Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mnapowaona hawa Marais wetu kila siku wako safarini msidhani Wanaenda kuzurura bali mjue Wanaenda kutafuta Fedha za kutuletea maendeleo. Gachagua amesema ni kweli Marais wa Afrika Mashariki...
0 Reactions
2 Replies
527 Views
Mwendo wa kuendelea kutia Afrika yote kwapani na kukimbia nayo. Hapa Afrika Mashariki na Kati tulishamaliza mchezo, tumefika pia SADC sasa tunelekeza pua. Magharibi na Kaskazini mwa Afrika, hili...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Waziri wa Fedha na Hazina wa Kenya, Njuguna Ndung’u ameiambia Kamati ya Fedha na Mipango ya Taifa kuwa Madeni ya Mikopo ya muda mfupi yanayoendelea kuiva, kushuka kwa thamani ya Shilingi na...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Kwa waliozoea kutazama video za kijeshi za Ulaya, haswa zile aircraft carriers zao na nyambizi (submarines) wanaweza wasione kama kitu chochote cha maana kwenye hii video ya jeshi letu la...
6 Reactions
388 Replies
48K Views
Kenya facing a serious liquidity crisis, treasury says Kenya's Treasury says the country is facing serious cash flow challenges due to the maturing debts that have delayed the disbursement of...
0 Reactions
0 Replies
460 Views
Katika mkutano wa bunge ulioitishwa na Rais Ruto kama kiongozi wa chama cha UDA na Muungano wa Kenya Kwanza, uliohudhuriwa na zaidi ya wabunge 200, ukweli wa gharama kubwa ya maisha ambayo kwa...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani na Utawala wa Nchi imetangaza kuwa Novemba 13, 2023 itakuwa Siku ya Mapumziko kwa Nchi nzima ambapo Wananchi wote watatakiwa kushiriki katika...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Mara nyingi nimewaambia Mikenya ilopo hapa JF ni vibonzo tu wanaokuja humu kutoa stress. Sikia huyu mama hapa👇👇
2 Reactions
58 Replies
5K Views
The shilling has strengthened to an eight-month high against the dollar, boosted by remittances from Kenyans abroad amid lower dollar demand by importers ahead of the festive period. Commercial...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Foreign travel advice Kenya Safety and security Terrorism Local laws and customs Entry requirements Health Natural disasters Money Travel advice help and support Subscriptions Get email alerts...
0 Reactions
3 Replies
828 Views
Leo wanafunzi wa Mwisho wanafanya mithani wa mwisho wa waTaifa kwa shule za Misingi Kenya(KCPE) Kumbuka wana mitaala mipya ambayo imeondoa mitihani ya Taifa kwa shule za misingi. Tanzania bado...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa Mara ya kwanza Leo Kenya imeadhimisha siku ya watu wa jinsi mbili (yaani mtu Mwenye uume na uke kwa wakati mmoja), jambo ambalo Ni la kwanza kwa Afrika mashariki. Nchi hiyo Pia imekuwa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Baraza la Mawaziri limeidhinisha Muswada wa Marekebisho ya Ukaguzi wa Umma 2023, hatua inayolenga kuimarisha uhuru na uwazi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu. Rais William Ruto alitoa tangazo...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
The Royal Visit: King Charles' III speech at the State Banquet at State House, Nairobi. https://www.youtube.com/watch?v=YSMqoQg6554&ab_channel=CitizenTVKenya
0 Reactions
2 Replies
458 Views
Mamlaka ya Mapato (KRA) imesema mapato ya Mafuta kwa kipindi cha kati ya Julai na Septemba 2023 yalikuwa 84.8.% ambayo ni chini ya Makadirio huku sababu ikitokana na mauzo ya Nishati hiyo kushuka...
0 Reactions
1 Replies
706 Views
Mfalme wa Uingereza Charles III na Malkia Camilla wamepokelewa na Rais Ruto jijini Nairobi King Charles III atakuwa Africa Mashariki kwa ziara ya siku 4 Source BBC news =========== NAIROBI...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari God Bura iliyoko Homa Bay Kenya,wamemvamia mkuu wa shule hiyo kisha kumshushia kipigo katika kile kilichodaiwa amewapa uji hauna sukari. Mwalimnu...
0 Reactions
2 Replies
613 Views
Raia wanapinga agizo la Mamlaka ya Mapato (KRA) linalotaka kutoza ushuru bidhaa mpya au zilizotumika kiasi za kibinafsi au za nyumbani zenye thamani ya Tsh. Milioni 1.25 na zaidi zinazoingizwa na...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Kwa mujibu wa Rais William Ruto, Nchi hiyo imepanga kukamilisha hatua hiyo ifikapo mwisho wa mwaka 2023, ikilenga kuvutia Uwekezaji na Biashara kati yake na mataifa mengine ya Afrika. Akizungumza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Sheria mpya inayoweka kodi ya 15% kwenye mapato ya watengeza maudhui mtandaoni yaanza kufanya kazi Kenya, lakini haijapokelewa vizuri na vijana ambao wengi ndio watengeza maudhui ya mtandao. Rais...
1 Reactions
3 Replies
494 Views
Back
Top Bottom