Ndugu wana JF mie ni kijana wa miaka 28 naishi Dar. Nimemaliza chuo na kuna sehem nafanya kazi. Natafuta mwanamke wa kuoa coz nimechoka kua single for a long time. Natafta mwanamke aliye serious...
hellow jamaa niko Serious very serious...!
napenda nikutane na Mwanamke Mnene kwelii (bonge,tufe) mweusi ninapenda sana mwanmke wa Namna Hiyooo!!
please please!
nina Miaka 25
mrefu mweusi
elimu...
Hello people,
I have this lady friend of mine.She seriously needs someone to hook up with and get into a serious relationship of which marriage is the ultimate goal(Repeat it louder)
She is aged...
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uhai na afya.
Lakini pia nachukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea.Baada ya shukrani zangu hizo sasa niende moja...
Rafiki yeyote wa kike anayejihisi kuwa rafiki mzuri anakaribishwa. Any age, nia ni kuchat na kubadilishana mawazo, you are welcome.
Ni PM nikupe no zangu.
Kama kichwa kijielezavyo.
Mimi ni kijana wa kitanzania nina miaka 23 sasa hivi nipo mwaka wa mwisho chuo kikuu UDSM -undergraduate.
Baada ya mama kufariki, nimeishi bila mama hivyo basi natafuta...
Natafuta mchumba wa kike Muislam,mwnye kumcha Allah na mwenye maadili mema.
Umri 18-22 mwenye kuajiriwa au aliejiajiri,nipo serious na nahitaji mtu aliye serious pia,mimi ni mtumishi serikalini na...
Habari wadau wa JF mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30,natafuta mchumba ambaye atakuwa mama watoto wangu,kiwango changu cha elimu ni Degree.
Mchumba/Mwanamke ninae muhitaji awe na sifa zifuatavyo...
Habar
Mimi ni kjana mwenye umr wa miaka 25..
Pia ni mwajiriwa wa serikalin ni mwalim shule ya msing ambaye nimeanza kaz mwaka 2014
Natafuta mchumba mwenye sifa zifyatazo;
1;Awe muislam
2; umr...
Mimi ni msichana,
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni Dar es Salaam
Elimu- Diploma ya Finance
Nina mtoto mmoja
Sifa:
Awe na...
Mwanamke mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI namuhitaji ili tuishi maisha ya matumaini napenda awe mtu mzima kwakuwa mimi pia ni mtu mzima naomba
tuwasiliane kwa 0658 511 714...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.