Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Licha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya...
17 Reactions
199 Replies
7K Views
Rais wa Kenya, William Ruto leo Jumamosi ametangaza kuwa amefanya mazungumzo Ikulu ya Nairobi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Shakhboot bin Nahyan Al Nahyan...
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Wakuu heshima kwenu Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi. Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama...
15 Reactions
73 Replies
5K Views
Chama cha Azimio La Umoja One Kenya Coalition Party kimetangaza kuwa kitaendelea na maandamano ya kupinga serikali nchini kote Jumatano wiki ijayo, kikiahidi kuzidisha maonyesho kutokana na kile...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Ugumu wa maisha Kenya, mwanamke ajirusha kutoka kwenye ferry baharini akiwa na mtoto!!
2 Reactions
27 Replies
4K Views
MK254 njoo uone masrepa yenu huku sio kutwa nzima unakomaa na NATO vs One man Army (PUT IT IN) aka the bear rider --- Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limethibitisha kuwa Helikopa ya Jeshi la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiongozi wa zamani wa kundi haramu la Mungiki Maina Njenga alikamatwa nyumbani kwake eneo Kiserian usiku wa kuamkia Alhamisi. Aidha kakake Njoroge Njenga pamoja na msaidizi wake Ole lekishe...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Wakenya kwenye mitandao ya kijamii wametoka rai kwa Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kumkamata askari huyu aliyenaswa na kamera mara tu baada ya kumpiga risasi mtu mmoja kwenye maandamano...
0 Reactions
2 Replies
745 Views
Mbunge wa Embakasi Mashariki Mheshimiwa Babu Owino angali bado anashikiliwa na polisi katika kituo cha Polisi cha Wanguru kilichoko kaunti ya Kirinyanga, Mke wake Fridah Ongili amethibitisha...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
Wizara ya elimu imetangaza kuwa masomo katika shule za kutwa zilizokuwa zimefungwa leo katika kaunti za Nairobi, Kisumu na Mombasa yatarejelewa kesho Alhamisi. Awali Serikali ilitangaza kufunga...
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Msimamo wa Rais Ruto kwa wazungu utamgharimu sana, Anaweza kuunganishwa na Gadafi, Sadam, nk. Vibaraka wa maslahi ya wakoloni hawa hapa. Ruto should not take it loosely.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakenya wakiamua huwa wameamua, tatizo nguvu zote hizi mwisho wa siku zinaishia kuwanufaisha wanasiasa, wanagawana mkate kisha mambo yanaisha, nakumbuka kitambo tulikua tunafanya maandamano...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Nisiseme mengi Sana. Sote tuliisifia Kenya kwa kufanya uchaguzi huruma kabisa na matokeo yakatangazwa na ruto akashika nchi peacefully. Ila maandamano yanayoendelea Kenya pamoja na jinsi...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga pamoja na Viongozi Wakuu wa Muungano wa Azimio akiwemo Martha Karua hawajulikani waliko. Vilevile Wabunge kadhaa wa Muungano wa Azimio akiwemo Mheshimiwa Babu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
The complicated nature of wine has taken Kenyans to class, to study it. In a wine class in Nairobi, men and women in their 30s and 40s sit in rows practicing how to swirl and smell the notes of...
1 Reactions
1 Replies
652 Views
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kupitia Ukurasa wake wa twitter amethibitisha kuwa vuguvugu la maandamano ya siku tatu mfululizo kuanzia Jumatano lingali bado lipo kwenye ratiba ya Muungano wa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Serikali ya Kenya imeamuru kufungwa kwa shule za msingi na sekondari za mchana zote jijini Nairobi na Mombasa kuelekea maandamano ya upinzani ya Azimio yatakayofanyika kuanzia Jumatano ya wiki...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Starlink provides internet access to over 40 countries globally, with Tanzania set to become the third country in Africa after Nigeria and Mozambique. The Citizen reported that the service will...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 37 anakabiliwa na mashtaka ya mauaji baada ya mpenzi wake aliyefahamika kwa jina moja la Milca (48) kufariki dunia wakati wakifanya mapenzi kichakani eneo la...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kiukweli Jeshi la polisi limetumia hekima kuzuia Maandamano ya UVCCM kwani wanaokufaga huwa hawahusiani kabisa na Maandamano mfano Akwilina pale Kinondoni Magomeni Hata Maandamano ya Kenya...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…