Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Huku taifa la Kenya likisherehekea miaka 59 ya uhuru, hotuba ya Rais mpya wa awamu ya tano Dkt. William Ruto ilikuwa ya muhimu sana na kati ya mambo mengi aliyoyasema ni ahadi 10 muhimu; lakini...
1 Reactions
1 Replies
645 Views
Cash-strapped Nakumatt seeks financial rescue PRINTRATING A Nakumatt outlet at the Victoria Mall in Entebbe, Uganda. PHOTO | FILE By MARK KEITH MUHUMUZA in Kampala Posted Thursday, October 27...
1 Reactions
84 Replies
11K Views
Aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Uhuru Kenyatta anatarajiwa kujiuzulu kama Mwenyekiti wa Muungano wa Azimio, aliobuni pamoja Mhe' Raila Odinga katika kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita. Hatua hii...
1 Reactions
1 Replies
580 Views
As President Ruto breaks ground of Nairobi Railway City today, I think the project deserves its own thread. To be constructed on 425 acres of land owned by Kenya Railways, smack right in the...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
In light of the Ministry of Defence 2019 White Paper, the Kenya Defence Forces are to be restructured in order to better carry out their mandate to protect the Republic of Kenya, her people, her...
0 Reactions
101 Replies
13K Views
Tanzania na Uganda ndio nchi pekee East Africa ambazo unaeza kua millionaire lakini bado wewe ni maskini Mfano ukibadilisha 1 million ya Tanzania pale Namanga au Sirare unapewa 49k-45k ya Kenya...
5 Reactions
47 Replies
7K Views
Wakuu, Mwanzo nilidharau siasa za nchi nyingine Afrika Mashariki, nikajiaminisha kuwa Kenya ndiyo wana siasa safi kuliko wengine, lakini nilipotea njia kabisa. Kumbe Kenya inasiasa za Kiafrika...
2 Reactions
9 Replies
774 Views
Kwenye shughuli iliyosimamiwa na kuratibiwa na aliyekua rais wa Kenya bwana Uhuru Kenyatta. Wamekubali kuweka silaha chini na kuanza shughuli za ujenzi wa taifa, ikumbukwe jumuia ya EAC iliazimia...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Hotuba yake imenitia moyo. Amenifurahisha alipozitaka nchi majirani kutoitumia ardhi ya Congo kama uwanja wa vita. Kuna mapendekezo mengi ambayo yakifanyiwa kazi amani na ustawi utarejea Congo.
3 Reactions
12 Replies
972 Views
Rais William Ruto amewasimamisha kazi makamishna wanne wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa madai ya kukiuka miiko ya utumishi. Makamisha hao walipinga matokeo ya Urais yaliyotangazwa na...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Gavana wa kaunti ya Mombasa nchni Kenya aliyeapishwa juzi amesema uchaguzi umekwisha na sasa ni kazi tu, huku akiwahakikishia Wakenya kuwa marehemu Magufuli amerudi nchini humo kwa hiyo watarajie...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Rais wa Kenya, William Ruto amemtaka kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga kuacha kushawishi umma kupinga maamuzi hayo kwa kuwa Mahakama ndio itakayoamua kuhusu makamishna hao ambao walipinga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kufuatia kadhia mbalimbali zinazoendelea kwa wakazi wa ukanda wa Afrika mashariki kutoka nchi za kiarabu. Bunge la kenya linategenea kupitisha azimia ka kupiga marufuku raia wao kwenda nchi za...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Mahusiano ya kimataifa hususan baina ya majirani hayajengwi kwa chuki, majungu na visasi, hapakuwa na ulazima kuelekeza hasira zote zile kwa vifaranga ambavyo havikuwa na hatia yoyote..... Hao...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Taarifa kutoka Ofisi ya Rais imesema, Baraza la Mawaziri limekubali kuwa fedha zao za malipo ya mwezi mmoja, zitachangia katika hatua za serikali kusaidia Wakenya wanaokabiliwa na njaa kutokana na...
2 Reactions
8 Replies
986 Views
Punde tu baada ya Rais mpya wa Kenya bwana Ruto na mke wake Rachel kuinga Ikulu kumeonekana mfululizo wa viongozi wengi wa dini(hasa ya Ukristo) wakimiminika katika Ikulu hiyo hali ambayo imezua...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Portland Cement in trouble, banking on land sale payment East African Portland Cement Company (EAPCC), once the region’s leading cement producer, is in trouble. In the past two months, the firm...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kenya Is Becoming a Global Hub of FinTech Innovation A Safaricom employee displays the M-Pesa money transfer service on a smartphone inside a mobile phone care centre in Nairobi on November 22...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Wafanyabiashara wameilalamikia Serikali kwa kuweka Kodi kubwa kwenye uingizaji wa bidha hiyo hali inayosababisha uhaba mkubwa nchini kote Kenya inahitaji Kondomu Milioni 455 kila mwaka wakati...
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Back
Top Bottom