Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Habari wakuu, Leo nineona daladala imewekwa picha ya rais wa Kenya, William Ruto naamini Ruto ana ushawishi/supporters/fans/wannabes hapa Tanzania. Swali langu ni Je vipi Samia huko Kenya? Au...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Watumiaji wa Simu nchini humo wamebakiwa na chini ya saa 24 kukamilisha usajili wa laini zao za simu kabla Mamlaka ya Mawasiliano (CAK) haijazima huduma za mawasiliano yao. Kwa mujibu wa CAK...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Amin Mohamed Ibrahim ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) na Rais William Ruto. Mohamed, bosi wa Kitengo cha Masuala ya Ndani ya Polisi, ana uzoefu wa zaidi ya miaka 30...
0 Reactions
2 Replies
718 Views
Sasa hawa nyang'au hii tamaa ya fedha itawaua.
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Kwa sababu Ruto alikuwa amealikwa kwenye sherehe za Uhuru Uganda October 9, badala yake akaja Tanzania. Hii ni baada ya Muhoozi ku tweet "Ndugu zangu wa Kenya, mimi sitakuja huko kulikung'uta...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Tazama picha zake hapo chini Anaenda kwa jina la Bi Damaris Agnetta Luteni Kanali wa Jeshi la Kenya Hongereni sana wakinaMama duniani kote kwa uwezo mkubwa mnaozidi kuuonyesha kila siku...
6 Reactions
34 Replies
4K Views
Hatutaki vita na Wala si jambo jema Kwa stability ya East Africa. Lakini itakuwa vipi ngoma ikivuma sana na mwishowe kupasuka, Kenya itaweza kuuzima mziki wa Uganda ? Naona wazi kabisa huyu...
6 Reactions
55 Replies
4K Views
Makamu wa Rais wa Kenya mh Gachagua amesema Mfumo wa Elimu ya Vyuo Vikuu haujibu mahitaji ya Soko na umepitwa na Wakati Gachagua anetaka Mfumo huo Ufumuliwe na kusukwa upya ili uendane na bali...
0 Reactions
9 Replies
585 Views
Kama kuna Mtu anamiliki kampuni inayoshugulika na mifumo ya tehama katika financial institution na ana licence Kwa Kenya kutoa hiyo huduma please ni-inbox, I am looking for you.
0 Reactions
1 Replies
399 Views
Kutokana Ripoti za hivi karibuni za Unyanyasaji wa Kijinsia, Kimwili na Kiakili wa Wafanyakazi Wahamiaji katika Mashariki ya Kati, Wabunge Wanawake Wamesema Serikali inapaswa kudhibiti Mashirika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbunge wa Homa Bay Peter Kaluma amekamilisha Muswada unaotka kujitenga kwa Kaunti 40 kuunda Jamhuri ya watu wa Kenya Anataka Kaunti hizo kujitenga na Kenya kwa kuwa zimekuwa zikibaguliwa na kila...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kenya has failed to strike oil and gas deposits in the coastal strip that has for years been at the centre of an international border dispute with neighbouring Somalia. Seismic surveys at Mlima-1...
1 Reactions
4 Replies
586 Views
Katika mahojiano VOA Swahili amesikika mkenya mmoja akidai kuwa ukiichokoza Kenya umemchokoza Biden na Europe kwa ujumla ni baada ya kijana wa Museveni kuandika kwenye Twitter utani wa kuivamia...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na mtandao wa maadili juu ya virusi vya UKIMWI nchini Kenya (KELIN), Kliniki za wagonjwa wa VVU zipo kwenye maeneo ya wazi katika hosptali mbalimbali jambo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KURA, on Friday, September 30, deployed a team of engineers to Tanzania to benchmark how the neighbouring country rolled out the project that improved their urban mobility. Led by engineer...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya tafukari ya muda mrefu nimefikia hitimisho William Samuoi Ruto mziki wake hauna majibu kwa hiyo ninamtangaza rasmi atakuwa mrithi wa Rais Uhuru Muigai Kenyatta. Akina Raia, Musalia...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Kenya says the ICJ has no jurisdiction in Somalia sea dispute case In a case filed by Somalia over the contended potentially oil-rich seabed off the country and neighbour, Kenya’s Indian Ocean...
3 Reactions
164 Replies
22K Views
Kukamilika kwa mradi wa wa BRT, Usafiri wa Haraka wa Mabasi Nairobi kunacheleshwa na kutosekana kwa ufhadhili. Mfumo wa BRT ulitazamiwa kutoa suluhisho la kudumu la msongamano wa magari katika...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
MY TAKE: Nadhani Afrika inaanza kutafuta ufumbuzi wa matatizo yake kwa kutumia Elimu ya sayansi badala ya Elimu ya vijiweni na imani za dini na uchawi, hii ni dalili nzuri kwa mustakabali wa...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Ethiopia Thursday morning on his first tour of the region since taking office. President Ruto is also set to travel to Uganda and Tanzania. The agenda for the regional tour includes talks on...
0 Reactions
3 Replies
783 Views
Back
Top Bottom