Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Ingawa inasemekana ugonjwa bado upo lakini maisha jijini Dar es Salaam yapo normal na watu wachache sana wanaovaa hizi masks kwa sasa hali hiyo ni nchi nzima maisha yalisharudi kawaida Kenya...
1 Reactions
1 Replies
802 Views
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limeonya kwamba idadi ya wakenya wasio na uhakika wa chakula na kuhitaji msaada wa haraka wa kibinadamu sasa kuongezeka zaidi ya mara...
8 Reactions
83 Replies
5K Views
Nimekaa na kutafakari kwa kina tunu ya lugha yetu hii ya Kiswahili. Kiswahili kilitumika katika kuleta uhuru wa Tanganyika na Zanzibar. Kiswahili kilitumika kuunganisha makabila zaidi ya 120...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
WAKATI Tanzania ikitangazwa kuingia katika kundi la nchi zenye uchumi wa kipato cha kati, Kamisheni ya Uchumi Barani Afrika imesema nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki ukiondoa Kenya...
7 Reactions
56 Replies
5K Views
Kwa Kenya kutokuwemo kwenye hii orodha inaeleweka maana hali sio nzuri, hatufichi maradhi na tumekubali tunacho kirusi na tunapambana, hivyo kwa sasa inaleta mantiki kwa sisi kuzuiwa kuingia...
4 Reactions
93 Replies
7K Views
KENYA: WAANDAMANAJI ZAIDI YA 50 WANAOPINGA UKATILI WA POLISI WAKAMATWA - Maandamano ya SabaSaba yaliyokuwa yanaendelea Nairobi yamewafanya watu zaidi ya 50 kukamatwa na polisi. Waandamanaji hao...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
President Uhuru Kenyatta orders reopening of the country effective tomorrow MY TAKE: hahahaha, hahahaha, hahahaha. === President Uhuru Kenyatta has lifted the cessation of movement in Nairobi...
8 Reactions
116 Replies
7K Views
Haya bana, Wakenya hongereni sana! Kwenye WORLDMETERS mnazidi kupaa tu, now mmefika nafasi ya 90. Mkiingia 10 bora mtuambie basi. Sisi wenzenu Dar es Salaam tumebakiza wagonjwa 4 tu! tena wana...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni mtihani sana kuzungukwa na majirani wa kihivi, lazima tuwaburuze na umaskini wao tu hamna namna. Somalia: Only one hospital to treat country’s COVID-19 patients In Somalia, healthcare workers...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
KENYA: Avamiwa na Siafu baada ya kukataa kuoa binti ya mganga Kijana aliyekodi nyumba ya kifahari ya mganga eneo la Kiritiri kaunti ya Embu nchini Kenya alilazimika kuhama alipovamiwa na siafu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
President John Pombe Magufuli of Tanzania seems to be making it in Kenya as his approval rating reaches an astronomical value of 102%. The man who just three months ago was hated and was ranked...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kenyans Attack Magufuli Despite Uhuru ‘copying’ His Approach on Covid-19 President of Tanzania, John Pombe Magufuli is being praised some of...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Wizara ya Afya imeonya kuwa kupuliza madawa na kemikali kama inavyofanya katika baadhi ya maeneo haiondoi COVID19, na ni hatari kiafya Mkurugenzi Mtendaji wa Wizara hiyo, Dkt. Patrick Amoth...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Inashangaza kiukweli, Hakuna media ya Kenya iliyoripoti kuhusu Tanzania kuingia kwenye kundi la MIC ila media zao zipo busy kutafuta negative news about us au plotting fake worse news on us...
1 Reactions
53 Replies
6K Views
Nakumbuka picha za mawaziri wa Tz wakinywa vikombe vya dawa ya Madagascar iliyofuatwa kwa ndege ya ikulu, wabongo wakawa wanatokwa mipovu walipoambiwa muhimu hiyo dawa ikafanyiwa ukaguzi wa...
2 Reactions
48 Replies
4K Views
Mazungumzo kuhusu biashara huria kati ya Kenya na Marekani yaliyopangwa kufanyika tarehe Mosi mwezi huu yameahirishwa na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya hadi baada ya kuanza kutekelezwa kwa...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
What Does Tanzania Know About COVID-19 That we Don't? MY TAKE: Siku zote ni busara kujifunza toka kwa aliyefanikiwa, karibuni sana. === Tanzania President John Magufuli at a past...
7 Reactions
32 Replies
4K Views
MY TAKE ;Hahahaha, hahahaha, hahahaha. ===== Kenya is reopening up the economy gradually by easing lockdowns in the most affected areas, and hence people can travel anywhere but only if their...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Haka kaugonjwa hata mimi nilikua nimeanza kuwaiga Watanznia na kulegeza, ila hizi taarifa zimenikurupusha. Huu sio wakati wa kubeza juhudi za tahadhari dhidi ya corona, hiki kirusi kilimlaza...
5 Reactions
61 Replies
6K Views
Back
Top Bottom