Nina nia ya dhati kabisa na ukweli kutoka moyoni mwangu najitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI ili awe mwenza wangu wa maisha na tuishi maisha ya matumaini mimi...
Ni kijana wa kiume ninamiaka 32, nimeajiriwa hapa DSM nahitaji mchumba awe kati ya miaka 25-28, mweusi, mnene pia awe mkiristo na asiwe mrefu sana.
Karibu pm
Kama wewe ni mwanamke, umri wowote na huna mtu wa kukufanya utabasamu kila wakati, njoo tubadilishane mawazo, tucheke, tutaniane kidogo na tufurahi pamoja.
Kwakufanya hivyo itakufanya uwe na...
Ni kweli natafuta mke sasa. Umri nao umeenda sasa. Kwa masuala ya details yatakuwa kati yangu na huyo atakayeni inbox. Kwa kweli najua wapo wanawake humu wengi tu na wazuri tu ambao kwa namna moja...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47!Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virus vya UKIMWI ili awe mke wangu na tuishi maisha ya matumaini sina vigezo vingine na sina ubaguzi wowote wa umri...
My love i have found this site jamiiforums it's very interesting with amazing people some understand how i feel some they don't others told me to put effort while others hates me but i can't feel...
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions.
Ningependa mhusika...
Mm naitwa moody kabwe nina umri wa miaka 28
Nahitaji mke wa kuo ila mimi kwa sasa sina kazi niliachishwa kazi kipindi cha kampeni za uchaguzi na bos wangu yeye ni ccm baadala ya mimi kutekeleza...
Hello, I'd love to correspond to the above mentioned pple, I'm simple, charming and easy to get along with. Indeed a gentleman. Friends of all gender pls. Karibuni sana.
wmerwis@gmail.com...
Naitwa Prosper naishi Ndanda wilaya Masasi mkoan Mtwara umri wangu ni miaka 25 ni mkiristo na elimu yangu ni kidato cha nne.
Natafuta mke ,umri kuanzia 17-24 sichagui dini kabila wala elimu. Niko...
Habari wana jf, Mwenzenu mwaka unaisha cijafakiwa kupata mchumba Naomba sala zenu nifakiwe kumpata mchumba mwaka huu kabla haujaisha ili mwakani nifunge ndoa!
Toka 2014 sijamsikia wala kumsoma ila nimesoma mtandao mmoja ''VIKI'' akilalamikiwa kwa sms za kitapeli. Atakuambia ana jambo muhimu uwasiliane nae kwa e mail kisha fix zinaanza, Hajitambulishi km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.