Habari zenu wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 35-40 awe mkristo, najua mtaanza kushangaa umri lakini najua kabisa wapo hapa wanaume wenye umri huo na bado hawajaoa kwasababu...
Kaka yangu anahitaji mke ambaye ni very simple, yaani asiwe mcharuko na mpenda starehe hasa pombe n.k umri wake ni 34years.
Mwanamke yoyote ambaye yupo serious awasiliane naye kwa 0629141421...
Habarini,
Naitwa Innocent(Me),Natafuta rafiki/marafiki wa kubadilishana nae/o mawazo ya kimaisha;awe dereva au kondakta wa magari ya abiria yafanyayo safari ndani ya jiji la Dar es Salaam.Umri...
Nimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_
a. elimu angalau kidato cha sita
b.awe anatoka nchi za A/ mashariki
c. awe anaishi USA au UK
d. hanakazi au anakazi - sintojali
e. awe...
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana!
Kama heading inavyojieleza hapo juu.
Natafuta mwanamke ambaye ana utayari na maisha ya ndoa. Sifa za mwanamke nimtafutae ni kama zifuatazo:-
1. Awe...
Hello wapendwa,
Poleni na mihangaiko ya kila siku. Nimejitokeza humu kwa mara ya kwanza kabisa. Kifupi natafuta mwanamke ambaye badaye atakuja kuwa mke wangu seriously. Mimi na mwajiriwa na...
Habari wanajamvi,
Ninajitokeza kwenu kutafuta rafiki wa kike ambaye kwa baadae aje awe my wife to be.Niko Lindi umri miaka 26.
Kabila ni Sukuma asiwe mwanachuo na ikiwezekana atokee au awe wa...
Kichwa cha habari kinajieleza,nina umri wa miaka 27,ni mwajiriwa serikalini, kwa umbile ni mrefu maji ya kunde,elimu yangu ni barchelor degree.
Nahtaj binti wa kiislamu wa kufunga nae pingu za...
Mm naitwa moody kabwe nina umri wa miaka 28
Nahitaji mke wa kuo ila mimi kwa sasa sina kazi niliachishwa kazi kipindi cha kampeni za uchaguzi na bos wangu yeye ni ccm baadala ya mimi kutekeleza...
kwa mara nyingine najitokeza hapa, natafuta rafiki wa kike, awe mkweli, awe mcha Mungu wa ukweli, awe muwazi, napendelea awe mrefu, umri kuanzia miaka 24-27... elimu kuanzia kidato cha sita...
Mwenye sifa zifuatazo;
. Awe na umri kuanzia miaka 30
. Mcheshi
. Elimu haijalishi awe na kazi
. Kuwa na mtoto haijalishi
- Uje PM..
Wasifu wangu:
Nina 25
Nina shahada ya kwanza
Nina kazi...
Habari wana jf?
Nimejitokeza hapa kutafuta mchumba (mke) kwasababu zifuatazo.
1. Umri wa kuoa umefika sina muda wa kusubiri naamini pia Mungu ndiye kanileta hapa.
2. Wadada wengi ninaowapata...
Hi
I am a man aged 23 years old and 178cm tall. I am a Tanzanian. I am a second year bachelor's degree student. Am here looking for any single girl with the equivalent age as stated above on the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.