Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeionya Serikali ya Rais William Ruto kuhusu mipango ya kuchukua Mkopo wa Dola Bilioni 1.5 (zaidi ya Tsh. Trilioni 3.96) kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu...
1 Reactions
6 Replies
459 Views
Nimeona hio Documentary ya 60 Minutes; Kwa ufupi AI inahitaji kuwa trained ili iweze kugundua vitu kama picha, watu emotions n.k. Sasa Serikali ya Kenya imekuwa ikivutia makampuni kuja kuwekeza...
0 Reactions
3 Replies
380 Views
Huko nchini Kenya, Bunge la Seneti liko mbioni kujadili Muswada unaolenga kufuta kurushwa moja kwa moja kwa matokeo ya uchaguzi wa rais yanayotangazwa kutoka vituo vya kupigia kura. Muswada huo...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Hapa Tanzania jana Prof Kabudi amesema Somo la Biblia liingizwe shuleni Watu wamebishabisha sana Rais Ruto wa nchi jirani amesema maadili mema huanzia Kanisani hivyo serikali yake itaendelea...
0 Reactions
4 Replies
275 Views
Mfanyabiashara nguli na maarufu Duniani mh Adani ameendelea kubanwa kwenye viunga vya Africa Mashariki Baada ya kuondolewa kwenye Mambo ya Umeme na Viwanja vya Ndege, wabunge wataka aondolewe...
1 Reactions
1 Replies
242 Views
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Nakubaliana na Dr Ruto na hasa ikizingatiwa Elon Musk sasa ni mshauri wa Rais wa Marekani Taifa lenye nguvu kabisa Duniani Ruto amesema dhana ya dunia ni Kijiji siyo ya kufikirika ni jambo...
0 Reactions
1 Replies
221 Views
Vikosi vya Usalama vimeongezwa maeneo ya Ikulu na Bunge kabla ya Rais William Ruto kutoa hotuba yake leo mchana Novemba 21, 2024 baada ya taarifa za Maandamano yaliyopangwa kufanyika leo kusambaa...
0 Reactions
2 Replies
416 Views
Miezi 18 tangu kampuni ya Huduma za Intaneti ya Starlink iingie nchini humo, imedaiwa Mitandao ya Simu imeanza kupata changamoto ya ushindani sokoni. Kwa mujibu wa tovuti ya Citizen Digital...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU. Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila...
8 Reactions
176 Replies
4K Views
Kenya kila kikao cha mawazili kikiisha huwa inatolewa taarifa kwa umma kile walicho azimia hii ni ili Raia wajue nini kinazungumzwa na kupitishwa Hio ni Jana, na hio ni Taarifa tena Breaking...
8 Reactions
26 Replies
934 Views
Wadau hamjamboni nyote? Naamini Katiba ya Kenya imekiukwa uteuzi Naibu Rais Nimeshangaa kuona mtu aliyewahi kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani na bunge la senate 2020 kisha kufukuzwa kwenye...
0 Reactions
11 Replies
720 Views
Wasomali wamejipanga Kufikia 2050 kenya itakua somalia au itaongozwa na wasomali kwene kila nyanja. Na itadi yao inaongezeka. Wana kauli yao ya kusema: “Nyie kazaneni na siasa sisi tunakazana...
11 Reactions
76 Replies
4K Views
Rais Ruto hatimaye amekubaliana na Kanisa Moja Takatifu La Mitume na kuwaahidi atasahihisha Makosa Yote waliyoorodhesha --- President William Ruto now says he has heard the concerns raised by the...
1 Reactions
9 Replies
804 Views
Haya ni maajabu! 😂 Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi. Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea...
30 Reactions
92 Replies
3K Views
Nafikiria tu haya matamshi ya Ruto yangekuwa yametolewa na Kiongozi wa Tanzania kwa TEC hali ingekuwa Tete na Chadema wangenunya Kesi Jana Maaskofu wa kanisa Katoliki Kenya walimtaka Ruto na...
1 Reactions
0 Replies
383 Views
Baraza la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limeikosoa serikali ya Rais William Ruto kwa kushindwa kutimiza ahadi zake kwa Wakenya na kudumisha utamaduni wa uongo na kutumia mitambo ya Serikali...
1 Reactions
3 Replies
618 Views
Wakimbizi wengi wa kisomali wanabadili dini wakofika kenya.Hii ni kwa sababu serikali ya kenya inaruhusu kila dini tofauti na nchini kwao ambako wanauliwa kisa dini! Wasomali wanasema wamefanya...
10 Reactions
141 Replies
3K Views
Kongamano la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limepinga vikali pendekezo la kuongeza muda wa Urais kutoka miaka 5 hadi 7 wakidai ni pendekezo la kibinafsi kutokana na tamaa ya viongozi wa kisiasa...
1 Reactions
2 Replies
522 Views
Baraza la maaskofu Wakatoliki Kenya kwa kauli moja wamemkemea vikali sana Ruto kwa kile wanachosema ni Utamaduni wa kusema uongo, kunyamazisha wakosoaji, utekaji, kodi zilizopitiliza na ukiukwaji...
1 Reactions
4 Replies
393 Views
Back
Top Bottom