Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Wakenya mnaoandamana kwa vurugu ninyi ni wapumbavu hamstahili kuishi kwenye jamii iliyostaarabika hamuoni uko South Afrika wanaandamana kwa amani? Wanafikisha madai yao bila matata ninyi mnafanya...
0 Reactions
2 Replies
969 Views
Hey fellow East Africans, please remind Raila zodinga, that he is now irrelevant, he should pass on the political wand to a younger generation. His kind of politics reminds me of the long extinct...
0 Reactions
6 Replies
705 Views
Nimeona hii habari kwenye ukurasa wa chombo kimoja cha habari huko Kenya. Kuwa wachambuzi wa masuala ya uchumi na siasa wanahofia Kenya inaweza kukumbwa na kilichoitokea Sri Lanka sababu hali ya...
3 Reactions
6 Replies
799 Views
Maana nchi nzima wanakuta Nairobi Kwa maandamano na wengi wameapa kwenda state house kumtoa Ruto...Je Hali itakuwaje? Au ndio wanacopy ya sirlanka ? Kesho vyombo vya habari vitakuwa live...
2 Reactions
16 Replies
791 Views
MY TAKE; Tony254 Kila tukiwaambia kwamba deni lenu ni kubwa mlikua mkijilinganisha na Japan au USA, Sasa katika orodha ya nchi ambazo zipo kwenye hali mbaya, Japan na USA hazipo. Jambo lingine...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu. Kuna biashara nataka kuitangaza Kenya. Kama mjuavyo, biashara huchangamka watu wanapopata mshahara, hasa serikali inapotoa mshahara. Naomba kujua Kenya wanapokea mshahara tarehe ngapi...
2 Reactions
11 Replies
781 Views
William Ruto amemjibu Raila Odinga kuwa asithubutu kuingiza wananchi barabarani kwani Kenya inaongozwa kwa sheria sio maandamano. Ikumbukwe kuwa Raila Odinga alihitisha maandamano ya kitaifa...
21 Reactions
84 Replies
5K Views
Kevin Anunda Mogaka, Francis Manyara Ogata, na Bravin Osano Ombongi wanadaiwa kuendesha akaunti 15 kwenye #WhatsApp na #Telegram, ambapo waliomba Kati ya Tsh. 48,000 - 672,317 kutoka kwa Wazazi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Job Title: Call Center Sales Representative (Remotely) Location: Nairobi, Mombasa Salary: 300 USD (based on meeting productive hours) Job Type: Full-time, 6 days per week, 8 hours per day Are you...
1 Reactions
0 Replies
321 Views
Inaonyesha kwamba watu wa Kenya ni watu wa amani. Tuone kesho itakuwa vipi. Sijui Ruto atafan6a Nini kesho. Lakini nimeona video clip,Rais wa Senegal anamfukuza Ruto kwenye mkutano AU. Anamwita...
1 Reactions
3 Replies
866 Views
Nashindwa kuwaelewa hawa ndugu na jirani zetu wakenya hakika kiongozi aina ya raila ni kiongozi asiyefahamu na mroho wa madaraka kupindukia. Katiba mpya walisha ipigania wakaipata na ndio...
2 Reactions
4 Replies
862 Views
Kiongozi huyo wa Upinzani amesema Maandamano na Migomo aliyoitisha dhidi ya Serikali itakayofanyika Jumatatu Machi 20, 2023 kwenye jiji la #Nairobi iko pale pale licha ya Vitisho vinavyotolewa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanauchumi naomba mnijuze ni kitu gani kinasababisha Shilingi ya Kenya kuzidi kuporomoka dhidi ya Dollar ya Marekani pia dhidi ya Shilingi ya Tanzania (Tsh). Mwaka 2020 1Ksh = 22.5Tsh. Hivi sasa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Baadhi ya wafuasi wa Azimio wameshiriki katika maandamano yaliyofanyika katika Mji wa Kisumu wakipinga gharama ya maisha kuwa juu na kushinikiza Serikali ya Rais William Ruto kuchukua hatua...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MY TAKE; Kwa hasira na chuki inayoonekana miongoni mwa vijana wengi wanaoteseka, Kenya italipuka na kuwaka moto wakati wowote kuanzia Sasa.
1 Reactions
3 Replies
597 Views
Naomba kujua manake kelele ni mingi sana joo
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) wamemtembelea kiongozi huyo wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem Sect, Eliud Simiyu maarufu ‘Yesu wa Tongaren’ anayeishi Kaunti ya Bungoma ambaye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiongozi wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem sect lililopo Bungoma nchini Kenya, Eliud Simiyu. Kenya. Kiongozi wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem sect lililopo Bungoma nchini Kenya, Eliud...
6 Reactions
56 Replies
4K Views
Wafuasi wa Azimio katika Kaunti ya Migori wamefunga sehemu ya barabara wakilalamikia gharama ya juu ya maisha na kuunga mkono mwito wa Raila Odinga wa maandamano makubwa. ===============...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
https://www.JamiiForums.com.com/data/attachment-files/2023/03/562287_83715675466eb058c7249ee11015d84f.mp3 Jiji Scams #inbox I can only talk about this cause I've fully healed. Around 2018 I tried...
1 Reactions
4 Replies
777 Views
Back
Top Bottom