Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Wale wazee wa Dar express na Shuttle kwenda Nairobi tulieni ama mtafute nauli ya ndege. Nairobi hapaingiliki kindezi Kwa sasa
3 Reactions
8 Replies
491 Views
miongoni mwa marais Imara sana, wenye nguvu, ushawishi na maono ya mbali sana, na wasio tikiswa kisiasa nchini Kenya kwa wakati huu, na anae enjoy mass support, technical and economic support ya...
5 Reactions
24 Replies
776 Views
Polisi wa Tanzania wako Vizuri kuliko wa Kenya ona Naivas Supermarket ilivyoporwa na waandamanaji mjini Naivasha katikati ya mji na hakuna polisi alitokea kuwazuia Ingekuwa Tanzania polisi...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa. Hii limekuja baada ya Rais Ruto kukataa kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Usikae mbali kufuatilia updates zaidi...
4 Reactions
5 Replies
633 Views
https://youtu.be/O87mZssRHE8?si=PZu6ybUJk6XqV2sI
1 Reactions
2 Replies
263 Views
Picha na AP. Waandamanaji 10 wanaripotiwa kuuawa na polisi baada ya kuvamia jengo la Bunge la nchi hiyo na kuwashinda nguvu polisi. Hali kwa sasa ni shwari kidogo baada ya polisi kuongeza nguvu...
14 Reactions
172 Replies
10K Views
Vijana mumeitikisa nchi ikatikisika, mumenikumbusha enzi zetu wakati tulikua tunapigania demokrasia ya vyama viwili, na pia enzi za katiba mpya, ni faraja sana kujua nchi bado iko salama na kwamba...
7 Reactions
17 Replies
610 Views
Swali la Leo: Deni la Kenya limefikia kiwango cha juu zaidi ya dola bilioni 10, wakati serikali imesema imeweka mikakati ya kuacha kukopa, nini maoni yako? --- Kiwango cha deni la Kenya kimefikia...
1 Reactions
2 Replies
978 Views
Mchoro wa Jengo la Ikulu ya Kenya umevujishwa Huu hapa. https://x.com/Murangoanalyst_/status/1805642997469495590?t=80emWWWphzY2QaF_rYH1Xw&s=19
13 Reactions
139 Replies
8K Views
Wakenya hawana lolote wanacho kifanya ni MAIGIZO tu. Ukiona mbongo anasali kwa kiingereza basi jua hana shida huyo. Ukiona mtu anaelezea matatizo yake kwa lugha ya kigeni wakati ana option...
14 Reactions
71 Replies
1K Views
Uhuru Kenyatta Rais wa mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametoa tamko kuhusu maandamano yanayoendelea dhidi ya Muswada wa Fedha. Kiongozi huyo wa zamani wa taifa alituma salamu zake za rambirambi...
1 Reactions
8 Replies
637 Views
Hii Finance bill inaenda kuwekwa saini mapema asubuhi. Wakati KDF wakiimarisha ulinzi. Jaribuni mwakani. Asanteni kwa kushiriki
1 Reactions
8 Replies
369 Views
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi. Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga. 2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono...
12 Reactions
96 Replies
5K Views
KENYA: Rais William Ruto anatarajiwa kuhutubia Taifa usiku wa leo Juni 25, 2024 ikiwa ni siku iliyotawaliwa na Maandamano katika maeneo mbalimbali ya Nchi hiyo yakiongozwa na Vijana wenye Umri...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Vurugu, uharibifu na uporaji wa maduka na mali mbalimbali binafsi na za umma vimewafanya kuonekana na kuwabainisha rasmi mchana kweupe, kumbe ni majambazi, magaidi na wezi tu, waliyo jificha...
4 Reactions
47 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Joe Biden, ameiteua rasmi Kenya kuwa mshirika mkuu wa taifa hilo asiye mwananchama wa NATO. Hatua hii ina maana kwamba licha ya Kenya kutokuwa katika sehemu ya Jumuiya ya...
0 Reactions
2 Replies
262 Views
Chombo cha Habari KTN chasema kimepokea vitisho vya kufungiwa kwasababu ya kuripoti maandamano, waambiwa waache mara moja kuripoti habari hizo. KTN wajibu na kusema hawatacha kuripoti matukio...
5 Reactions
17 Replies
760 Views
Several people have been shot in a fierce clash between anti-riot police officers and protesters opposing the Finance Bill 2024 in Nairobi. Police were forced to open fire after the protesters...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Auma Obama, dada wa kambo wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amerushiwa mabomu ya machozi na Polisi wakati wa mahojiano na Kituo cha CNN alipokuwa akihojiwa wakati akishiriki katika...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…