Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kenya imethibitisha kesi nyingine 4 za wagonjwa wa Coronavirus na kupelekea idadi ya wagonjwa nchini humo kufikia 126 Wanne hao ni miongoni mwa waliofanyiwa vipimo ndani ya saa 24 zilizopita...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Denmark boosts Kenya’s Covid-19 fund Mara nyingi takwimu lengo lake ni ili kupanga mipango na bajeti ya kukabiliana na tatizo husika, ila kwa nchi zilizogubikwa na rushwa, takwimu zimegeuzwa kuwa...
3 Reactions
2 Replies
745 Views
Wanaume wawili kutoka Mtaa wa Oljorai eneo la Gilgil, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya, wameuana kwa kukatana mapanga kisa kupigania mwanamke. Akithibitisha kisa hicho Kamishna wa Polisi kaunti ya...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Kuna wimbi kubwa la wakenya wanaoishi kwenye borders za Tanzania kuvuka kuingia nchini specifically kwa ajili ya kufuata msosi na vinywaji vya bei rahisi kutokana na Kenya kuwa na upungufu mkubwa...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
cc. Tony254 Mwaswast Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Wakuu, Kwanza niwapee update ya mechi inayoendelea enya. Sababu ya Vifo kwa sasa: Corona:- 4 Polisi wa corona-4 Inaonekana G.O.K hajaridhika na hii draw na ni muhimu ijumuishe wakulima kwa...
2 Reactions
1 Replies
726 Views
Vincent Kipsegechi Yator(30) amekuwa ni mtu wa nne kuziwa kushiriki mbio za marathon, kwa kiuka sheria zinazopinga madawa AIU ilimsimamisha Yator Oktoba 2, 2019, baada ya kugundulika kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakuna kuishi kwa mazoea tena, polisi ukifanya madudu inakula kwako, fanya kazi yako kwa kuheshimu mipaka ya sheria, hakuna wa kukutetea ukichepuka, nchi hii tumepiga hatua sana kidemokrasia, kuna...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hakutaka ajulikane au aogelee kwenye misifa, wala hatafuti ubunge au umaarufu, alitinga mtaani na kuawapa chakula familia 600 na kutoweka kabla waandishi hawajaibuka...... An anonymous donor fed...
1 Reactions
5 Replies
970 Views
Rubani Daudi Kimuyu Kibati aliendesha Ndege ya mwisho kutoka New York Marekani kurudi Kenya baada ya Mlipuko wa Virusi vya Corona amefariki akiwa na umri wa miaka 63 Alifanyiwa vipimo vya afya...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nadhan Taifa lolote linahitaji watu kama hawa wanaoweza kusema na kuwaambia ukwel pale viongozi wa juu wanapofanya makosa, bila hiana wala uoga. Huyu jamaa ukimwangalia alichokizungumza ni...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Msanii wa kule Tanzania aliingia mtaani kwenye mjii mkuu wa Dodoma na kuanza kuhoji Watanzania waletewe COVID-19 ngapi, wote wamejibu vituko, ishara inayoonyesha jinsi gani Watz hawana uelewa wa...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Hivi wakenya Nani amewaloga?, hivi hamuoni kwamba njia mnazozitumia za kupunguza maambukizi hazifanyi kazi?, kwanini msitafute njia na mbinu tofauti kidogo?. Mimi ninawapenda ndio sababu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii inafanya idadi ya watu waliouliwa na POLISI kufikia 4, wakati wale waliokufa kutokana na Corona ni 3. COVID - 19: 3 POLISI: 4 Bado ndio kwanza tupo dakika za mwanzo za mtanange huu, huenda...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona (Covid-19) nchini Kenya imefikia 122 baada ya watu wengine 12 kuthibitishwa kuwa navyo ndani ya saa 24 zilizopita. Katibu wa kudumu katika Wizara ya Afya...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
KDF And Ethiopian Army in Firefight at Moyale Tulipokua watoto tulikua na msemo tukiutumia wakati wa kutaniana " Utani utani mwisho huwa kweli". Hii ya Kenya na Ethiopia inaanza kama utani...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Mtoto wa miaka 6 aliyekufa kwa Corona Kenya Leo, alikua amelazwa katika ICU pamoja na wagonjwa wengine wa kawaida na kuhudumiwa na madaktari wa kawaida bila kujua kwamba alikua na maambukizi ya...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu habari za majukumu....CHANJO ya vivid 19 INAKUJA mda sio mrefu na wazungu wanasema utafanyiwa majaribio Africa .Kuna hawa jamaa wanaoongoza Kwa kizungu Africa wanaitwa Kenya huwa mbio mbio...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hatimaye serikali ya Kenya imeonekana kuchukua hatua dhidi ya mauaji na ukatili unaoripotiwa kuendelezwa na maafisa wa polisi wanapoidhinisha amri ya kutotoka nje ya saa moja usiku hadi saa kumi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
State-owned Kenya Electricity Generating Company (KenGen) is eyeing lucrative geothermal infrastructure tenders in nine African countries, officials have said. KenGen, which last October won a...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…