mm ni mwanamke nasoma chuo flan hivii hapa tz natafuta mwanaume wakunioa awe ameenda age,awe na kazi yaan kiufup awe anajiweza,mm nina mtoto mmoja wa kiume if u are serious karibu kama sio...
Kwanza nawasalimu.
Najitokeza hapa kutafuta mwanamke wa kuoa aliye tayari, awe na mwili wa wastani tu au mwembamba mrefu wa wastani tu, awe ameajiliwa, Elimu kuanzia form 4 na kuendelea...
Naitwa Geofre wa Mbeya nna miaka 23 natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa zifuatazo,awe maji ya kunde,mnene kiasi,mrefu kiasi,awe na mapenzi ya kweli pia awe anajali upendo wake.kuhusu mimi nna...
Upweke umenishinda jamani natafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila m2 atampenda mwenzake tena upendo wa kweli(MUME WA MTU NA ULIYE NA MPENZI HAPA HAPAKUUSU WE PITA 2 NI KWA WALE...
Mimi ni mwanaume 30yrs baada ya kutoa mada hapa JF kuwa Mke wangu Ana papuchi kubwa.
Amekamata simu yangu na kusoma comment baadae Ameniacha kabisa na kuondoka na House girl.
Sasa sina papuchi...
da! upweke umenishinda minatafuta rafiki kwanza mapenz yatafuata badaye kama kila mmoja ata mpenda mwenzake tena upendo wa kweli (KAMA UNA MKE AU UNAMPENZ APA HAPAKUUSU NI KWA WALE WALIO SINGLE)...
Mimi Ni Kijana Wa Kiume,nina Miaka 27,elimu yangu ni Diploma, mimi ni mkristo, ninatafuta mchumba wa kike, sura ya kawaida, mkristo, elimuyoyote, umri asizidi miaka 26, tuwasiliane kupitia 0763175935
mimi sina kitu kwa sasa ila napambana na maisha, natafuta rafiki wa kike ambaye nitakuwa naye bega kwa bega katika kushirikiana naye katika kutafuta na ikiwezekana muda ukifika basi tunaweza...
Ntumai mu wazima wa afya wana jf, mimi namshukuru Mungu niko safi. Ni kwa muda sasa nimekuwa sionekani kuchangia mada yoyote katika jukwaa lolote, ni kutokana na majukumu ya hapa na pale. Ndugu...
Habari wanajamvi,nimerudi tene kwa ajili ya kutafuta mchumba/mke baada ya mwaka jana kuja hapa na kuweka post ya kutafuta mke nilipata kuwasiliana na wasichana wawili ila hatukufikia popote coz...
Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37,natafuta girlfriend ambaye atakua mchumba na baadaye mke wa ndoa,awe na umri kati ya 26-35 asiwe kibonge wala mfupi saana,mkristo lakini kabila na rangi wala...
Habari wandugu.
Itakumbukwa siku chache zilizopita nilikuja humu kuomba ushauri baada ya kutoswa na mwanamke ambaye tulishafikia sehemu nzuri katika mahusiano yetu.
Kwanza napenda kutumia nafasi...
Wa jf heshima zenu.
Natafuta mchumba ambaye badae atakuja kuwa mke wangu.Awe ni binti mwenye heshima na upendo, awe na mwili kidogo, ila asiwe mfupi wala mrefu, asiwe askari wa jeshi lolote.Akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.