Am 29 years old with honest and bachelor degree+ CPA am working in a good company as Financial Accountant in really am looking a commitment girly who will show commitment to me and create a...
Rejea kichwa cha post hapo juu,
Ila awe anaishi sehemu moja kati ya hizi kwa sasa Dodoma, Morogoro na Dar au katikati ya maeneo tajwa,kama ni muislamu basi akubali kuwa mristo baadae,tabia njema...
Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi,umri wangu ni miaka 47 tuwasiliane kwa email ifuatayo sekenemboh@gmail.com au tuma sms ktk namba 0715 33 85 27 ahsante!!
Habari wana jukwaa,
Mimi ni binti mwenye umri kati ya miaka 25 hadi 30 na mwaka 2010 wakati niko kwenye maandalizi ya ndoa na aliyekuwa mchumba wangu tuliambiwa tukapime, na ndipo nilikutwa...
Habari wana jf wenzangu wakibwa na wasalim agemate mambo vipi, leo nimeona nilete uzi mwingine huku! Mimi nauliza je hawa wanaotafuta wachumba, wapenzi, madem pamoja na marafiki hivi mnawapata...
Wasalaam......
Mimi mwanaume mwenye umri wa miaka thelathini (30) nimejiajiri na pia ni mhitimu wa shahada ya kwanza,
lakini hapa naomba kwa aliye tayari yaan mwanamke wa umri wowote ..ana...
Kwa mdada yeyote aliyejitunza mpaka kufikia umri Wa miaka 23- 26 nampa zawadi ya ndoa bila kujali mrefu, mwembamba, mweupe, mweusi hata kabila haijalishi.
Awe mjasiriamali au kama ana elimu awe...
Wish you luck my sister umpate mwanaume umtakae nimependa the way ulivoandika post yako,u seems u so intelligent i really appricate on you japo sikufahamu..nakuombea upate mume mwema..all the best...
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 33. Awe mkristo, elimu f6 na kuendelea. Awe na mwili wa wastani.
Kama una nia ya dhati ni pm tafadhari tuongee zaidi.
Mm ni kijana mwenye umri miaka 25 elim degree mkristo mcheshi ninajitambua natafuta msichana mwenye umri miaka kati ya18_25 dini yoyote rangi yoyote isipokuwa asiwe mweusi sana elim kuanzia 4m4...
Wanajamvi habari za leo,
Kwa hakika nimeleta wazo langu hili hapa jamvini lengo langu kubwa ni mwanamke wa kiarabu.Sifa na mambo mengine tutaeleweshana tutakapo kuwa tumewasiliana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.