Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Media kuu Za kenya (Citizen, KTN, NTV) zote sinaonyesha harusi hii ya Price Harry and Meghan Markel live. Kwa kweli hapa Kenya bado kiakili tumetekwa na wakoloni. Tanzania hata hakuna yeyote...
19 Reactions
136 Replies
11K Views
Madaktari nchini Kenya wametangaza kumaliza mgomo na kurejea kazini baada ya kufikia makubaliano na serikali. kaimu wa katibu wa muungano wa madaktari nchini Kenya Chibanzi Mwachonda amesema...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, kwa msaada wa shirika la Uingereza, UK Aid, linasaidia kutoa huduma ya ulinzi kwa watoto katika makazi duni au yasiyo rasmi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Gavana wa Nyamira, John Nyagarama(74) amefariki kwa #COVID19 Nairobi katika Hospital akipatiwa matibabu Nyagarama alilazwa kwa wiki tatu ambapo baadae alihitaji Oksijeni na kuwekwa kwenye...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Huu mto unatokea Rwanda na kuishia ziwa Victoria moja kwa moja, Rwanda wameanza michakato inayoweza kuutumia kufikia Victoria kupokea mizigo. Sasa kwa sababu tunajenga bandari kubwa Kisumu ndani...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Othaya Girls School Principal Jane Kimiti holds the recognition certificate after she was crowned the 2020 African Union Continental Teacher of the Year (Courtesy) The Principal Jane Kimiti of...
6 Reactions
1 Replies
545 Views
Madaktari nchini Kenya wanaofanya kazi kwenye hospitali za umma wameungana na wahudumu wengine kwenye mgomo kulamamikia kutopewa bima ya afya na kufanya kazi kwenye mazingira magumu hasa katika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kila kunapokuwa na utata wa kidi[plomasia, Kenya always act like the bigger brother. Utapata wabongo humu wakiuona kuwa udhaifa ila Kenya inanikumbusha jinsi big brother mwenye busara anavyopuuza...
9 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama ilivyo kwa Wakenya, huwa hatukawii kudhihirisha mioyo yetu ya ukarimu inapotokea mambo kama haya, yaani jamaa muda huu anashindwa aanze kushukuru vipi maana kila akigeuza misaada kedekede...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika harakati za kupambana na COVID19 Kenya imeagiza dozi milioni 24 za chanjo ya CoronaVirus zitakazotosha 20% ya wakenya. Dozi hizo zinagharimu Ksh bilioni 10 sawa na takribani Tsh bilioni...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia kati masuala yake ya ndani. Nchi hiyo jirani wa Kenya, imetangaza kuwafukuza...
13 Reactions
55 Replies
5K Views
Lawyer Ahmednasir pays KSh 250,000 monthly for using electricity in his house - The Grand Mullah, as he is famously known, clarified he does not own a factory at his home He claimed he has not...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ugandan dairy industry reels from Kenyan ban SATURDAY DECEMBER 19 2020 Milk processing at a factory. The escalating trade dispute between Kenya and Uganda over milk exports, is just one of many...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
On the 12th floor of Mount Kenya University Plaza in Thika, Kiambu County, a group of young tech-savvy students is busy working on their computers as they receive calls on a handset. The calls...
4 Reactions
7 Replies
967 Views
KWA miaka mingi Kenya imekuwa karimu kwa kukaribisha raia wa nchi jirani zake wanaotoroka ghasia za kikabila na kisiasa katika nchi zao. Hata hivyo, nchi hizi zimekuwa zikilipa ukarimu huu...
10 Reactions
31 Replies
3K Views
Kenya to lift ban on Uganda poultry imports THURSDAY JANUARY 31 2019 In Summary Uganda submits report on eradication of the disease to World Organisation for Animal Health (OIE). Only three...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Bw. Sonko anatuhumiwa kwa ukiukaji wa katiba, utumizi mbaya wa mamlakaa, utovu wa nidhamu na uhalifu chini ya sheria. Maseneta 27 walipiga kura kuunga mkono kuondolewa ofisini kwa Bw Sonko kwa...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Sijui ni sera za kijamaa au nini husababisha Tanzania pawe pagumu kuingilika kibiashara, haswa kwa hizi za kwenye mitandao. Brighter Monday wamehama na kuamua kuendelea na huduma zao Nigeria...
8 Reactions
205 Replies
14K Views
Mahakama Nchini Kenya imemuachia huru Julius Wambua baada ya kutumikia kifungo kwa miaka 8 kwa kosa la kumbaka Mtoto wake wa miaka 15, uamuzi huo umefikiwa baada ya kujiridhisha kuwa hukumu...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom