Ukosoaji huyo umeanza kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo Twitter, huku Mbunge wa Kathiani, Robert Mbui akidai Rais anajivuta sana kutangaza Serikali yake wakati kuna mambo ya dharula yanaikumbuka...
Rais wa Kenya, William Ruto amekanusha madia hayo kuwa alifanya kazi kwa siri na Uhuru Kenyatta wakati wa kampeni za uchaguzi wa Rais wa Agosti 9, 2022.
Tetesi ni kuwa walikuwa wakifanya kazi...
Kiambu Governor Kimani Wamatangi (in white helmet) at Kirigiti, Kiambu where a six-storey building under construction collapsed killing a mother and her two children in an adjacent apartment...
Kuna uzi nimekutana nawo humu unaongelea kuhusu shule za serikali ambazo ni English medium, nikawa nachanganyikiwa, maana Watz haswa walalahoi wote huwa wameaminishwa Kingereza ni cha mkoloni mara...
Wafanyabiashara sasa wako huru kuondoa mizigo yao Mombasa na kutumia njia yoyote ya usafiri kusafirisha mizigo yao kutoka bandari ya Mombasa hadi Nairobi na maeneo mengine ya pembezoni.
Hii ni...
Rais William Ruto akanusha kwenye runinga madai kuwa atatawala Kenya kiimla kutokana na jinsi baadhi ya watu wa nchi hiyo, hasa waliokuwa wakipinga juhudi zake za kuwa Rais wanavyodhania.
Asema...
Zaidi ya watu 100 walikimbizwa Hospitali baada ya kula nyama ya ngamia aliyekufa. Baadhi ya watu wakiwemo watoto wamelazwa katika hospitali ya Nyambene na wengine walitibiwa na kuruhusiwa kurudi...
Trending news huko Kenya..
Kuna Tetesi kwamba Rais wa Kenya amewapiga Marufuku waliokuwa Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali Chini ya Serikali ya Kenyatta Kusafiri Nje ya Nchi mpaka kwa Kibali...
MY TAKE: Wakenya wengi wamianza kumtaka raise wao arejee Nyumbani ili kujenga uchumi kwa kutokea ndani ya nchi badala ya kuzurura nje ya nchi
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Uainishaji wa Filamu (KFCB) Christopher Wambua amesema kuwa filamu zote zenye Maudhui ya Mahusiano au Mapenzi ya Jinsia moja, maarufu Kama LGBTQ+ ni kinyume...
Shirika la Viwango (KEBS) limezitaja aina hizo za mafuta yanayotakiwa kuondolewa madukani haraka kuwa ni Friji Safi na Garlic Oil, Fry Mate, Bahari Fry, Fresh Fri, Gold na Pure Olive Gold...
Mamlaka zinasema kuwa raia 22 wameokolewa kutoka kwa Mashirika ya #BiasharaYaBinadamu huko Laos Kusini-Mashariki mwa Asia pamoja na Raia wa Uganda na Burundi katika operesheni ya kudhibiti...
Ni hivi, meli imeandikisha kwamba imetoa gesi Oman, kisha ikashusha Tanzania, na kawaida Watanzania walivyo, wakapokea freshi kichwa kichwa tu bila umakini au ukaguzi, hiyo gesi inapitishwa...
Kenyan goods hit Ghana in new Africa trade deal
Saturday, September 24, 2022
Workers at the Associated Battery Manufacturers East Africa limited during the launch the very first locally...
Akiwa huko, Rais atakaribishwa kwa chakula cha jioni na Mfalme Charles III na pia atahudhuria Ibada ya Viongozi wa dunia leo jioni
Jumatatu, Ruto atakuwa miongoni mwa viongozi wa dunia...
Katibu wa Baraza la Mawaziri upande wa Elimu anaye maliza muda wake George Magoha ameishauri Serikali kuzifungia tovuti zote zinazo jihusisha na maudhui ya ngono nchini Kenya ili kuwanusuru vijana...
GENTAMYCINE ni Mtu ambaye huwa kwa 95% siziamini Hotuba za Marais pale wakiwa Wanaapishwa kwakuwa kwa Uzoefu wangu huwa ni Hotuba ya Asali Tamu kwa Kuiona ila Kimatumizi huwa ni Chungu na Mbaya...
Muuguzi Mkenya mwenye umri wa miaka 42 amekiri makosa ya ulaghai katika huduma za afya, kusaidia ulaghai wa huduma za afya, kula njama ya kulipa na kupokea marupurupu, na makosa mengi ya...
Nakumbuka back in 2000s hapa bongo tayari bongo flava ilikuwa imebamba lakini bado tulikuwa tunakita ngoma za Kenya kwasababu zilikuwa za moto si mchezo.
Nakumbuka wasanii waliokuwa wanatoa ngoma...