Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habarini wana MMU Mimi ni kijana wa miaka 27 nnaejiweza kumudu mahitaji yangu na hata ya famiilia ingawa mimi ni mleemavu nmebaatika kusoma na kupata kazi. Nipo single hii ni kwasababu my...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Imefika wakati baada ya kujitathimini na kuona nnatosha kuwa na mwenzi wa maisha nimeamua nije kwa wanajamvi hususani wanawake na niko very serious na hili jambo nimeona nije niliwasilishe kama...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Jf single somen kichwa cha habar na mchukue hatua
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa yeyote aliye tayari awe na sifa zifuatazo. Awe na elimu ya ngazi shahada ya kwanza na awe na mapenzi ya kweli. Karibu kutuma maombi pm
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nafuta rafiki wa kike, umri miaka 20 hadi 24, baadae aje kuwa mchumba na hatimae kuwa mke. Awe anaishi Daresalaam, na mkristo. Mim nina umri wa miaka 26, na ninafanya kazi. nipo Dar pia. Karibu...
2 Reactions
3 Replies
906 Views
Habari wanajamvi, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28 nimeajiriwa kwenye sekta ya fedha, ni mrefu (6 feet), maji ya kunde. Sina ubaguzi wa dini ila mchumba asizidi miaka 37. Ahsante
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nawasilisha...umri wake kuanzia 25--------+ hata kama nke ya ntu nipm tutayajenga tu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Halo Guys (Ladies and Gentlemen) Kama uzi unavyojieleza, Nimejitokeza hapa jukwani kutoa langu la moyoni Incase kuna mdada umri chini ya miaka 28 anahitaji mchumba basi aniPM Sifa: Awe mkristo...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Natafuta msichana wa kuanzisha nae mahusiano ili tue mke na mume kiuchumi siko vizur ila hicho kwenye picha ndicho kitega uchumi changu kwa alie tayar anichek 0718318745'; 0677950996 Sent using...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtafutaji hachoki, nahitaji mchumba (mke) awe anaishi kanda ya ziwa. Mimi n kijana mjasiliamali nina umli wa miaka 33. Ninatafuta mke mwenye umli kai ya miaka 26 hadi 33, awe mkristo, elimu...
0 Reactions
3 Replies
986 Views
Hi guys, Mimi ni kijana wa miaka 26, fresher kutoka Chuo. Nahitaji msichana wa angalau 20-25 kwa ajili ya serious relationship na baadae ndoa. Awe muislam na awe awe tayari kuambatana nami popote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, mtanzania,Nimejitokeza kwenye safu hii ya marafiki kwa lengo la kutafuta rafiki mmoja wa kike ( mchumba), mstaarabu na anayejiheshimu, ambaye...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamume ,wasifu wangu ni kama ifuatavyo; Urefu:173cm Umri 32 yrs Job:mjasiriamali Elimu: form4 Dini: Mkristo Colour:mweupe kdgo Body size:average Natafuta mwanamke mwenye sifa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za majukumuu wakuu Naomba niende kwenye maada mm ni kijana wa kiume umli 19 nimejiajili na kazi za apa mjini natafuta rafiki wa kike wakuchat nae kubadilishana mawazo na kupeana...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Beauty lady tested hiv+ age between 18 -30 yrs needed quickly for marriage, pls Pm me if ur interested, also non Hiv+ are welcomed if they r ready to live with me unconditionally am tested Hiv+.
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni Mwanaume mwenye miaka 26 najitokeza kwa mara ya kwanza katika jukwa hili kwa lengo la hapo juu kwenye heading Nataka kumuoa. Sifa; Umri: miaka 19-22 Elimu : Angalau Certificate,Diploma...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Sifa zangu zangu Umri: 27, Dini: mkristo. Naishi: Dsm Kazi: mjasiliamali Mengine PM. SIFA ZA NIMTAKAYE Dini: yoyote mwenye hofu ya MUNGU. Kabila: lolote Rangi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania, Mwenye miaka 33 nakaribisha, Wanawake kwa wasichana wenye, Nia ya dhati ya kuanza uhusiano, Utakao elekea katika ndoa. Sifa; Ucha Mungu, Dini yeyote, (Nipo tayari...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
ok
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni kijana umri miaka 28 natafuta binti kuanzia miaka 22 - 27 aliye tayari kuolewa. Mengi zaidi tutajadili PM. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…