Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi nipo hapa Dar na nahitaji mke wa kuoa, awe mnene kwa umbo na mcheshi pia mwenye upendo. Umri wake usizidi miaka 55 wakati umri wangu miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana.
2 Reactions
158 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu. Sina maneno mengi bali; ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami. Sifa zangu. Umri :33yrs Elimu: Shahada Rangi: Mweusi Dini: Mkristo Kimo: 178cm Sifa za mke 1. Umri: 25...
1 Reactions
6 Replies
620 Views
Mi sina mambo mengi, ninachohitaji ni mtu mwanamke ambae tutaelewana na kuoana. Sijali kabila wala dini, sijali ana kipato gani wala elimu gani. Mimi ni muislam, umri wangu ni 42 sasa, sina...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wakike awe mstaharabu na mpole pia sichagui dini wala Umri kwa upande wangu Umri wangu ni miaka 27 kama uko tayari nifuate pm tuongee zaidi
0 Reactions
2 Replies
467 Views
Dear ladies If you have a good man, hold on to him. And when I say a good man, I don’t mean a man who is perfect. But a man who tries. He’s hardworking, will go above and beyond to make you...
0 Reactions
2 Replies
391 Views
Wana bodi salaam, Kama title inavyojieleza hapo juu,nahitaji Mama over35 yrs kimahusiono,nimechoka kudate na viunder 20,Mimi kijana over25yrs najiweza kidogo kiuchumi,Alie serious pm me
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kutoka kwa mdau!! " Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri ,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao Kwa nyakat tofauti tofauti...na...
12 Reactions
109 Replies
4K Views
Naitwa Erick nipo Dodoma, natafuta mpenzi. Aliye-serious karibu tuyajenge inbox. Sichaguii dini kabila elimu au kipato kipaumbele kwa waliopo Dodoma.
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Habari wadau, Mimi nina umri wa miaka 31, mrefu mweusi, nimejiajiri, dini mkristo, nahitaji dada aliye tayari kwa ndoa kwa mwaka huu. Kigezo kikubwa ni umri miaka kuanzia 31 mpaka 40, kama ana...
2 Reactions
6 Replies
501 Views
Umri wangu 46, mtumishi wa serikali. Sifa za mke; 1. Elimu kuanzia kidato cha nne. 2. Dini yoyote. 3. Umri iwe Miaka 30-50.
20 Reactions
141 Replies
8K Views
Wanajamvi bila kuwapotezea muda, nina miaka 38 sijawahi kufunga ndoa, najitokeza katika jukwaa hili kutafuta mke wa kuoa, sifa za mke ni mtakaye; 1. Awe anakaa Dar 2. Awe na rangi, ila siyo...
1 Reactions
13 Replies
726 Views
H
3 Reactions
17 Replies
994 Views
Mwanamke mwenye nia na hitaji la kuolewa aliye na umri kati ya miaka 38 - 48 anahitajika. Awe na kazi inayomuingizia kipato na mwenye elimu ya kuanzia Diploma na kuendelea. Nina kazi, elimu...
1 Reactions
8 Replies
652 Views
Sifa Zangu Mm n wakiume [emoji1] Mkristo Nimejiajiri- (IT) Sifa za Mchumba ×2 Awe wa Kike Umri From 19-25 Dini Yeyote Aishi Dar es Salaam Vingine Tutaviongea [emoji120] Njoo inbox Tuyajenge...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Bila kuchoshana kama tangazo linavosema hapo juu Natafuta mpenzi wa kuchat nae na kujuliana hali hivo vingine tutapanga baadae kama penzi likinoga Masharti:awe mwanamke basi inatosha
9 Reactions
46 Replies
1K Views
Mwanamke awe na umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Asiwe na akili ya kitoto awe ni muelewa ambaye tunaweza panga jambo akaelewa na akafuata. Makubaliano Nitatunza mtoto Nitahudumia Mtoto...
12 Reactions
112 Replies
4K Views
Habari. Mimi ni kijana wa Kitanzania, umri wangu miaka 33, dini mkristo KKKT, naishi Dar es Salaam, nimejiajiri. Nahitaji mpenzi ambaye lengo letu kuu ni ndoa mwakani tukielewana. Vigezo vya mke...
4 Reactions
42 Replies
2K Views
Habari zenu Jukwaa Hili Ombi langu ni ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami. Sifa zangu. Umri :35yrs Elimu: Shahada Kazi : Biashara, Mkulima na mfugaji Rangi: (wanaita maji ya kunde 🥸)...
1 Reactions
15 Replies
643 Views
Habari wadau. Kuna hali inanitokea inanishangaza sana, nimekua na hamu na ndoa ghafla since mwaka jana. cha kushangaza sasa sijui namuoa nani na nipo 35 yrs. Wanaume tunatumia nguvu kubwa...
8 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari wana ndugu mimi ni kijana wa miaka 32 naishi dar es salaam ,mkristo na nimejiajiri natafuta mpenzi alietayari kuwa mke, vigezo asiwe na mtoto zaidi ya mmoja awe tayari kwa ndoa mwakani.
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…