Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji...
Natumaini ni wazima wa afya,
Natafuta mdada ambaye yuko serious na yupo tayari kuolewa awe anatoka mkoa wa MOROGORO au MBEYA au IRINGA au NJOMBE au Jijini DAR.
Sifa;
1. Umri miaka 18--25
2...
Nimetumwa na mwanamke kwamba anahitaji mchumba mwema ambae atakua mme wake baadae awe mcha Mungu na awe na upendo wa kweli.
Ambae yuko tayari amtafute kwenye 0715333218
Mimi ni kijana wa miaka 29, urefu wangu ni wa kati, si mnene si mwembamba; niko kati, rangi ya ngozi yangu ni mweusi kiasi na ki ujumla niko kawaida sana na ninajiamini kwa nichokifanya, nina...
Umri wangu ni miaka 32, natafuta mke wa kuoa mwenye umri kati ya miaka 21 hadi 25 awe mcha Mungu, awe na adabu njema pia awe mtulivu. Nina uhitaji kweli kweli.
Kwa yule atakayekuwa tayari...
Naamini mchumba anapatikana popote pale iwe sokoni, kanisani, kwenye social network n.k
Mimi ni kijana mtanzania, ni mkristo, nina elimu ya shahada n pia ni muajiriwa...
natafuta rafiki wa...
Habari wanajamii,
Natafuta marafk wa kike wanaopenda kuchat, kupeana kampani na kwenda out. Professionally nimesomea Information Technology, nimehitimu mwaka 2011. I am 28 years. Even older women...
Habari,
Kama wewe ni mdada mpweke naomba kampani yako, mimi nipo alone muda wotw ni mpweke saana nahitaji kampani yako please sichagui umri wala chochode! Mimi nina miaka 28.
Please in box...
Habari za kwenu wana jamii wenzangu.
Jamani nipo serious sana katika hili naomba kwa wew mdada uchukulie uzito unaposa uzi huu mizaha/utani weka pembeni.
Naomba...
Habari zenu,
Natumai ni wazima wa afya njema,mimi ni kijana nina umri wa kati ya miaka 30 hadi 37,nahitaji mke,kama una umri kuanzia huo hapo usisite kunitafuta au hata kama una zaidi ya hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.