Hi wanaboard.
Hope mnaendelea vyema.Japo ni gumu kuleta ombi hili mbele ya JF lakini wacha nilitoe.
Natafuta Mke wa Pili wa Kuoa ili niweze kutimiza maamrisho ya Imani yangu ya uadilifu.
(Quran...
Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba...
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa Neema ya uhai na afya.
Pili napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea.
Tatu nawashukuru wadau wote wa...
Mrejesho
Hhr wadau WA jukwaa hili?
Napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru nyote kwa michango yenu na mawazo yenu.
Pia nawashukuru wote mliyekuja pm, isingewezekana kuwapa nafasi wote kwakuwa...
Kichwa cha habari chahusika hapo juu..
> Kama upo lonely
> Frustated
> Hopless
> You need company
> And unconditional care
Plzzz pm me now...I wil respond on time!
Vigezo na masharti kuzingatiwa
mie ni bint wa miaka 25 ni h.i.v possitive din mkristo , mwajiliwa katik kampuni fulani hv, ni mrefu ,rangi maji ya kunde....
kwa mwanaumw aliyetayar tuyajenge maisha kwa kufarijian na upendo...
Naitwa J, umri wangu ni miaka31, naishi Dar, elimu shahada ya kwanza, dini Mkristu, situmii kilevi chochote, nimtakae awe na umri 25-36, awe mweupe, elimu kidato cha nne mpaka shahada...
Hello Girl.
Poleni na kazi ndugu zangu' mimi naamini mke uliyepangiwa na Mungu unaweza kutana naye popote.
Naomba mdada yoyote aliye single au hata kama upo katika mahusiano yasiyo seriously...
habari wana JF,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 36,nina mtoto mmoja wa miaka 6 natafuta mwanamke wa kuishi nae awe mke wangu.Mimi ni mfanyabiashara nina kipato cha kawaida kuendesha maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.