Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Akizungumza katika mahojiano na waandishi wa habari, Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema “Hata (Raila Odinga) akienda mtaani kufanya ghasia akiamini Rais (William Ruto) atamwalika kwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kitendo Cha rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni rasmi wa mkutano wa chama Cha Upinzani za CHADEMA na kushangiliwa na wanachama hao, ni funzo kwa wanasiasa wa Kenya ambao kwao ni siasa za mivutano...
0 Reactions
7 Replies
973 Views
Kenya kuna uhaba wa dola za Marekani sahii tunauziwa dola moja kwa shiligi za kenya 137. Shilingi ya kenya ilikua shilingi 21 za bongo sahii ni 18. Bongo dola ni pesa ngapi
0 Reactions
5 Replies
822 Views
Wizara ya Elimu nchini Kenya imeanzisha msako mkali dhidi ya kile ilichotaja kuwa kupenyezwa kwa ajenda ya LGBTQ shuleni. Kwa mujibu wa Waziri wa Elimu, Ezekiel Machogu aliwaambia maseneta siku ya...
1 Reactions
7 Replies
941 Views
Polisi wa #Mombasa wanachunguza kisa cha Mercy Masambaga anayedai kujifungua mtoto wa kiume katika hospitali ya #Portriez Februari 26, 2023 na kukabidhiwa mtoto aliyekufa siku nne baadaye Anasema...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari ya saa hizi wakuu, Hali si shwari huko kwa Ruto, inasemekana uchumi wa Kenya uko katika hali mbaya na wameomba msaada kutoka Tanzania. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, Kenya imekumbwa na...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Kiongozi huyo wa Upinzani kupitia Muungano wa Azimio la Umoja One ameitisha Maandamano ya Nchi nzima ya Kutotii Serikali kuanzia leo Machi 9, 2023 akidai Serikali ya Rais William Ruto imepuuza...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hotuba ya Mama jana ikiangaliwa na wengi isingeweza kupita bure. Akijinadi kuwa wenzetu wako vibaya zaidi kiuchumi kuliko sisi, ingepokelewa vipi na majirani zetu? Kwamba mama alikuwa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
1. How do I brag yourself as a big economy in EA and fail to secure parts of your land ? How big are you? 2. How can you isolate some parts of your land to bandits and embrace only few? 3. Sapose...
1 Reactions
3 Replies
422 Views
Number kama zimeandikwa na mtoto wa kindergarten!!? Nipo hapa Kawe roundabout naongozana na Gari ya huko kwenu, nimeona aibu mimi Mtanzania kwa niaba yenu. Ona hapo number plate ya Tz. Way...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Huyu huyu Raila Odinga aliyekuwa darling wa Mzungu alikuwa kila kukicha yuko Ulaya au USA kuchongea wenzake, Raila Odinga aliyepeleka wenzake The Hague leo hii Mzungu kamgeuka na kapigwa ban...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Raila anawaambia Wakenya vitu vimepanda bei, (kama wanakubaliana naye) watu waandamane siku ya Jumatano. Kwanza Raila alitoa ultimatum kwa Rutto, ultimatum ya wiki mbili ambayo itaisha...
1 Reactions
6 Replies
531 Views
For those Tanzanians that were asking about the progress of "ONLY BRT" marked roads your questions have been answered. Kenya have introduced new locally assembled BRT buses in Nairobi apposed to...
5 Reactions
301 Replies
35K Views
MY TAKE; Tutashuhudia mengi kutoka kwa nchi yenye GDP kubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
4 Reactions
5 Replies
960 Views
The government and stakeholders in the public transport sector have been challenged to ensure the country’s public transport system is safe, efficient and without any form of harassment. This...
0 Reactions
6 Replies
952 Views
Taifa la Kenya linawaka moto kufuatia Mhimili wa Utendaji kuingia kwenye mgogoro wa kikatiba na Mhimili wa Mahakama (ambayo ndiyo inastahili kutafsiri sheria ikiwemo Katiba). Mataifa ya Magharibi...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote...
0 Reactions
16 Replies
927 Views
Siku chache baada ya Mahakama ya Juu nchini Kenya kuruhusu Jamii ya Watu wa LGBTQI kuunda Chama chao, Makamu wa Rais, Rigathi Gachagua amesema kuwa hawawezi kuruhusu kitendo hicho, kwani Rais...
1 Reactions
12 Replies
593 Views
Rais wa Kenya, William Ruto na mkewe wametambulisha mfumo mpya wa kufanya maombi kwa ajili ya Nchi hiyo kwa kufunga kutokula na kufanya maombi mara moja kwa wiki ikidaiwa kuwa utaratibu huo pia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Elijah Mwangi Muthoga, alikamatwa Desemba 2021 akiwa na lita 11 za mafuta ya transfoma ambayo yalikuwa yakitumika kupika chipsi kwenye Hoteli yake na pia kupakiwa tena ili kuuzwa kama mafuta ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…