Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wana JF, Natafuta mwenza wamaisha umri kuanzia miaka 30, awe mwelewa, mcheshi, hofu ya Mungu, Upendo wa kweli, mahali popote, kabila lolote anakaribishwa. Mimi ni mwanaume mwenye umri...
1 Reactions
5 Replies
453 Views
*Mwisho wa interview Niliyemtafuta nishampata -Feedback kwa wadada mnaotafuta wenza kuna alot of potential guys,and smart ndani humu wanaotaka kusettle. -msivunjwe moyo na negative comments.
31 Reactions
254 Replies
10K Views
Hello there, I'm a 41-year-old man working in the education sector with a Master's degree and currently pursuing a PhD. I have an amazing 11-year-old son. I'm searching for a life partner aged...
4 Reactions
69 Replies
2K Views
Salaam, Mm ni Kijana wa Miaka 32. Mwajiriwa na Mchakarikaji. Natafuta mwanamke Mchamungu awe Muislam miaka 24 hadi 28. Asiwe na mtoto. Makazi yangu Kwa sasa ni Tanga Kwa mwenye uhitaji wa...
1 Reactions
0 Replies
336 Views
Habari, Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko...
17 Reactions
144 Replies
6K Views
Natafuta mwanaume mwenye hiv +, mwenye uelewa na afya yake na anatumia ARV. Aliyeserious tafadhali mengine tutajuana PM.
14 Reactions
54 Replies
7K Views
Habari mimi mdada mwenye umri wa miaka 39 ni muajiriwa, nahitaji kuwa na mwenza awe na miaka 41 hadi 50. Awe HIV+, Mkristo mwenye hofu ya Mungu. Aliye tayari na serious aje PM tuzungumze.
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
3 Reactions
46 Replies
6K Views
Habar, kwa sasa napitia wakati mgumu kidogo nahitaji mtu wa kuchat nae wa kunifanya nirelax..mm ni mwanamke mwenye 32yrs.
7 Reactions
97 Replies
3K Views
Jamani wana jukwaa wenzangu mi nikijana wa miaka 25 natafuta mke awe mwembamba wa miaka20
0 Reactions
7 Replies
502 Views
Habari naitwa flavian natafuta mke wa kuoa. Umri wangu nikati ya 36-39. Nimejiajiri, dini mkristu. Mke awe mwenye hofu ya Mungu, umri kuanzia 33 na kuendelea. Kwa mawasiliano zaidi PM au ni...
3 Reactions
5 Replies
708 Views
Baada ya kugundua kuna watu wana uwezo lakin wako loneliness,stressed,wanahitaji kuwa na mtu wakuwapa company,kuongea nao, kukaanao,kutoka nao(outings) nimeamua kujitoa kuprovide hiyo service kwa...
3 Reactions
8 Replies
978 Views
Umri wangu : 29 yrs Kazi : muajiriwa Location : dar Education :degree holder Kabila: muhaya Any girl serious PM me
0 Reactions
1 Replies
297 Views
Dear Jf Crew team, I am looking for a single woman who may become my 'Soulmate ever in my lifetime'. My Merits: My education is beyond Bachelor's degree Employed by government My age range is...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Sifa Elimu kuanzia kidato cha 4 Awe tayari kujishughulisha Mkristo Umri miaka 30 kushuka Mimi mtumishi wa umma, mweusi na mrefu.
3 Reactions
1 Replies
597 Views
Kichwa cha habari chahusika. Natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa kuwa na mwanaume kwa malengo ya ndoa na kujenga familia bora. Sifa za huyo mwanamke : 1. Awe mwenye hofu ya Mungu 2. Awe kabila...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Jamani wana Jamii forums. Naombeni msaada natafuta mpenzi wa kizungu maana hawa wa kibongo washanichosha.
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Mimi ni kijana wa miaka 38 mwenye shahada ya kwanza. natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu ya kimaisha. masuala ya ngono hapana.
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Niko Dar, umri wangu 28 years old. Natafuta rafiki wa kike asiyeamini Mungu, na Shetani pia (pure atheist). Nicheki DM.
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Niko hapa kutafuta mchumba, age yoyote, akiwa single mother pia sio mbaya. Mahusiano baadae ndoa, dini yoyote Mimi ni mkristo Karibuni
3 Reactions
75 Replies
2K Views
Back
Top Bottom