Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kitabu cha kufundishia habari za uislamu cha darasa la pili nchini Kenya imebidi kuondolewa kwenye muhtasari baada ya wazazi kukishtukia kikimtusi Mtume Muhammad s.a.w. Katika kitabu hicho kuna...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Just watched the statehouse summit on corruption and I couldn't have been more disgusted. A whole president complaining about corruption, blaming the Judges and what not that he has done...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Wakuu, Hivi karibuni Rais William Ruto amedokeza kuwa kuwa serikali ya Kenya tayari imelipa Tshs Milioni 500 Kenya iweze kuwa mwenyeji wa tuzo za Grammys mwaka 2027. Akizungumza wakati wa...
0 Reactions
2 Replies
385 Views
Ripoti ya Makadirio ya Ukuaji wa Uchumi ya Benki ya Dunia (WB) imeonesha Uchumi wa Kenya utashuka katika Ukuaji wake kutoka 5.0% ya makadirio ya awali hadi 4.7% ambapo Mafuriko, Maandamano dhidi...
1 Reactions
0 Replies
429 Views
Rais William Ruto leo Jumatatu, Desemba 9 alimtembelea aliyekuwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta nyumbani kwake Gatundu katika Kaunti ya Kiambu. Katika andiko la aliyekuwa Msemaji wa Ikulu Kanze...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
I like the guy na program yake kule utube,japo kuna baadhi ya topic huwa simuungi mkono,lakini nampenda na huwa nacheka sana anapoomba hela ya kununua kahawa kutoka kwa wanaopenda kutazama chanel...
0 Reactions
1 Replies
173 Views
Gavana Kenneth Lusaka akabidhi KSh Milioni 5 (TSh Milioni 102) zilizotolewa na Rais Ruto kwa Kanisa la Anglikana la ACK St. Crispinus Bungoma, wiki kadhaa baada ya Maaskofu wa Katoliki wakataa...
0 Reactions
5 Replies
420 Views
Matukio yaliyofuata mazishi ya mpendwa Erastus Nduati huko Limuru, Kaunti ya Kiambu mnamo Novemba 28, 2024, yaligeuka kuwa machafuko baada ya wahuni kuvuruga tukio hilo. Makamu wa Rais wa zamani...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Siasa za Nchi Jirani burudani sana Raila Odinga anasema Wakati Gachagua aliseti Mtego wa kumnasa asiingie Ikulu na Yeye RAO alitega Mtego wa Panya akiwatumia akina Joho Sasa nani amenasa Mimi au...
1 Reactions
5 Replies
492 Views
President William Ruto and co-chair of the Bill & Melinda Gates Foundation Bill Gates at State House, Nairobi in November 2022. Photo I PCS The High Court has issued orders suspending the Bill...
0 Reactions
1 Replies
243 Views
The Democratic Republic of Congo is looking in to join the Uganda – Tanzania oil pipeline according to Tanzania’s Minister for Energy and Minerals, Prof Sospter Muhongo reports Daily News. The...
6 Reactions
284 Replies
36K Views
Rais wa Kenya, William Ruto, ameisifu Tanzania kwa kuwa nchi inayoongoza kwa kufanya biashara kwa ukubwa zaidi Afrika Mashariki ikiizidi Kenya ambayo zamani ilikuwa ndio nchi kinara kwa kufanya...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais William Ruto amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), akichukua nafasi ya Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir. Tangazo hilo lilitolewa Jumamosi, Novemba 30...
1 Reactions
0 Replies
478 Views
Baraza la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limekataa michango yote iliyotolewa na Rais William Ruto na Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja wakati wa ibada katika Kanisa Katoliki la Soweto Jumapili...
1 Reactions
85 Replies
5K Views
Wakuu, Inaonekana kama Wakenya wameshachoshwa na ahadi za uongo kwa hivyo wameamua kuchukua sheria mkononi. Wakazi wa eneo la Mlolongo mjini Nairobi wameamua kumpitisha kwenye dimbwi la maji...
2 Reactions
2 Replies
377 Views
Daniel Wanyeki Gachoka mwenye umri wa miaka 59 kutoka Kenya ameachiwa huru baada ya kukaa gerezani kwa miaka 17 na baadae kugundulika kuwa alifungwa kimakosa Wanyeki alikuwa akitumikia kifungo...
3 Reactions
10 Replies
448 Views
Pole Rigathi Gachagua, Former Deputy President. ===== Hii ni baada ya seneti kupiga kura kupitisha mashtaka 5 kati ya 11 misingi yake ya kuondolewa kwake madarakani. Spika Amason Kingi: Seneti...
5 Reactions
110 Replies
6K Views
Naona anataka matokeo ya vituo yasiwe yanarushwa moja kwa moja papo hapo. Haya yatakuwa maandilizi kwa ajili ya wizi wa kura uchaguzi ujao.
2 Reactions
3 Replies
385 Views
Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, amesema kuwa itakuwa vigumu kumshinda Rais William Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 nchini Kenya. Akiwa mgeni...
1 Reactions
5 Replies
452 Views
Mahakama kuu ya Kenya imeagiza Adani asiruhusiwe kufanya Shughuli yoyote nchini Kenya Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza...
3 Reactions
27 Replies
830 Views
Back
Top Bottom