Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kwa rehema za Manani natanguliza amani Moyo upo mashakani macho yapo gizani Si lakuvunda wala la ubani kwake taabani Kwa penzi lake la thati moyo upo rehani Nikupendae ni ww wengine hawana...
1 Reactions
3 Replies
748 Views
Habari wana JF, Mimi ni mvulana mwenye maambukizi ya VVU. Nahitaji mwanamke mwenye VVU ambaye atakuwa mke. Sichagui dini wala kabila. Umri kuanzia miaka 27 mpaka 35. Nipo serious jamani. Sihitaji...
6 Reactions
48 Replies
11K Views
mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 32 ,dini muislamu ni mwajiriwa wa serikali kada ya Elimu, nafanya kazi halmashauri ya jiji la mwanza, natafuta mwanamke aliye serious kuolewa na kuwa...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 30, elimu yangu ni bachelor degree, mimi nipo Mpanda ndipo ninapofanya kazi. Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae, kigezo cha mwanamke awe angalau na diploma au zaidi, mwanamke...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Sometimes in life all you need is peace and love actual most times you need someone to care about you make you feel special make u relax one person you can share your thoughts without being judged...
11 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari wanajf... Mimi ni kijana bora...mwenye ucheshi na ustaarabu.. Nahitaji rafiki wa kike wa kuwa na mawasiliano nae...hata ikiwezekana kwa mapenzi ya mungu tuweze hata kuwa wapenzi . 1:UMRI...
1 Reactions
68 Replies
3K Views
Mimi Ayub Muyo, nahitaji mchumba mwenye umri kati ya miaka 19 hadi 31, atakayejali familia ile nini, ivaaje kwa kushirikiana na mimi. Na tutawajali ndugu wa pande zote, Mimi naabudu BWANA MUNGU...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari za Muda huu wapendwa, Mchumba wa kiume aambaye yupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa anaitajika. Vigezo : miaka 30 mpka 36awe tayari kucheck afya, awe mkristo awe na kazi...
0 Reactions
3 Replies
747 Views
Ni kijana mwenye miaka 29 mfanyakazi private school as a teacher natafuta mchumba age between 22-25 awe na hofu ya Mungu na mweupe. Nawasilisha
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam nyote, Kama title inavyojieleza. Miaka yangu ni 34, elimu yangu ni Advanced Degrees, nimeajiriwa. Makazi yangu ya kudumu ni Dar, ila kwa sasa naishi South Korea (contract assignment)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni muajiriwa serikalini, natafuta mke mwenye umri kuanzia 18-28 elimu kuanzia kidato cha nne. Tuwasiliane kwa email; mbwana26@gmail.com au PM
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Habari wapendwa, Tafadhali yule kaka aliyekuwa anahitaji mwenza mwenye tatizo kama lake la kutoweza kumpa ujauzito naomba anitafute kama bado ajampata huyo mwanamke.
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Habar za jioni marafiki, naomba mtu yoyote ambaye yupo Kigali anisaidie kunipa kampani ili nipajue vizur kigali. Nitakuja kwa matembezi tu ya siku moja maana bajeti ni ndogo sana.
0 Reactions
1 Replies
852 Views
salamu! Kichwa cha habari kinajieleza. Natafuta girlfriend mwenye sifa hizi Umri: 18-29 Elimu: awe anajua kusoma na kuandika SIFA ZANGU Umri: 30 elimu:masters Kazi:nimeajiliwa sekta binafsi...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Hi, Rafiki wa kike anahitajika then aje kuwa mke if God wishes. Am 36, graduate nimeajiriwa serikalini, niko Dar. Uwe atleast na diploma, mwenye ajira. Uwe Mkristo (Protestant/Pentecost). Umri...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Mimi ni kijana umri miaka 27 mjasiriamali na mkulima ambaye pia namalizia elimu yangu ya chuo(shahada ya uhasibu) dini yangu mkiristu (mkatoriki) naishi DSM nahtaji mwanamke vigezo miaka...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa wote humu JF, Nimejitokeza ukurasa huu kwa mara ya kwanza, nikiwa nashida ya kupata mke. Naitwa Michael umri wangu miaka 29 kabila masai naishi Singida Manyoni ni mfanya...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya kweli sifa zangu umbo ---wa kati rangi-mweusi dini-mkristo umri-26 kazi-nimeajiriwa sekta binafsi Sifa za ninae mtaka awe maji ya...
9 Reactions
87 Replies
9K Views
Mimi ni kijana wa Kitanzania ninaishi mkoa wa Dar . Nina umri wa miaka 30 . Elimu yangu ni Masters Degree . Nina ajira inayoniingizia kipato. Nimechoka ukapela . Hivyo ,ninamtafuta mwanamke wa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi ni binti 25yrs, nahitaji mpenzi au mtu wa kuwa karibu nami na faraja, iam going through hard time kiasi na kwa magumu ninayopitia nahitaji rafiki mmoja wa pekee ataenifariji na kunishika...
10 Reactions
79 Replies
8K Views
Back
Top Bottom