Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

MY TAKE; Tunawashukuru Sana majirani zenu kwa kuziamini Hospitali zetu na kuja kuzitumia huduma zetu, Wakenya ni jirani yetu na mtumizi mzuri Sana wa Hospitali zetu.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Watangazaji wa Kituo cha Redio cha Mwinjoyo FM kutoka Nakuru Nchini Kenya wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya wanaume waliovalia nguo nyeusi na Viziba Sura kuwataka wazime matangazo na kulala...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
PowerAfricaSolar recently made a significant contribution to rural communities in Kenya by donating 200 portable solar lights to vulnerable families with school-going students. This initiative...
0 Reactions
4 Replies
826 Views
https://www.theeastafrican.co.ke/tea/news/east-africa/eacrf-moves-on-after-nyagah-exit-4224986 MY TAKE; Kwanini wakenya wasiandamane kutaka KDF kuvunjwa na kuanzishwa jeshi linguine ambalo litakua...
3 Reactions
5 Replies
607 Views
Microsoft has launched its first software testing centre in Africa through a partnership with IT firm Techno Brain in Kenya. The multinational is outsourcing its testing and quality assurance to...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
ma MY TAKE: Kenya huenda yakawakuta yanayotokea huko Sudan. Wazo la kuigawa Kenya ni wazo linalohitaji mjadala kwa Sasa, sio jambo la kupuuzwa.
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nairobi ni jiji kubwa kwa upande wa kenya na ndio jiji lililokuwa linashikilia nafasi ya kwanza katika majiji makubwa afrika mashariki kabla ya jiji la Dar es salaam kufanya revolution na kuwa...
5 Reactions
227 Replies
58K Views
Bunge la Kitaifa la Kenya linahitaji kura za walio wengi kusitisha mafao ya kila mwezi na marupurupu mengine ambayo Rais wa zamani wa Kenya, Uhuru Kenyatta anapata kwa kinachoelezwa kuwa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakenya wanatarajiwa kuongezewa bei ya mafuta kwa zaidi ya Ksh.10 iwapo Muswada wa Fedha ya 2023 utapata idhini kutoka bungeni. Muswada huo ambao sasa uko mbele ya Kamati ya Fedha na Mpango wa...
1 Reactions
1 Replies
703 Views
Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amewasili katika kaunti ya Kilifi kuongoza awamu ya pili ya ufukuaji wa maiti katika shamba la Shakahola. Shughuli hiyo iliyokuwa imesitishwa kwa muda...
1 Reactions
9 Replies
635 Views
Wale wanaosifia uhuru wa mahakama na demokrasia Kenya tunaomba maoni yenu.
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Awuor aliruka na kukimbia katika kituo cha polisi cha Dandora kumshtaki Otieno kwa kukosa kushiba tendo la ndoa Alisemaalimpakulia utamu wa mwili wake kwa masaa mawili baada ya kulipa KSh 4000...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
The 1971 Kenyan Coup Attempt | A Chronicle In June 1971, 13 men were tried and jailed for conspiracy to overthrow the government of Jomo Kenyatta....prosecutor says 12 attempted to enlist aid...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Hazina ya Kitaifa ya chini Kenya kupitia muswada wa Fedha ambao utawasilishwa Bungeni hivi karibuni imependekeza kuwa per diem za wafanyakazi wa Serikali wanazolipwa kwenye vikao na shughuli rasmi...
1 Reactions
1 Replies
722 Views
I came across this video between oginga odinga and the british journalist. communism may be the reason why he was denied a chance to be a president
1 Reactions
2 Replies
495 Views
Hazina inalenga watu wanaopata mapato ya juu, Watumiaji wa M-Pesa na watumiaji wa mafuta kuongeza nyongeza ya Ksh. Bilioni 364 za ushuru katika bajeti mpya kupitia mpango wa ukusanyaji wa mapato...
0 Reactions
2 Replies
598 Views
MY TAKE: Uhai ni muhimu, lakini kwa wakenya "remittances" ni muhimu zaidi kuliko Uhai wao.
0 Reactions
7 Replies
627 Views
Uamuzi huo umefanywa na Upande wa chama hicho unaoongozwa na #KaniniKega baada ya Kikao kilichofanyika leo Mei 2, 2023 na kimemteua Mbunge, Sabina Chege kushika nafasi ya Mwenyekiti mpya. Kwa...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Chama cha Madaktari, Wafamasia na Wanasheria wa Meno wa Kenya (KMPDU) kimepinga marekebisho yaliyopendekezwa kwa kanuni za Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) yaliyotangazwa na Rais William...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
KENYA: Zaidi ya Watu 100 wameondolewa katika kanisa la Mchungaji Ezekiel Odero, la New Life Prayer Centre and Church, baada ya Mchungaji huyo anayedaiwa kuwa Mshirika wa Paul Mackenzie Nthenge...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom