Replies
375 Views
Kiongozi wa chama cha Thirdway Alliance, Ekuru Aukot, amesema kuwa Kenya inaweza kujitegemea bila msaada kutoka Shirika la Usaidizi la Marekani (USAID) tatizo kubwa limekuwa ni rushwa na matumizi...
0 Reactions
3 Replies
302 Views
Mbunge wa Embakasi Mashariki, Babu Owino, amemwandikia barua ya kumtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutoa maelezo kamili ya kuzuiliwa kwake na sababu za kuorodheshwa kwake kama mtu...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta ameonya viongozi wa Afrika dhidi ya kutegemea sana misaada ya kigeni kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kusitisha msaada wa shirikisho...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Hili ni bandiko la WITO Serikali za Jamhuri ya Kenya na Jamhuri ya Somalia zote ni huru kuendesha mambo yake ya ndani. Nchi moja kuingia nchi nyingine kwa kisingizio cha tishio la UGAIDI katika...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Well, I thought it was just here on Jamii Forums where we throw banters at each other but I noticed you guys use this statement too much. Here in Kenya 'una roho mbaya' is one of those very deep...
0 Reactions
3 Replies
709 Views
Well, I thought it was just here on Jamii Forums where we throw banters at each other but I noticed you guys use this statement too much. Here in Kenya 'una roho mbaya' is one of those very deep...
1 Reactions
77 Replies
9K Views
Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kufanyika kwa mkutano na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuhusiana na mgogoro katika eneo la Mashariki mwa DRC, ambao utafanyika...
4 Reactions
9 Replies
785 Views
Tujiulize wa jumbe wa Tume yetu ya Uchaguzi wanapatikana vipi? Wenzetu wapo mbali sana.
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Afrika bhana matatizo yake yanafanana sana hawa shilika la umeme la Kenya michongo yao kama TANESCO tu. Wapelelezi kutoka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) wamemkamata mfanyakazi wa...
0 Reactions
1 Replies
209 Views
Emotions aside these two cities i.e. Stonetown city n Mombasa city have so much in comon. From international airports to ports to world class hotels, resorts n lodges to historical attractions...
5 Reactions
259 Replies
28K Views
Sasa Wapemba waishio Kenya wametambuliwa kama kabila rasmi nchini humo Kiongozi wa Wapemba Pwani ya Kenya amesema wamekuwepo Kenya kwa miaka Mingi na waliamua kufanya sensa na kuomba kusajiliwa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Swali: Hivi Kenya Wanaweza Kuteleza Mradi gani Kwa mafanikio? -LAPSSET ❌ -Nairobi-Mombasa Expressway ❌ -Nairobi BRT ❌ -Nairobi-Mau Forest Expressway ❌ My Take Tanzania ni tajiri sana aisee...
0 Reactions
4 Replies
216 Views
Wakuu, Jaji Mkuu Martha Koome ameituhumu serikali, kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani, kwa kuondoa walinzi wake, hatua ambayo ameielezea kama shambulio dhidi ya Mahakama na ofisi ya Jaji Mkuu...
0 Reactions
13 Replies
422 Views
Polisi nchini Kenya wamemkamata John Kiama Wambua, mwanaume mwenye umri wa miaka 29, aliyekutwa akiwa amebeba mwili wa mke wake aliyekatwa vipande kwenye mkoba wa nyuma. Mke wake, Joy Fridah...
1 Reactions
3 Replies
202 Views
Back
Top Bottom