Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Viongozi wa Kenya endeleeni kushupaza shingo mwisho wa siku zitavunjika. Ninachotaka kusema ni nini? Wasaidieni wakenya(wananchi) kwa sababu hii vita ya Corona ni kwenda nayo kwa umakini sana...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
The world’s most powerful countries also are the ones that consistently dominate news headlines, preoccupy policymakers and shape global economic patterns. Their foreign policies and military...
6 Reactions
60 Replies
5K Views
Mara nyingi nimewaona watu humu wakijiliwaza kwamba sababu za Kenya kuwashinda kimiundo mbinu ni kwamba mzungu aliwacha kama ameitengeneza. Sasa hizi hapa picha za jinsi mkoloni aliiacha, wenyewe...
7 Reactions
36 Replies
7K Views
Mwishowe hawa jamaa wameamua kunyoosha mikono na kuamua kufungua kila kitu ingawa virusi vya corona vinaendelea kuwagonga. Eti sasa ndio wanaanza kusema huu ugonjwa upo kwa muda mrefu ujao, ha ha...
23 Reactions
41 Replies
4K Views
Kenya jana imetangaza kupunguza ada za kuingia mbuga kuu za wanyama pori kwa watalii kutoka ndani na nje ya nchi hiyo ili kuhimiza sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na janga la COVID-19. Taarifa...
7 Reactions
50 Replies
5K Views
Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora...
9 Reactions
35 Replies
7K Views
Here's is The Secret Behind Fast Growth in Kisii Town News Hub Creator Jun 15, 2020 8:58 PM Kisii Town in Kisii County has of recent emerged as one of the fastest growing towns in Kenya. The town...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
KQ shares suspended from Trading at the NSE pending imminent state buyout!!! Current shareholding structure: Suspension of trading at the NSE: My two cents: Its a necessary evil. The...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
MY TAKE; Maumivu yatokanayo na roho mbaya, hayana dawa. ======= Magufuli on the spot for lying Tanzania was elevated to middle-income economy Erick Kombo Ndubi - World Bank...
5 Reactions
35 Replies
4K Views
Cases of COVID-19 in Kenya have hit the 7000-mark after 247 more people tested positive. Health CAS Rashid Aman said the new cases are from 4147 samples tested in the last 24 hours. “Our...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Kenya inashikilia namba ya tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa zinazodaiwa na china inakadiliwa kenya inadaiwa kama $7.9 bilion ela ambazo serikali ya kenya ilizikopa ili kusaidia miradi...
14 Reactions
55 Replies
8K Views
Karibu Wakenya milioni 2.6 tayari wana virusi vya corona, wanasayansi wameeleza baada ya kupima damu iliyotolewa kwa ajili ya protini inayotumika kwenye mfumo kinga. Protini hiyo (antibody)...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo nimesoma Dodoma imekuwa kama ulaya kwa mujibu wa stendi mpya. 😂😂😂😂 Shukrani nikaskia zinapewa JPM. Kwani rais ndiye kufanya kazi yote Tanzania? Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi? Mbona...
3 Reactions
65 Replies
8K Views
The New Kenya Planters Cooperative Union (KPCU) Dandora plant has milled more than 5,000 bags of coffee following its revival as the government opens talks with overseas buyers interested in the...
2 Reactions
0 Replies
616 Views
New plant to add 240MW to Tanzania grid TUESDAY OCTOBER 2 2018 A Tanesco power supply substation. Tanzania’s Kinyerezi II power plant will be commissioned in the next few weeks. FILE PHOTO |...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Nawapongeza Watanzania kwa kupata status ya middle income country. Lakini nataka niwaonye kuwa kuna tatizo moja kubwa mtakayo kumbana nayo. Mtaweza kuomba mikopo yoyote ile na kuipata kwa urahisi...
33 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimekua nikisoma sehemu nyingi ambapo watu wengi sana, ndani na nje ya Tanzania wakisema kwa sauti na kwa wingi sana kwamba, kupungua kwa maambukizi ya Corona Tanzania imetokana na kumuamini...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
The COVID-19 cases in Kenya are now nearing the 7000-mark after 268 more people tested positive in the last 24 hours. Health CAS Rashid Aman said the country now has a total of 6,941 cases of the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MY TAKE They had to collect the concortion discretely as they couldn't swallow their pride openly!
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom