Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mwanamke mmoja nchini Kenya Grace Njoki Mulei, mwenye umri wa miaka 61, ameripotiwa kutekwa nyara Alhamisi mchana akiwa katika Hospitali ya Ladnan, Eastleigh, alipokuwa akiendelea na mchakato wa...
0 Reactions
10 Replies
364 Views
Huko Kenya Hali si Hali kwa IGP. Mahakama inataka afike mahakamani akaeleze waliko raia wa Kenya waliotekwa na vinavyodaiwa kuwa vyombo vya usalama. Inaonekana amekua akikwepa kufika mahakamani...
1 Reactions
3 Replies
239 Views
https://www.youtube.com/watch?v=J8egAFLzxsA Siku mbili baada ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutoa rai kwa vijana nchini Kenya kupigania haki zao na utawala bora nchini Kenya, Rais William Ruto...
1 Reactions
6 Replies
796 Views
Wakazi wenye hasira walivamia chumba cha kuhifadhi maiti na kuchukua mwili wa mwanaharakati Richard Otieno, aliyeuawa Jumamosi usiku, kabla ya kuvamia Kituo cha Polisi cha Elburgon. Otieno...
0 Reactions
1 Replies
149 Views
Kenya imeanza mazungumzo na Umoja wa falme za kiarabu ( UAE) kwa ajili ya kupata fedha za kukamilisha ujenzi wa reli ya kisasa ( SGR). Kenya imeamua kuigeukia UAE baada ya China iliyokuwa ikitoa...
1 Reactions
10 Replies
306 Views
KENYA: Baadhi ya Wanawake wanaoishi karibu na Kambi ya Mafunzo ya Kijeshi inayoongozwa na Jeshi ls Uingereza ya BATUK wamelalamikia kutelekezwa na Wanajeshi wanaotuhumiwa kuwabaka na kuwaachia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, Kama ilivyotokea Kinondoni miezi michache nyuma, Wakenya nao wameamua kuchachamaa Soma: Video: Vurugu zazuka Kinondoni baada ya raia kugoma mwenzao kuchukuliwa na Polisi wakihofia...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Familia moja katika eneo la Saika, Nairobi, iko katika majonzi kufuatia mauaji ya kikatili ya mtoto wao, Conrad Nyabuto, mikononi mwa mpenzi wake aliyeachana naye mwezi uliopita. Zaidi ya maumivu...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Kenya imeagiza mitandao yote ya kijamii nchi Kenya kuanzisha ofisi nchini humo. Wizara hiyo imedokeza kuwa ina lengo la kuhakikisha maudhui yanayosambazwa na...
2 Reactions
7 Replies
375 Views
Wakuu, Kiongozi wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, amemtaka Rais William Ruto kujiuzulu kufuatia wimbi la hivi karibuni la utekwaji nyara, likiwemo tukio lililomhusisha Waziri wa Huduma za...
0 Reactions
3 Replies
215 Views
Wakuu, Wakati taifa la Kenya likiwa linazizima kuhusu matukio ya utekaji na mauaji, matukio kama hayo yameendelea kushamiri. Siku ya leo mwili wa mtu mmoja aliyefariki umeonekana ukielea...
0 Reactions
3 Replies
174 Views
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia...
1 Reactions
21 Replies
397 Views
Huku kwetu tunaita wasiojulikana Huko Kenya Leo waziri WA UtuMISHI KENYA amefika polisi kutoka malalamiko ya mwanae kutoweka pasipojulikana Akiongea kwa huzuni amesema. Wiki iliyopita alitoa...
1 Reactions
11 Replies
336 Views
Watu watatu akiwemo dereva bodaboda mmoja na abiria wake na mwalimu, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ndege ndogo, tukio lililotokea katika Kijiji cha Kwachocha, Malindi nchini Kenya...
0 Reactions
2 Replies
284 Views
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia Nchini Kenya Margaret Nyambura amekataa uteuzi wa Rais wa William Ruto wa kuwa balozi wa Kenya nchini Ghana. Rais Ruto alimteuwa Novemba 19...
4 Reactions
20 Replies
936 Views
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema hana shida na baadhi ya Wakenya wanaomuita "Kasongo," jina la wimbo maarufu, ambalo limekuwa likitumika kama utani kwa baadhi ya watu wanaomwona kama mtu wa...
3 Reactions
5 Replies
504 Views
A Haven of Grace, a Lifeline for a Species: Giraffe Manor’s Story of Hope and Transformation In the heart of Kenya, where acacia trees sway in the golden sunlight and the call of birds mingles...
2 Reactions
5 Replies
365 Views
Kenya ni taifa ambalo halijawahi kuupata Uhuru wake hata kidogo. Hata Mzee Jaramongi Odinga alipoandika kitabu chake cha "Not yet Uhuru" alimaanisha lakini walimpiuza. Wakenya ni wakimbizi kwenye...
3 Reactions
18 Replies
635 Views
Ripoti ya usalama wa nchi ya kenya ya mwaka 2024 imeonesha kuwa kuna matukio zaidi ya 7,100 vya ukatili wa kijinsia yaliyorekodiwa tangu Septemba 2023. Miongoni mwa matukio hayo, kesi 100 za...
1 Reactions
2 Replies
182 Views
Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu nchini Kenya imetoa ripoti mpya ambayo inaonesha kuongezeka kwa idadi ya matukio ya utekaji nchini humo dhidi ya wakosoaji wa serikali Kwenye ripoti yao ya...
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Back
Top Bottom