Huku Kenya na Ethiopia zikijihami, marafiki wenzetu wanaendelea kulala usingizi wa pono. Yaani hawakutumia hata $1 million kwa kununua silaha halafu wanataka kutuniana vifua na sisi. Hatuko ligi...
Saturday morning I receive a call from someone claiming he had sent me money by mistake. I told him that I had not seen the message but he can initiate the reversal.
Later on, 0202110090 this guy...
Ethiopian Airlines And British Airways Grab Largest Volume Of Nigeria's Air Traffic - Report
Ethiopian Airlines ferried 416,229 passengers between Nigeria and Addis Ababa to emerge the foreign...
Kiongozi huyo Umoja wa Azimio, Raila Odinga amedai utawala wa Rais wa Kenya, William Ruto hautendi haki katika mchakato wa uchunguzi unaendelea kubaini maovu yaliyotokea Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9...
Hongera EAC kwa kulichukua hili.......
Congolese rebels M23 say they will on Thursday pull out of Rumangabo, a military camp in Rutshuru, North Kivu, they had occupied, in adherence to calls for...
Baada ya taarifa za Septemba 27, 2022 za Kujiuzulu kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) George Kinoti, Rais William Ruto amefichua kuwa alimfuta kazi kutokana na...
Uamuzi huo umechukuliwa baada ya Mfuko wa Hazina kushindwa kulipa Tsh. Bilioni 356.3 inazopaswa kulipa kila mwaka kupitia mkopo wa Tsh. Trilioni 7.4 ambao Serikali ilichukua kwaajili ya ujenzi wa...
MY TAKE: Hii ndiyo njia pekee inayoweza kuwasaidia wakenya na waafrika kwa ujumla kupambana na upungufu wa chakula.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
https://thebusinesswiz.co.tz/2023/01/03/dar-takes-on-kenya-with-2-2-billion-sgr-link-to-drc/
MY TAKE: if you can't fight them, join them.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
System ya Tanzania ilishausoma mapema Mchezo na kujua kuwa Ruto ataenda (na mpaka sasa GENTAMYCINE nasema ameshashinda) na Kumshauri Mama kutoonyesha Upande wake Wowote kati ya Ruto na Odinga...
Familia ya Kenyatta imepata Tsh. Bilioni 58.7 kwa mwaka mmoja kutokana na umiliki wao wa hisa za NCBA Group baada ya mkopeshaji wa daraja la juu kukaidi kushuka kwa soko la hisa na kuibuka kuwa...
MY TAKE: KDF wapo DRC kulinda amani wakati wameshindwa kulinda mipaka ya Kenya, hii ndio inaitwa " kupenda sifa zaidi ya uwezo wako"
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
MY TAKE: KDF wapo DRC kutafuta amani ambayo wameshindwa kuirejesha Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA) Daniel Kiptoo amesema #RuzukuyaSerikali ya 15% itasitishwa rasmi Desemba 31, 2022 na hivyo watumiaji watalazimika kulipia ongezeko...
Côte d’Ivoire was projected to be West Africa's fastest-growing economy this year at 5.7%, but Senegal is set to overtake it - expanding 4.8% this year before speeding up to 8% in 2023 and 10.5%...
Polisi wa eneo Bunge la Kandara, Kaunti ya Murang'a wanamshikilia baba wa watoto wanne wa kike pamoja na mkewe baada ya mtoto wao kufichua kuwa mzazi huyo amekuwa akiwabaka.
Inadaiwa mwanaume...
Mtu mmoja amefariki huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya basi la Modern Coast kutumbukia kwenye mto Masosa kwenye makutano ya Makutano mjini Kisii.
Kamanda wa Polisi wa Kisii Central Amos...
1. Mmetoa Uhuru kupitiliza, kwa watu wapenda RUSHWA
2. Mmejaza nafasi nyingi Sana za Uongozi (kwa kuchaguliwa na kuteuliwa-@county-Governor, Deputy Governor, senator, women rep, several MPs&MCAs)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.