Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Raila Odinga ni mpigania haki nguli wa wakati wetu. Amaarufu GOAT, kama alivyotambuliwa Messi Qatar, 2023. Maneno ya Odinga kwa wafuasi wake ni sheria. Leo wako mapumziko, kujipanga na kuja na...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Kiakili ya kawaida haiwezekani watu zaid ya 100 uwashawishi kwa maneno matupu wafunge mpaka kufa hiyo haiwezekani tena ukizingatia uhai ni kitu cha thamani sana ukikipoteza hauwezi kuupa kwa namna...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Jibril Abduba , ambaye ni dereva wa trela ameeleza Wanahabari kwamba waandamanaji waliomsimamisha barabarani Southern Bypass mapema leo walitaka chakula lakini akawaeleza ni nyaya tu alizokuwa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Mqjiranni zetu wa Kenya kupitia kiongozi wa ODM kuitisha maandamano ya sio na Kikomo kila J. Tatu sio sahihi na Wala haito wasaidia zaidi ya kuteteresha usalama wa nchi na kuporomoa uchumi wenu...
3 Reactions
55 Replies
3K Views
TV ya NTV imelipoti leo kwamba wanasaka kiongozi wa kanisa moja kutoka Kenya alieshirikiana na mwenzie wa Uganda kurubuni na kupotosha kondo za bwana kuuza mali zao zote kwa matumaini ya kuelekea...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Kiongozi huyo wa Upinzani unaoongozwa na Muungano wa Azimio la Umoja One, amesema maandamano ya kupinga Utawala wa Rais Ruto na Serikali yake yatafanyika leo Mei 2, 2023 licha ya Polisi kukataa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zaidi ya watu 100 wamehamishwa kutoka kanisa la Mchungaji Ezekiel Odero, la New Life Prayer Centre and Church, baada ya Mchungaji huyo anayedaiwa kuwa Mshirika wa Paul Mackenzie Nthenge kukamatwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nakumbuka Wakati anayadhibiti maandamano ya UKUTA yaliyopangwa na Chadema Shujaa Magufuli alimwaga askari polisi kila kona Makamanda wa Ufipa st wakasalimu amri Ndivyo imetokea Nairobi leo...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Sisemi mengi video clip ina yote kwa Kiswahili...
5 Reactions
54 Replies
2K Views
Raia wengi wa Kenya hasa wanaofanya kazi kati kati ya Jiji la Nairobi hawajafika mjini kutokana na woga wa vurumai za waandamanaji na mabomu ya machozi. Maafisa wa polisi wameshika doria katika...
1 Reactions
6 Replies
814 Views
Controversial pastor Paul Mackenzie was on Tuesday freed by the Malindi court and then rearrested to face fresh charges in Shanzu High Court. Principal Magistrate Ivy Wasike released Mackenzie...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uchunguzi (autopsy) uliofanywa kwa miili 110 ya waliokuwa waumini wa Kanisa la Good News International la Mchungaji Paul Mackenzie umebaini kuwa, baadhi ya waathiriwa waliuawa kwa njaa na wengine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Polisi wamelazimika kutumia vitoa machozi kutawanya Wabunge wa Upinzani waliowasili nje ya Ofisi ya Rais wakitaka kumkabidhi Rais barua inayodaiwa kueleza kwa kina matakwa ya Muungano wa Azimio...
0 Reactions
8 Replies
676 Views
Hiki ndicho kinachoendelea huko Mathare, Barabara ya Juja Rd muda huu. Ikumbukwe Polisi wamefanikiwa kuwazuia waandamanaji kuingia kati kati ja Jiji lakini Hali ni tete katika maeneo mengi...
0 Reactions
2 Replies
684 Views
Sina nia ya kukebehi imani au dini ya mtu. Lakini lazima itakuwa tumerogwa. Nani AMETUROGA? Hizi imani vipi? Yaliyotokea Kenya, yanatafakarisha. Pastor Mackenzie na Pastor Odero wamewashawishi...
1 Reactions
7 Replies
984 Views
Kufuatia maandamano ya kizalendo Kenya, serikali ya huko, imeamua kushusha bei za vyakula. Upinzani unataka bei ya unga kwa kilo isizidi 2,000/- za kitanzania, vinginevyo wanarudi Tahrir. Bei...
6 Reactions
162 Replies
6K Views
Rais William Ruto ameapa kutumia nguvu zote alizonazo kuhakikisha maandamano ya Azimio yaliyopangwa kufanyika Jumanne wiki ijayo, hayatazidi kuwa machafuko na ghasia. Hisia za Ruto zinafuatia...
4 Reactions
52 Replies
2K Views
Aisee kwa hizi nyakati Bording School ni bora zikafutwa kila mzazi alee watoto wake mwenyewe, hii ya kutegemea sijui Matron ati ndio akufundishie tabia mtoto ni kujidanganya.Wazazi kila mmoja...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
This weight loss is unprecedented, you might confuse Rutto with Mackenzie cult members who were starving in Shakaloa.
2 Reactions
16 Replies
910 Views
Back
Top Bottom