Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi nikijana wa kitanzania naishi DAR ES SALAAM najitokeza kutafuta Girlfriend atakae kuwa mke wangu ikibidi. plz aliye tayari naomba tuwasiliane niko serious sitanii . SIFA ZANGU UMRI: MIAKA...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Dini awe Muislam,umri usiozidi miaka 23,kama mkristu awe tayari kubadili. Awe tayari kwa ndoa wakati wowote pindi tutakapo ridhiana, Mm ni mtumishi serikalini,na nipo kanda ya ziwa,kwa aliye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Awe mweupe,asiwe na makuu,Nina Mali nyingi na hela za kumtunza,ila siku tukikosa asiwe na lawama nyingi.ni hayo tu.ni pm tufanye maisha.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu wote mu wazima!!! Nimejitokeza hapa kutafuta rafiki wa kike wa kuchart nae, ila 1. Awe free asiwe controlled girl 2. umri wowote ila asizidi 23, ninaamini 24 nakuendelea...
0 Reactions
1 Replies
721 Views
Mi ni mwanaume nina watoto wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume nina miaka 42 ninaishi mwanza natafuta rafiki hasa wa kike kati ya miaka 35 na 40.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
natafuta msichana aliye serious tuanzishe urafiki ikimpendeza Mungu tuende katika upande wa pili we maisha, awe mchaji na mwenye hofu ya Mungu pia awe anayejitambua.. umri usizidi miaka 27 pia...
0 Reactions
3 Replies
986 Views
Naitwa Jeff, nahitaji manzi. My WhatsApp 0683368616
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Specifications; Miaka 27 nachini yahapo, awe nakazi serikalini (yoyote), mrefu na mweupe au maji yakunde mimi nafanya kazi serikali nanimwaminifu. Mdada mwenye sifa hizo nayuko serious nandoa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni kijana aged 33 natafuta Mwanamke asiye na mume aged 37-40 asiwetegemezi tusikatishane tamaa mpaka nikaamua hivi nimejifunza mengi nipo Mwanza kwa Wanawake waliosonga umri. Karibuni sana.
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Namtafuta Mchumba wa like Mwenye umri kati ya 25 na 35. Awe na Elimu ya chuo kikuu kuanzia shahada 1- 3.Awe ameajiriwa au amejiari. Awe anaweza kunilea vema na kunijali Mimi na shahada ya PHD na...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Miaka kuanzia 30 Awe muislam Awe anajua kusoma quran Aliye serious anipm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza; mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini. ninatafuta...
1 Reactions
90 Replies
7K Views
Wasalam! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, umri 18-25 Kwa maelezo zaidi pm
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33 , natafuta rafiki wa kike ambae tukikubaliana na kuelewana tutaanzisha familia .awe na elimu yoyote,kabila lolote,rangi yoyote ila awe msafi tu.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi jamani kwa nini wadada wanabagua makabila wakati sisi tunataka tuoe jamani??? ??
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wazazi wangu walifariki kipindi kitefu kilichopita, kutokana na changamoto za maisha ya kila siku kuna kipindi nahitaji mawazo ya wakubwa na kufarijiwa kama mtoto kwa wazazi. Naishi kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, Mimi natafuta mwanamke kuanzia miaka 35 hata kama ana mtoto/watoto sawa tu tuanzishe mahusiano maana naona hawa wasichana wadogo wananisumbua tu bado hawajamaliza usichana. e-mail yangu...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari JF! Kwanza kabisa heshima iwe kwenu! Mimi nimekuwa ni mtu wa kuumizwa sana na mapenzi! Kila mtu nae kuwa nae mara nyingi huwa najikuta nimempenda sana sana! Halafu mwisho wa siku huishia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Morning JF, Mimi ni binti natafuta mom and daddy wa hiari ambaye atanipa maneno mazuri ambayo mzazi umpa mwanae ambaye atanifariji kama mzazi anavyomfariji mwanae pia ambaye atanipenda kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Morning jf, Mimi ni bint natafuta mom and daddy wa hiari ambaye atanipa maneno mazuri ambayo mzazi umpa mwanae ambaye atanifariji kama mzazi anavomfariji mwanae pia ambaye atanipenda kama mzazi...
0 Reactions
72 Replies
7K Views
Back
Top Bottom