Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mary Chebukati, mke wa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati, ni mmoja wa watu 477 ambao wameorodheshwa kwa nyadhifa 49 za Makatibu Wakuu (PS) na Tume ya Utumishi...
0 Reactions
2 Replies
663 Views
6 October 2022 Namanga, Kajiado Kenya KENYA KUSHIDWA KUTEKELEZA MAAZIMIO YA ENEO MOJA LA FORODHA / SINGLE CUSTOMS TERRITORY, KUMELETA KERO KUBWA WaBunge 'wasomi' kutoka Tanzania katika Bunge la...
0 Reactions
1 Replies
742 Views
MY TAKE: Kwahiyo hata baada ya mahakama ya EA kusema kwamba wamasai hawana haki bado hawa wakenya bado wanaendeleza chuki zao kwa Tanzania?, hovyo Sana Hawa jamaa Sent from my itel L5007 using...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwanje Faridah (42) na Cilian Awar Nyanzangu wanashikiliwa na mamlaka Jijini Mumbai, baada ya kupatikana na dawa zinazoaminika kuwa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati...
1 Reactions
0 Replies
487 Views
Rais Ruto ameidhinisha uingizaji wa mazao na vyakula vilivyobadilishwa vinasaba (GMO), na hivyo kuondoa zuio la mazao hayo lililowekwa Novemba 8, 2012. Uamuzi huo umefanywa ikiwa ni njia ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katikati ya mbuga ya wanyama ya Arbedare iliyopo nchini Kenya, kuna hoteli inayoitwa Treetops. (Pichani). Humo ndimo Eliza alitwaa kiti cha Umalkia wa Uingereza na kupata hadhi ya kuitwa Malkia...
4 Reactions
3 Replies
817 Views
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twitter, Wakili Dr. Miguna Miguna ametangaza kurejea Nchini Kenya usiku wa Octoba 25, 2022. Amesema kuwa ataondoka Toronto Octoba 24, 2022 na itakuwa ni safari...
0 Reactions
4 Replies
680 Views
Mshindi wa kiti cha Urais kenya atakua Raila Odinga na Martha Karua......Rutto na ushawishi wake na nguvu yake kamwe hawezi kuwa rais kamwe. Kwa mara ya kwanza Kenya historia inaenda kuandikwa leo...
13 Reactions
168 Replies
12K Views
Nilitegemea Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Billion 300 za Kenya ni Tsh 6 trilion hizi ni pesa nyingi sana kuziondoa kwenye matumizi ya kawaida ya Serikali. Lalini point yakr ni kwamba hawawezi endelea kukopa kugharamia matumizi ya kawaida...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Ikiwa baadhi ya Nchi Duniani zimekata ushirikiano na Russia tangu vita yake dhidi ya Ukraine, Rais William Ruto amesema wanazingatia machaguo yote yaliyopo ili kupunguza bei ya Mafuta Nchini humo...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Polisi nchini Kenya wanamsaka Mtanzania anayeshukiwa kumchoma kisu mwenzake katika eneo la uchimbaji dhahabu huko Narok katika mzozo wa kugombea bakuli la ugali. Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Najua wengi mnakumbuka kura za maruhani kule Pemba zilivyoishangaza nchi yetu sasa ukistajabu ya Pemba ambapo maruhani walizaliwa baada ya kutokuwa na wagombea wa CUF ujayaona ya Nairobi. Ghost...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
This is depressing considering Dar is the economic capital of Tanzania.
2 Reactions
4 Replies
586 Views
Kwa mujibu wa taarifa, miili 218 ambayo haijachukuliwa na wahusika au ndugu wa marehemu imehifadhiwa katika Mochwari ya Jiji la Nairobi na mingine 18 iko Mochwari ya Mama Lucy. Wananchi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dah yaani Rais anateua IGP ila inabidi akathibitishwe na bunge na kumbuka siyo bunge la kina msukuma, huko kuna upinzani wa ODM. Pamoja na matatizo baadhi waliyonayo hawa watu wametuacha mbali...
0 Reactions
8 Replies
855 Views
==== Tanzania – with a population of over 60 million – only has 16 specialists Dar es Salaam. Tanzania faces a 97-percent shortage of neurosurgeons specialists, prompting well-heeled patients to...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakati Baraza la Mawaziri la Kenya lililoteuliwa wiki hii likisubiri kuidhinishwa na Bunge imebainika kuwa malipo ya mwezi kwa kila Waziri ni Ksh. 924,000 (Tsh 17,656,624). Malipo hayo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
13 September 2022 Nairobi, Kenya HOTUBA MARA BAADA YA KUAPISHWA NAIBU RAIS MH. RIGATHI GACHAGUA Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Geoffrey Rigathi Gachagua amewaelezea raia wa nchi hii ya Kenya...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo Sept. 27, 2022 Rais William Ruto amefanya kikao cha kwanza na Baraza la Mawaziri wa Serikali iliyopita na kisha kufanya uteuzi wa Baraza lake jipya linalojumuisha Mawaziri 21 ambao watasimamia...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom