Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kwa wale wakenya, wapenzi wa movie , Je Dj Afro bado anaendelea na kazi ya kutafsiri. Je ana movie mpya za 2022. Je sehemu gani Nairobi , nitakapoweza kupata CD zake ?
0 Reactions
0 Replies
300 Views
Mgala muue, haki umpe! Jameni aliyekua rais wa Kenya bwana Uhuru Kenyatta hata kama ana mapungufu mengine lakini kwenye hili nampa hongera za dhati. Nina miaka mingi sijasafiri, ila jana...
5 Reactions
1 Replies
584 Views
Ili kuongeza mapato na kupunguza ukwepaji wa kulipa kodi Kenya inapanga kuunganisha mfumo wake wa kutoza kodi na watoa huduma za simu. Kenya inawalipa kodi 7, 000,000 wakati inawatumia simu za...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Serikali kuanzia Januari 2023 itaondoa shule za msingi za bweni kwa wanafunzi wanaosoma katika darasa la 1 hadi la 9. Kenya imetangaza kuwa kuanzia mwaka ujao hakutakuwa na shule ya bweni kwa...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Taasisi ya Utafiti wa Matibabu ya Kenya (KeMRI) imeeleza kuwa licha ya kuwepo kwa visa vya Kisonono katika miaka ya nyuma lakini kirusi cha ugonjwa huo kimerejea kwa aina tofauti kikiwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Foreign currency deposits in Kenyan banking institutions rose by 21.6 per cent last year with diaspora remittances being among the major drivers of the growth. Monthly data from the Central Bank...
3 Reactions
3 Replies
654 Views
Jamaa amepata mashabiki Kenya kimzaha mzaha, tambo zake yaani, huwa namfatilia sana. Mandonga mtu kazi tuko nawe kwenye hili, uzalendo pembeni, ukipigwa ni kama umepiga. ================...
10 Reactions
29 Replies
3K Views
Rais wa Kenya, William Ruto amesema mazingira hayo yalikuwa yanamhusu Mwenyekiti huyo wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati wakati wa uchaguzi wa Agosti 2022. Amesema...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Zijue kwaya zilizotumbuiza BOMAS OF KENYA (National Tallying Centre). 1. Mtakatifu Kizito Catholic toka Makuburi Roman Catholic, TANZANIA 2. Muungano National Choir 3. Wazalendo Singers Asante.
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Samahani huwa sipendi kutafasri maana huwa napoteza maana. --- Secret land deal that made Kenyatta first president Fresh evidence pieced together by the Sunday Nation confirms widespread...
2 Reactions
4 Replies
743 Views
Wajuvi wa mambo mliokwea hizo ndege nani zaidi kati ya ET vs KQ katika nyanja zifuatazo; 1. Reliable & Convinient booking system (including payment mode = mobile money, Credit card, CASH/local or...
7 Reactions
62 Replies
11K Views
https://www.the-star.co.ke/counties/nairobi/2021-03-28-bus-rapid-transit-project-in-kasarani-area-takes-shape/ Bus Rapid Transit project in Kasarani area takes shape They are to operate...
6 Reactions
99 Replies
13K Views
Kenya Airways has nothing to fear about return of Uganda Airlines – envoy SUNDAY DECEMBER 9 2018 Insight. Kenya’s High Commissioner to Uganda, Mr Kiema Kilonzo, during the interview in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I hope everyone has heard about the Vogue challenge , it goes like this You edit your photo with the Vogue logo, I mean magazine
1 Reactions
2 Replies
626 Views
Nairobi is full of conmen. I learnt the hard way. So this year kitu hapo April I wanted to sell a laptop I had that was kinda problematic. I had bought the laptop back in 2018 for 35k. It was a...
5 Reactions
13 Replies
761 Views
Mahakama Kuu nchini Kenya imezuia utekelezwaji wa Tozo za miamala kutoka Bank kwenda kwenye simu, na simu kwenda bank hadi kesi ya msingi itaposikilizwa. Je, mahakama zetu zina uwezo huo?
0 Reactions
3 Replies
788 Views
Tangu mama Samia aukwae uongozi aliamua kubadilisha taswira kabisa, alidhamiria kufuta zile chuki chuki na majungu zilizokua zimetamalaki kwenye awamu ya tano, watu walikua makatili hadi kutia...
0 Reactions
4 Replies
655 Views
Mkandarasi mkuu wa Meta wa usimamizi wa maudhui Afrika, Sama, alitangaza mapema Jumanne kufungwa kwa kitengo chake cha usimamizi wa maudhui katika kitovu chake nchini Kenya, akitaja hitaji la...
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Ama kweli kutesa Kwa zamu. Haya si kwa majirani tu bali hata kwetu wajiandae: “They were very vocal in telling Kenyans not to vote for thieves yet they were the real thieves." Hawa siyo kwao tu...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom