Habari?
Mimi ni kijana wa miaka 32 sijawahi kufanya mapenzi tangu kubalehe kwangu, nahitaji msichana mkristo safi mwenye kumuogopa Mungu, umri si zaidi ya 30, ambaye atakuwa wa kwanza na wa...
Mimi Ni Mwanaume Natafuta Mke Wa Kuoa,umr Wangu Ni Miaka 26,naishi Dar.Mke Ninae Mwitaji Awe Na Umri Wa Miaka 24-31,mweupe Asiwe Wa Dukani,mrefu Kias Kwn Mimi Ni Mfupi Kias Mwembamba.Kwa...
Habari wadau, mimi ni mwanaume wa miaka 43 na hitaji mwanamke wa kuzaa nae tu bila kuoana na kumtunza yeye na wanangu hao ikiwemo kumjengea nyumba.
sifa:~
1.awe mha
2.mwalimu wa shule ya...
Umri wangu miaka30,makazi yangu Dar,dini ni mkristo,sijaajiriwa(sina kazi)naahidi kumpenda kwa dhati atakayenipenda,pia niko tayari kuishi popote pale ndani ya Tanzania,hakuna mashariti njoo...
Hii,
Ni kwa msichana yoyote mwenye age ya 19 hadi 23, mweupe, mkristo, mpole, elimu form 4 inatoka, asiwe mvivu awe na huruma, heshima na adabu aje tufanye maisha asiigize,asiwe na tamaa awe...
Habarini za muda huu wana Jf,
Uzi huu unawahusu wadada wote,kuna biashara nzuri tu yenye msingi mdogo ila inalipa sana.
If interest pm me nitakujibu only for those in Dar es salaam.
Habari wakuu,
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto nitamtunza na kumpa mahitaji yote namanisha makuzi,kuvaa,malazi,chakula,na kumsomesha.Mwanamke ninaemuitaji awe anaishi Dar,Morogoro na Pwani...
Mimi ni mwanaume wa miaka 4, natafuta mke mwenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea,Tafadhali, nina nia ya dhati na ya kweli toka moyoni naitaji mke wa Maisha, mwanamke mwenye nia kama yangu...
Sura sio tatizo ila awe na makalio makubwa, asiwe bonge sana, awe maji ya kunde , na awe anapenda faragha kiasi nikirudi job tu nampa doziiii, awe tayari kufundishwa gari.
Namba za simu aweke...
Baada ya kusalitiwa na aliyekuwa mpenzi wangu nikaamua nikae alone kwa muda sasa, moyo umepona natamani sasa kupendwa na kupenda tena.
Natamani nimpate mdada nitakayempenda kweli naye anipende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.