Dear Members happy new year!
Kwa mara nyingine napenda kuleta kwenu ombi langu la kutafuta mwanamke aliye-serious tu kuolewa.
Napenda awe Mwalimu au Nurse lakini si lazima.
Mimi nina...
Habari ya weekend.
Nina thamini sana marafiki,nina amini katika marafiki kwakweli. Kama unahitaji rafiki wa kuongea nae au kusaidiana katika mawazo,mambo ya kuhusu maisha,mambo ya...
Wana jamii, mimi ni mwanaume mkamilifu kabisa, nina miaka 34, nina mtoto1. najitokeza kwenu kutafuta mwanamke wa kuoa, awe mwelewa, mwenye hofu ya Mungu, awe amekua kiakili na kimwili pia...
Sisi ni Kikundi cha Wavulana watatu ambao tumekuwa pamoja na tumesoma pamoja hadi hatua ya kuajiriwa Serikalini mmoja kati yetu ameajiriwa Serikali kuu na wawili tupo katika mashirika ya umma...
Habari wana JF, am a young guy, age 26.
Basically ni Mwandishi wa articles, Hadithi fupi, Riwaya, report na proposals. Pia nafanya Graphic designing kidogo.
Am looking forward kupata Marafiki...
Habari za xmass wana jf,
Kama title inavyosema, nahitaji binti aliyetayari kuolewa anipm, awe na vigezo vifuatavyo
Miaka isizidi 28
elimu isiwe chini ya form 4
kabila lolote
Mwenye heshima...
Natafuta rafiki wa kike, ambaye tunaweza kwenda steji ya pili ya uchumba na Ndoa. umri kati ya 18 hadi 24, awe Muislam, Mfupi lakini si Mbilikimo Elimu yeyote.
Nimekuwa Single kwa muda sasa. Ninahitaji binti,kwa kuanzia,rafiki,na labda kadri muda uendavyo kuingia phase nyingine ya maisha.
Umri wangu miaka 30,Dini mkristo,Kabila Mu-Ikizu,Elimu yangu,Chuo...
Habari wakuu. Jinsia yangu ni mwanaume najitokeza kutafuta rafiki wa kike ili baadae tufunge ndoa.Elimu yangu ni kidato cha nne,na Umri wa miaka 27,Dini mkristo,Kazi nimejiajiri .Nimtafutae elimu...
Habari zenu brothers and sisters. Wakubwa zangu, heshima kwenu pia. Mimi ni mgeni kwenye site hii. Baada ya rafiki yangu mmoja kufanikiwa kupata mke umu JF, nami nimeamua kuja katika jukwaa hili...
Jinsia Yangu Ni Mvulana na 31yrs,maji ya kunde,naishi dsm,mkristo,kabila langu ni mpimbwe,mchumba Nimtafutae Msichana awe na Umr 25-36,elim kuanzia kidato cha 6,sina ubaguz na...
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi Dar es Salaam Ni PM kama upo tayari.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 naishi jijini mwanza na ni mwajiriwa serikalini.Natafuta mwanamke mwenye matako makubwa awe mpenzi wangu na baadaye tuoane.Awe mweusi na mwenye umri...
Habari! naitwa Paul natafuta Mchumba wa Kike kwani nahitaji kuoa soon,Elimu yangu Diploma of Education,umri wangu 29,maji ya kunde pia nipo smart,nafanya Kazi Dar,sio Mrefu wala Mfupi,vigezo awe...
Serious natafuta marafiki wasio kua kwenye mahusiano yaani single tubadilishana mawazo namna ya kupata wenza.
Iwe mwanaume au mwanamke bora karibu PM tuchat.
Kila mmoja atuambie ilikua kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.